Rais Samia kwa hili la kuruhusu Mashirika ya Umma kuajiri nakupa pongezi sana

Rais Samia kwa hili la kuruhusu Mashirika ya Umma kuajiri nakupa pongezi sana

Dola ya Tanzania isiruhusu hili jambo. Huyu mama aache haraka haraka. Haraka haraka haina baraka. Atapotea. Apewe ile ripoti ilipropose kuanzishwa kwa utaratibu wa ajira unaotumika sasa.
Ndio hivyo tuna raisi aliyekauwa makamu wa raisi lazima awe ni mtu anayefaham mambo sasa anashinswa nini kutafuta sababu zilizofanya ajira ziwe centralized
 
“Kuna mashirika ambayo wenyewe wangehitaji ajira za harakaharaka lakini unaambiwa subiri Tume ya Utumishi ikae, subiri sijui utumishi ifanyeje mwaka mzima taasisi kwa mfano TRA inataka watu wakakusanye mapato mwaka mzima watu hawajapatikana, vivyo hivyo TANESCO, REA wanataka watu utumishi paka izunguke iseme ifanye mikutano ifanye semina, hapana hatuendi hivyo.

Kama wanataka wafanyakazi mishahara ya kulipa wanayo haitoki hazina wanataka wafanyakazi kwa ajili ya mradi au kazi fulani wapewe ruhusa wafanye. Wapewe ruhusa wafanye sabahu ajira hizi wala nyingine sio za kudumu mradi ukimalizika na ajira imekwenda. Kwa hiyo wapewe ruhusa waajiri ili miradi ikatekelezwe kwa haraka.” Rais Samia Suluhu Hassan

Napenda kujikita hapa kwa TRA: Nafasi za kazi za TRA zilitangazwa mwezi wa nne 2022, watu wamekuja kuitwa kwenye usaili mwezi wa 12 2022. Wakati huohuo watu wameitwa kazini mwezi wa pili 2023. Muda mwingi umepotea hapo.

View attachment 2517434

Msisahau kurejea huu uzi:
Nilivyomuelewa ni kwa yale mashirika ambayo yana miradi ya kimkakati tu na bajeti ya mishahara hausishi hazina ndiyo wawe na Uhuru wa kuajiri Ili kuchochea kasi ya utekelezaji wa miradi.
 
Ila mmemlisha maneno amesema kwa zile za muda mfupi ambazo pesa hazitoki hazina wanazitoa mashirika yenyewe utumishi iwape go ahead mashirika yaendelee lakini zile permanent hajazizungumzia.

Ila utumishi nao waangalie kama ni kanuni ndizo zinachelewesha basi wazirekebishe.
Mashirika mengi hasa yasiyopokea ruzuku ya serikari, mishahara yao haitokei hazina. Nahao naongelea permanent and pensionable employees
 
Syo kitu kigeni.
wakati wa mkapa alibadilisha sheriia kuruhusu mashirika kuajiri na kujilipa kwa jinsi wanavyozalisha.
sheitwan alipoingia kaanza ujinga bila hata,sheria kubadilishwa.
anachotaka mama ni ile sheria kufatwa
Mfumo wa ajira kupitia sekretariati ya ajira ulianza 2007 wakati wa uatawala wa awamu ya tano. Sidhani kama ulikusudia kumuita nani shetwani. Ni JK? Unachangia bila takwimu.
 
Nilivyomuelewa ni kwa yale mashirika ambayo yana miradi ya kimkakati tu na bajeti ya mishahara hausishi hazina ndiyo wawe na Uhuru wa kuajiri Ili kuchochea kasi ya utekelezaji wa miradi.
Kwani ajira za mikataba ya muda mfupi inayopitia sekretariet ya ajira?
 
Kuna watu wanapayuka ila hawajui wanacho kiongea,ila Utumishi wanafanya kazi kubwa sana, nina wanangu wametoka life la chini kabisa tena wengine walikata tamaa leo wapo kwenye taasisi kubwa sababu ya Utumishi.Hii siku ya leo nina mwanangu mwengine katoboa TRA sababu ya Utumishi nae katokea life bovu kinyama.

Hii kuhusu Tasisi au shirika liajiri wenyewe wataja wakina KAMLETE.

Daaah bi mkubwa hapa kachemka.
Kupata kazi ndio kutoboa, Lengo la kazi ni kutuibia wananchi au?
 
“Kuna mashirika ambayo wenyewe wangehitaji ajira za harakaharaka lakini unaambiwa subiri Tume ya Utumishi ikae, subiri sijui utumishi ifanyeje mwaka mzima taasisi kwa mfano TRA inataka watu wakakusanye mapato mwaka mzima watu hawajapatikana, vivyo hivyo TANESCO, REA wanataka watu utumishi paka izunguke iseme ifanye mikutano ifanye semina, hapana hatuendi hivyo.

Kama wanataka wafanyakazi mishahara ya kulipa wanayo haitoki hazina wanataka wafanyakazi kwa ajili ya mradi au kazi fulani wapewe ruhusa wafanye. Wapewe ruhusa wafanye sabahu ajira hizi wala nyingine sio za kudumu mradi ukimalizika na ajira imekwenda. Kwa hiyo wapewe ruhusa waajiri ili miradi ikatekelezwe kwa haraka.” Rais Samia Suluhu Hassan

Napenda kujikita hapa kwa TRA: Nafasi za kazi za TRA zilitangazwa mwezi wa nne 2022, watu wamekuja kuitwa kwenye usaili mwezi wa 12 2022. Wakati huohuo watu wameitwa kazini mwezi wa pili 2023. Muda mwingi umepotea hapo.

View attachment 2517434

Msisahau kurejea huu uzi:
mm nimeelewa kuwa hizo ajira ni za muda mfupi na si za kudumu ndo maana kasizitiza kama taasisi ina pesa za kuwalipa na si kutoka hazina waendelee.kama mshahara utatoka hazina utaratibu utabaki kama ulivyo kwa sasa.naunga mkono tume ya ajira inahitaji mabadiliko makubwa sababu kuna ukiritimba mkubwa sana wa kusaili na kuwaita wasailiwa kazini,pia nako kuna upendeleo mkubwa,vimemo vya wakubwa vimezidi kiasi kwamba vinawakatisha tamaa watoto wa walalahoi.unaona kabisa aliyeshinda usaili nii kilaza kabisa tena wakati mwingine mlisoma naye halafu usaili kashinda,darasani alikuwa mtu wa mabomu.hii si haki.chombo hicho kiangaliwe tena upya.
 
Mfumo wa ajira kupitia sekretariati ya ajira ulianza 2007 wakati wa uatawala wa awamu ya tano. Sidhani kama ulikusudia kumuita nani shetwani. Ni JK? Unachangia bila takwimu.
Naomba uniwekee hapa mkuu nione kama hiyo sekretarieti ilipewa majukumu kwa ajira za MASHIRIKA YA UMMA au ni serikali kuu na serikali za mitaa
 
“Kuna mashirika ambayo wenyewe wangehitaji ajira za harakaharaka lakini unaambiwa subiri Tume ya Utumishi ikae, subiri sijui utumishi ifanyeje mwaka mzima taasisi kwa mfano TRA inataka watu wakakusanye mapato mwaka mzima watu hawajapatikana, vivyo hivyo TANESCO, REA wanataka watu utumishi paka izunguke iseme ifanye mikutano ifanye semina, hapana hatuendi hivyo.

Kama wanataka wafanyakazi mishahara ya kulipa wanayo haitoki hazina wanataka wafanyakazi kwa ajili ya mradi au kazi fulani wapewe ruhusa wafanye. Wapewe ruhusa wafanye sabahu ajira hizi wala nyingine sio za kudumu mradi ukimalizika na ajira imekwenda. Kwa hiyo wapewe ruhusa waajiri ili miradi ikatekelezwe kwa haraka.” Rais Samia Suluhu Hassan

Napenda kujikita hapa kwa TRA: Nafasi za kazi za TRA zilitangazwa mwezi wa nne 2022, watu wamekuja kuitwa kwenye usaili mwezi wa 12 2022. Wakati huohuo watu wameitwa kazini mwezi wa pili 2023. Muda mwingi umepotea hapo.

View attachment 2517434

Msisahau kurejea huu uzi:
Hapa wenye nacho ndiyo wanaongezewa,kama huna connection huna haja ya kuapply popote,fanya mambo mengine tu
 
Me nafanya kazi serikalini ila hili boko bab kubwa ndugu yangu, Fanya research kwa miaka miwili itakayokuja kutatokea upuuz hauwez amini, hapa watoto wa maskini wanaenda kuzurumika, amini kwamba
Mkuu kwani ajira sa mashirika ya umma zilikuwa zinafanywa na tume toka mwaka gani, na je wakati kabla sekretarieti haijaanza ajira zilikuwa kwa kina nani. watoto wa walala hoi walioko vijiweni toka wakati huo ni wangapi
 
Hizi ni dalili za mtu ,amefikia mahali anasema liwalo na liwe,watajijua na Kijiji Chao ,na familia zao.
 
Back
Top Bottom