Ndio hivyo tuna raisi aliyekauwa makamu wa raisi lazima awe ni mtu anayefaham mambo sasa anashinswa nini kutafuta sababu zilizofanya ajira ziwe centralizedDola ya Tanzania isiruhusu hili jambo. Huyu mama aache haraka haraka. Haraka haraka haina baraka. Atapotea. Apewe ile ripoti ilipropose kuanzishwa kwa utaratibu wa ajira unaotumika sasa.
Nilivyomuelewa ni kwa yale mashirika ambayo yana miradi ya kimkakati tu na bajeti ya mishahara hausishi hazina ndiyo wawe na Uhuru wa kuajiri Ili kuchochea kasi ya utekelezaji wa miradi.“Kuna mashirika ambayo wenyewe wangehitaji ajira za harakaharaka lakini unaambiwa subiri Tume ya Utumishi ikae, subiri sijui utumishi ifanyeje mwaka mzima taasisi kwa mfano TRA inataka watu wakakusanye mapato mwaka mzima watu hawajapatikana, vivyo hivyo TANESCO, REA wanataka watu utumishi paka izunguke iseme ifanye mikutano ifanye semina, hapana hatuendi hivyo.
Kama wanataka wafanyakazi mishahara ya kulipa wanayo haitoki hazina wanataka wafanyakazi kwa ajili ya mradi au kazi fulani wapewe ruhusa wafanye. Wapewe ruhusa wafanye sabahu ajira hizi wala nyingine sio za kudumu mradi ukimalizika na ajira imekwenda. Kwa hiyo wapewe ruhusa waajiri ili miradi ikatekelezwe kwa haraka.” Rais Samia Suluhu Hassan
Napenda kujikita hapa kwa TRA: Nafasi za kazi za TRA zilitangazwa mwezi wa nne 2022, watu wamekuja kuitwa kwenye usaili mwezi wa 12 2022. Wakati huohuo watu wameitwa kazini mwezi wa pili 2023. Muda mwingi umepotea hapo.
View attachment 2517434
Msisahau kurejea huu uzi:
Mfumo wa kuajiri kupitia Ajira Portal na kuita watu kwenye usaili physically mikoa ya mbali unamaliza pesa za serikali na wananchi
Naomba serikali iliangalie hili. Katika utafiti niliofanya nimegundua jambo hili: Mfumo wa kuajiri kupitia ajira portal na kuita watu kwenye usaili wa mchujo physically mikoa ya mbali unamaliza pesa za serikali na wananchi. Fedha zinazotumika kusafirisha maafisa utumishi kutoka ofisini kwao...www.jamiiforums.com
Nadhani huijui abuse of power weweNilivyomuelewa ni kwa yale mashirika ambayo yana miradi ya kimkakati tu na bajeti ya mishahara hausishi hazina ndiyo wawe na Uhuru wa kuajiri Ili kuchochea kasi ya utekelezaji wa miradi.
Dugu yangu umeona isiwe tabu 😂😂😂 nami bwana wache ianze Dr. Rutagwerera SrMama vitendo zaidi
Mashirika mengi hasa yasiyopokea ruzuku ya serikari, mishahara yao haitokei hazina. Nahao naongelea permanent and pensionable employeesIla mmemlisha maneno amesema kwa zile za muda mfupi ambazo pesa hazitoki hazina wanazitoa mashirika yenyewe utumishi iwape go ahead mashirika yaendelee lakini zile permanent hajazizungumzia.
Ila utumishi nao waangalie kama ni kanuni ndizo zinachelewesha basi wazirekebishe.
Mfumo wa ajira kupitia sekretariati ya ajira ulianza 2007 wakati wa uatawala wa awamu ya tano. Sidhani kama ulikusudia kumuita nani shetwani. Ni JK? Unachangia bila takwimu.Syo kitu kigeni.
wakati wa mkapa alibadilisha sheriia kuruhusu mashirika kuajiri na kujilipa kwa jinsi wanavyozalisha.
sheitwan alipoingia kaanza ujinga bila hata,sheria kubadilishwa.
anachotaka mama ni ile sheria kufatwa
Kwani ajira za mikataba ya muda mfupi inayopitia sekretariet ya ajira?Nilivyomuelewa ni kwa yale mashirika ambayo yana miradi ya kimkakati tu na bajeti ya mishahara hausishi hazina ndiyo wawe na Uhuru wa kuajiri Ili kuchochea kasi ya utekelezaji wa miradi.
Kumbe.
Kupata kazi ndio kutoboa, Lengo la kazi ni kutuibia wananchi au?Kuna watu wanapayuka ila hawajui wanacho kiongea,ila Utumishi wanafanya kazi kubwa sana, nina wanangu wametoka life la chini kabisa tena wengine walikata tamaa leo wapo kwenye taasisi kubwa sababu ya Utumishi.Hii siku ya leo nina mwanangu mwengine katoboa TRA sababu ya Utumishi nae katokea life bovu kinyama.
Hii kuhusu Tasisi au shirika liajiri wenyewe wataja wakina KAMLETE.
Daaah bi mkubwa hapa kachemka.
Kwani ww tafsri ya kitoboa kwako ni Kuiba?Kupata kazi ndio kutoboa, Lengo la kazi ni kutuibia wananchi au?
mm nimeelewa kuwa hizo ajira ni za muda mfupi na si za kudumu ndo maana kasizitiza kama taasisi ina pesa za kuwalipa na si kutoka hazina waendelee.kama mshahara utatoka hazina utaratibu utabaki kama ulivyo kwa sasa.naunga mkono tume ya ajira inahitaji mabadiliko makubwa sababu kuna ukiritimba mkubwa sana wa kusaili na kuwaita wasailiwa kazini,pia nako kuna upendeleo mkubwa,vimemo vya wakubwa vimezidi kiasi kwamba vinawakatisha tamaa watoto wa walalahoi.unaona kabisa aliyeshinda usaili nii kilaza kabisa tena wakati mwingine mlisoma naye halafu usaili kashinda,darasani alikuwa mtu wa mabomu.hii si haki.chombo hicho kiangaliwe tena upya.“Kuna mashirika ambayo wenyewe wangehitaji ajira za harakaharaka lakini unaambiwa subiri Tume ya Utumishi ikae, subiri sijui utumishi ifanyeje mwaka mzima taasisi kwa mfano TRA inataka watu wakakusanye mapato mwaka mzima watu hawajapatikana, vivyo hivyo TANESCO, REA wanataka watu utumishi paka izunguke iseme ifanye mikutano ifanye semina, hapana hatuendi hivyo.
Kama wanataka wafanyakazi mishahara ya kulipa wanayo haitoki hazina wanataka wafanyakazi kwa ajili ya mradi au kazi fulani wapewe ruhusa wafanye. Wapewe ruhusa wafanye sabahu ajira hizi wala nyingine sio za kudumu mradi ukimalizika na ajira imekwenda. Kwa hiyo wapewe ruhusa waajiri ili miradi ikatekelezwe kwa haraka.” Rais Samia Suluhu Hassan
Napenda kujikita hapa kwa TRA: Nafasi za kazi za TRA zilitangazwa mwezi wa nne 2022, watu wamekuja kuitwa kwenye usaili mwezi wa 12 2022. Wakati huohuo watu wameitwa kazini mwezi wa pili 2023. Muda mwingi umepotea hapo.
View attachment 2517434
Msisahau kurejea huu uzi:
Mfumo wa kuajiri kupitia Ajira Portal na kuita watu kwenye usaili physically mikoa ya mbali unamaliza pesa za serikali na wananchi
Naomba serikali iliangalie hili. Katika utafiti niliofanya nimegundua jambo hili: Mfumo wa kuajiri kupitia ajira portal na kuita watu kwenye usaili wa mchujo physically mikoa ya mbali unamaliza pesa za serikali na wananchi. Fedha zinazotumika kusafirisha maafisa utumishi kutoka ofisini kwao...www.jamiiforums.com
Naomba uniwekee hapa mkuu nione kama hiyo sekretarieti ilipewa majukumu kwa ajira za MASHIRIKA YA UMMA au ni serikali kuu na serikali za mitaaMfumo wa ajira kupitia sekretariati ya ajira ulianza 2007 wakati wa uatawala wa awamu ya tano. Sidhani kama ulikusudia kumuita nani shetwani. Ni JK? Unachangia bila takwimu.
Hapa wenye nacho ndiyo wanaongezewa,kama huna connection huna haja ya kuapply popote,fanya mambo mengine tu“Kuna mashirika ambayo wenyewe wangehitaji ajira za harakaharaka lakini unaambiwa subiri Tume ya Utumishi ikae, subiri sijui utumishi ifanyeje mwaka mzima taasisi kwa mfano TRA inataka watu wakakusanye mapato mwaka mzima watu hawajapatikana, vivyo hivyo TANESCO, REA wanataka watu utumishi paka izunguke iseme ifanye mikutano ifanye semina, hapana hatuendi hivyo.
Kama wanataka wafanyakazi mishahara ya kulipa wanayo haitoki hazina wanataka wafanyakazi kwa ajili ya mradi au kazi fulani wapewe ruhusa wafanye. Wapewe ruhusa wafanye sabahu ajira hizi wala nyingine sio za kudumu mradi ukimalizika na ajira imekwenda. Kwa hiyo wapewe ruhusa waajiri ili miradi ikatekelezwe kwa haraka.” Rais Samia Suluhu Hassan
Napenda kujikita hapa kwa TRA: Nafasi za kazi za TRA zilitangazwa mwezi wa nne 2022, watu wamekuja kuitwa kwenye usaili mwezi wa 12 2022. Wakati huohuo watu wameitwa kazini mwezi wa pili 2023. Muda mwingi umepotea hapo.
View attachment 2517434
Msisahau kurejea huu uzi:
Mfumo wa kuajiri kupitia Ajira Portal na kuita watu kwenye usaili physically mikoa ya mbali unamaliza pesa za serikali na wananchi
Naomba serikali iliangalie hili. Katika utafiti niliofanya nimegundua jambo hili: Mfumo wa kuajiri kupitia ajira portal na kuita watu kwenye usaili wa mchujo physically mikoa ya mbali unamaliza pesa za serikali na wananchi. Fedha zinazotumika kusafirisha maafisa utumishi kutoka ofisini kwao...www.jamiiforums.com
huna akili.Ajira zikiludi kwenye mashirika tumekwishwa
Mkuu kwani ajira sa mashirika ya umma zilikuwa zinafanywa na tume toka mwaka gani, na je wakati kabla sekretarieti haijaanza ajira zilikuwa kwa kina nani. watoto wa walala hoi walioko vijiweni toka wakati huo ni wangapiMe nafanya kazi serikalini ila hili boko bab kubwa ndugu yangu, Fanya research kwa miaka miwili itakayokuja kutatokea upuuz hauwez amini, hapa watoto wa maskini wanaenda kuzurumika, amini kwamba