BWANKU M BWANKU
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 377
- 435
KAZI INAENDELEA, RAIS SAMIA KUZINDUA MRADI WA MAJI WA MBALIZI NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI ASUBUHI HII SAA 5.
Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa Agosti 05, 2022 anatarajia Kuzindua Mradi wa Maji wa Mbalizi (Songo- Igale). Mhe. Rais Samia pia atazungumza na Wananchi wa Mbalizi kwenye Mkutano wa hadhara. Ni kuanzia Saa 5 asubuhi hii.
Utafuatilia Matangazo haya moja kwa moja Mbashara kupitia Televisheni, Redio na Mitandao ya Kijamii.
#TunaImaninaRaisSamia
#MitanoTena
Rais wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan leo Ijumaa Agosti 05, 2022 anatarajia Kuzindua Mradi wa Maji wa Mbalizi (Songo- Igale). Mhe. Rais Samia pia atazungumza na Wananchi wa Mbalizi kwenye Mkutano wa hadhara. Ni kuanzia Saa 5 asubuhi hii.
Utafuatilia Matangazo haya moja kwa moja Mbashara kupitia Televisheni, Redio na Mitandao ya Kijamii.
#TunaImaninaRaisSamia
#MitanoTena