Rais Samia kwa kashfa hii tumbua waziri Ndumbaro na IG, kuokoa pesa za walala hoi

Rais Samia kwa kashfa hii tumbua waziri Ndumbaro na IG, kuokoa pesa za walala hoi

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Mh rais Samia huku mtaani Kuna tuhuma kubwa Sana za ofisi ya IG kucheza dili na mawakili wa serkali kushindwa ki-deal kesi za madai wakandarasi walifutiwa tenda .

Kwa Sasa Kila aliyefutiwa tenda akiwa site anadaiwa kuitwa na mawakili wa serkali kijanja kukaa mezani na kukubariana namna ya kufungua kesi ili washinde na kugawana pesa na mawakili wa serkali ndani na nje ya nchi.

Inadaiwa kuwa wale walioshinda kule London walikula deal na mawakili na bado zipo kesi za michongo ambazo ofisi ya mwanasheria mkuu na mawakili wa serkali wamekula deal.

Wapo walifukuzwa kwenye maji, umeme hasa wa REA , Barabara, majengo na hata madini hapa nchini wanaaundwa kuwaibia watanzania kupitia mahakamani na kuna tetesi kuwa hata mahakimu na majaji wamo

Rais Samia chukua hatua watanzania watachezewa hadi lini hasa wakati huu ambapo ishu ya bandari bado inavuma

USSR
 
Wewe hujui kitu.
Mama kafanya kazi kubwa sana ya kupata kampuni ya kumwaga pesa.

Mimi ni Mjahidina wa Kikristo sikutaka majungu.

Nimeenda Dubai kwa pesa yangu ndio kwanza narudi.
Hatuta pata mkataba mzuri kama huu.

Nawambia tena. Dubai hawana shida na Ardhi yetu yoyote ile.
Waliandika ili kufidia hasara kama hatuja waelewa.
Ila walikosa lugha sahihi ya kusema. Kusema Kwamba... "kama kukitokea fulsa yoyote ya kuhusu Bandari basi tunaona vema mkitujulisha ili tukiwa na nia ya kuwekeza.
 
Mh rais Samia huku mtaani Kuna tuhuma kubwa Sana za ofisi ya IG kucheza dili na mawakili wa serkali kushindwa ki-deal kesi za madai wakandarasi walifutiwa tenda .

Kwa Sasa Kila aliyefutiwa tenda akiwa site anadaiwa kuitwa na mawakili wa serkali kijanja kukaa mezani na kukubariana namna ya kufungua kesi ili washinde na kugawana pesa na mawakili wa serkali ndani na nje ya nchi.

Inadaiwa kuwa wale walioshinda kule London walikula deal na mawakili na bado zipo kesi za michongo ambazo ofisi ya mwanasheria mkuu na mawakili wa serkali wamekula deal.

Wapo walifukuzwa kwenye maji, umeme hasa wa REA , Barabara, majengo na hata madini hapa nchini wanaaundwa kuwaibia watanzania kupitia mahakamani na kuna tetesi kuwa hata mahakimu na majaji wamo

Rais Samia chukua hatua watanzania watachezewa hadi lini hasa wakati huu ambapo ishu ya bandari bado inavuma

USSR
Utakuwa UDINI! mbona Mbarawa bado anadunda!
 
Mh rais Samia huku mtaani Kuna tuhuma kubwa Sana za ofisi ya IG kucheza dili na mawakili wa serkali kushindwa ki-deal kesi za madai wakandarasi walifutiwa tenda .

Kwa Sasa Kila aliyefutiwa tenda akiwa site anadaiwa kuitwa na mawakili wa serkali kijanja kukaa mezani na kukubariana namna ya kufungua kesi ili washinde na kugawana pesa na mawakili wa serkali ndani na nje ya nchi.

Inadaiwa kuwa wale walioshinda kule London walikula deal na mawakili na bado zipo kesi za michongo ambazo ofisi ya mwanasheria mkuu na mawakili wa serkali wamekula deal.

Wapo walifukuzwa kwenye maji, umeme hasa wa REA , Barabara, majengo na hata madini hapa nchini wanaaundwa kuwaibia watanzania kupitia mahakamani na kuna tetesi kuwa hata mahakimu na majaji wamo

Rais Samia chukua hatua watanzania watachezewa hadi lini hasa wakati huu ambapo ishu ya bandari bado inavuma

USSR
Ngoja kwanza! Unaemshauri ni huyu alienda kusaini mkataba na na wahuni walijipa jina la Dubai?
 
Wewe hujui kitu.
Mama kafanya kazi kubwa sana ya kupata kampuni ya kumwaga pesa.

Mimi ni Mjahidina wa Kikristo sikutaka majungu.

Nimeenda Dubai kwa pesa yangu ndio kwanza narudi.
Hatuta pata mkataba mzuri kama huu.

Nawambia tena. Dubai hawana shida na Ardhi yetu yoyote ile.
Waliandika ili kufidia hasara kama hatuja waelewa.
Ila walikosa lugha sahihi ya kusema. Kusema Kwamba... "kama kukitokea fulsa yoyote ya kuhusu Bandari basi tunaona vema mkitujulisha ili tukiwa na nia ya kuwekeza.
Wewe ni ile kitu tamu kinakaa katikati ya miguu ya wanawake
 
Upo kama mwendawazimu hivi jinga kabisa wewe. Wanashindwaje kuandika kwenye mikataba hayo unayoona ni mazuri mpaka waandike matakataka Yale ya kuuza taifa letu?
 
Upo kama mwendawazimu hivi jinga kabisa wewe. Wanashindwaje kuandika kwenye mikataba hayo unayoona ni mazuri mpaka waandike matakataka Yale ya kuuza taifa letu?
Hayo ya mikataba nasububilia mamaako siku akiwa rais nimtumie

USSR
 
Wewe hujui kitu.
Mama kafanya kazi kubwa sana ya kupata kampuni ya kumwaga pesa.

Mimi ni Mjahidina wa Kikristo sikutaka majungu.

Nimeenda Dubai kwa pesa yangu ndio kwanza narudi.
Hatuta pata mkataba mzuri kama huu.

Nawambia tena. Dubai hawana shida na Ardhi yetu yoyote ile.
Waliandika ili kufidia hasara kama hatuja waelewa.
Ila walikosa lugha sahihi ya kusema. Kusema Kwamba... "kama kukitokea fulsa yoyote ya kuhusu Bandari basi tunaona vema mkitujulisha ili tukiwa na nia ya kuwekeza.
Nilisha SEMA hapa ishu ya DP nipo na mama Samia

USSR
 
Nilisha SEMA hapa ishu ya DP nipo na mama Samia

USSR
Mama Samia alikosa watu sahihi wa kuwaelewesha Dubai Port World.

Wengi wanao enda hutumia muda mwingi wa majukumu yao kwa Taifa kucheza na hawana maadili ya Kitaifa.

Wanakwenda kufuata shopping na kuimba muziki na kukumbatia wasichana warembo tu basi.
 
Mh rais Samia huku mtaani Kuna tuhuma kubwa Sana za ofisi ya IG kucheza dili na mawakili wa serkali kushindwa ki-deal kesi za madai wakandarasi walifutiwa tenda .

Kwa Sasa Kila aliyefutiwa tenda akiwa site anadaiwa kuitwa na mawakili wa serkali kijanja kukaa mezani na kukubariana namna ya kufungua kesi ili washinde na kugawana pesa na mawakili wa serkali ndani na nje ya nchi.

Inadaiwa kuwa wale walioshinda kule London walikula deal na mawakili na bado zipo kesi za michongo ambazo ofisi ya mwanasheria mkuu na mawakili wa serkali wamekula deal.

Wapo walifukuzwa kwenye maji, umeme hasa wa REA , Barabara, majengo na hata madini hapa nchini wanaaundwa kuwaibia watanzania kupitia mahakamani na kuna tetesi kuwa hata mahakimu na majaji wamo

Rais Samia chukua hatua watanzania watachezewa hadi lini hasa wakati huu ambapo ishu ya bandari bado inavuma

USSR
Rais Samia mwenyewe anatafuta pesa. Waache waendelee kuuza nchi.
 
Mh rais Samia huku mtaani Kuna tuhuma kubwa Sana za ofisi ya IG kucheza dili na mawakili wa serkali kushindwa ki-deal kesi za madai wakandarasi walifutiwa tenda .

Kwa Sasa Kila aliyefutiwa tenda akiwa site anadaiwa kuitwa na mawakili wa serkali kijanja kukaa mezani na kukubariana namna ya kufungua kesi ili washinde na kugawana pesa na mawakili wa serkali ndani na nje ya nchi.

Inadaiwa kuwa wale walioshinda kule London walikula deal na mawakili na bado zipo kesi za michongo ambazo ofisi ya mwanasheria mkuu na mawakili wa serkali wamekula deal.

Wapo walifukuzwa kwenye maji, umeme hasa wa REA , Barabara, majengo na hata madini hapa nchini wanaaundwa kuwaibia watanzania kupitia mahakamani na kuna tetesi kuwa hata mahakimu na majaji wamo

Rais Samia chukua hatua watanzania watachezewa hadi lini hasa wakati huu ambapo ishu ya bandari bado inavuma

USSR
mawakili wetu kwenye International courts (chember) of Law, wanaotetea mikataba eti hakuamka vizuri. Afu anawakilisha nchi


Sent from my Infinix X672 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom