Serikali huwa haiwezi kufanya mambo kwa harakaHapana ajira zibaki time ya ajira....
Kwenye mashirika upendeleo sana
Ila tume ya ajira ifanye kwa haraka zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Serikali huwa haiwezi kufanya mambo kwa harakaHapana ajira zibaki time ya ajira....
Kwenye mashirika upendeleo sana
Ila tume ya ajira ifanye kwa haraka zaidi
Sio hisia kiongozi.Punguza hisia mkuu.
Dola ya Tanzania isiruhusu hili jambo. Huyu mama aache haraka haraka. Haraka haraka haina baraka. Atapotea. Apewe ile ripoti ilipropose kuanzishwa kwa utaratibu wa ajira unaotumika sasa.
sawa tumesikia“Kuna mashirika ambayo wenyewe wangehitaji ajira za harakaharaka lakini unaambiwa subiri Tume ya Utumishi ikae, subiri sijui utumishi ifanyeje mwaka mzima taasisi kwa mfano TRA inataka watu wakakusanye mapato mwaka mzima watu hawajapatikana, vivyo hivyo TANESCO, REA wanataka watu utumishi paka izunguke iseme ifanye mikutano ifanye semina, hapana hatuendi hivyo.
Kama wanataka wafanyakazi mishahara ya kulipa wanayo haitoki hazina wanataka wafanyakazi kwa ajili ya mradi au kazi fulani wapewe ruhusa wafanye. Wapewe ruhusa wafanye sabahu ajira hizi wala nyingine sio za kudumu mradi ukimalizika na ajira imekwenda. Kwa hiyo wapewe ruhusa waajiri ili miradi ikatekelezwe kwa haraka.”
Rais Samia Suluhu Hassan
Napenda kujikita hapa kwa TRA: Nafasi za kazi za TRA zilitangazwa mwezi wa nne 2022, watu wamekuja kuitwa kwenye usaili mwezi wa 12 2022. Wakati huohuo watu wameitwa kazini mwezi wa pili 2023. Muda mwingi umepotea hapo.
View attachment 2517434
imekua na urasimu wa kishenzi.imeanza kuingilia hata taratibu za watumishi kwenye mashirika na kuwaita watumishi wa umma hadi maslahi yao.Moja ya vikwazo vikubwa vya maendeleo nchini ni wizara ya utumishi! Imejaa watu wenye urasimu uliokithiri kiasi hata mtu mwingine ukihamishiwa hapo unaambukizwa!
Ni vema wizara hii ifumuliwe kabisa kuanzia katibu mkuu hadi muhudumu vinginevyo hali hii itaendelea na wanaoathiriwa ni wananchi!
crdb is a public private companyAjira kama hujulikani sahau. Kaangalie TRA uje ufurahi upya. Au CRDB. Mkurugenzi na timu yake akiwa mkabila ndiye atachagua nani aajiriwe..
Syo kitu kigeni.Dola ya Tanzania isiruhusu hili jambo. Huyu mama aache haraka haraka. Haraka haraka haina baraka. Atapotea. Apewe ile ripoti ilipropose kuanzishwa kwa utaratibu wa ajira unaotumika sasa.
Kumbe.Kuna watu wanapayuka ila hawajui wanacho kiongea,ila Utumishi wanafanya kazi kubwa sana, nina wanangu wametoka life la chini kabisa tena wengine walikata tamaa leo wapo kwenye taasisi kubwa sababu ya Utumishi.Hii siku ya leo nina mwanangu mwengine katoboa TRA sababu ya Utumishi nae katokea life bovu kinyama.
Hii kuhusu Tasisi au shirika liajiri wenyewe wataja wakina KAMLETE.
Daaah bi mkubwa hapa kachemka.
Barua yangu imepotea hapo Utumishi zaidi ya mara nne...inaonekana imepokelewa ila hauonekani iko wapi?Moja ya vikwazo vikubwa vya maendeleo nchini ni wizara ya utumishi! Imejaa watu wenye urasimu uliokithiri kiasi hata mtu mwingine ukihamishiwa hapo unaambukizwa!
Ni vema wizara hii ifumuliwe kabisa kuanzia katibu mkuu hadi muhudumu vinginevyo hali hii itaendelea na wanaoathiriwa ni wananchi!
Jamaa kasota kitaa miaka 9 leo hii katoboa TRA.Kumbe.
Barua yangu imepotea hapo Utumishi zaidi ya mara nne...inaonekana imepokelewa ila hauonekani iko wapi?
Secretariat ya ajira nao wanachukua muda mrefu sana mpaka mtu apate ajira.
Huko kwenye taasisi nako ni majipu tu.
Kujuana kwingi.
Kifupi hakuna mahali kuna unafuu.
ni barua ya nini mkuu?,kuhama
Ndiyoni barua ya nini mkuu?,kuhama taasisi?
Ndio tabia yao,atakua mjinga mmoja hivi wa masjaraNdiyo