Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
unawaza kula alfajiri yote hii dah 🤣zNjaa inakusumbua.
kula kulala bana aise 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unawaza kula alfajiri yote hii dah 🤣zNjaa inakusumbua.
Sasa umeandika nini hiki??, bila shaka unatumia ubongo wa mende.Gentleman,
kuna mambo huhitaji ushirikina wala mihemko, huna haja kufanya maziezi ya kuporomosha matusi..
jikite kwenye hoja ya maana sana mezani. na kama huna mawazo mapya na fikra mbadala kaa kimya alaaa...
hasira za kinyumbu ziache huko huko nyikani alaaa🤣
unaetumia ubongo wa nyumbu, kama kawa kama dawa ni full mihemko full makasiriko dah 🐒Sasa umeandika nini hiki??, bila shaka unatumia ubongo wa mende.
kwani mikopo kigezo chake ni kwamba uruhusu ushoga,kuuza uhuru wako nkHalafu Kesho kiguu na njia kwenda kuomba MKOPO wa kununuua ma V8
b*tch hoja ya ushoga imetoka wapi?kwani mikopo kigezo chake ni kwamba uruhusu ushoga,kuuza uhuru wako nk
acha ujinga wewe
Nakupiga msasa wewe ili ukae kwenye reli. 😎😎unaetumia ubongo wa nyumbu, kama kawa kama dawa ni full mihemko full makasiriko dah 🐒
sasa huo ni masasa au mswaki gentleman?🐒Nakupiga msasa wewe ili ukae kwenye reli. 😎😎
Sema kauli hiyo tu haitoshi jamaa kutufungia vioo.Vikwazo sio kbs. Yaani ile kitu mpaka masikini ataonja joto ya jiwe.
Kabisa yaani. Wanakuvuruga dakika.Sema kauli hiyo tu haitoshi jamaa kutufungia vioo.
Na labda ina baraka zao ama lah washaombana misamaha huko.
Ukijitia jeuri wale wapuuzi hawachelewi kutuletea waasi.
Kasome ibara ya nane ya katiba ya JMT uone huo ukubwa wa mamlaka unayosema inaanzia wapi inaishia wapi...!Kuna katrend cha baadhi ya watu,wanasiasa na mabalozi wanataka kukatengeneza.yaani kutaka kuchukulia poa au kawaida eti Rais ni mtu au cheo cha kawaida tu.
Nawasihi tusijiaminishe upuuzi huu kwa mwamvuli wa demokrasia.
Kiongozi hata awe wa mtaa sio mtu wa kawaida tu.Kiongozi ni mtu mwenye maspirti ya kipekee...ana vyombo vingi sana ambavyo ni vya kawaida na sivivyo vya kawaida...amepitia mengi na ameona mengi sana ...ana akili zinazomwagika n.k
kamwe tusimchukulie poa.
nashukuru mkuu kwa kunielewaSawa JingaLao.
TUMEKUELEWA JINGALAO.
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
makaidi na jeuri wataeleweshwa tu kwa namna ambayo itawalazimu kuheshimu mamlaka za juu wapende wasipende 🐒Kuna katrend cha baadhi ya watu,wanasiasa na mabalozi wanataka kukatengeneza.yaani kutaka kuchukulia poa au kawaida eti Rais ni mtu au cheo cha kawaida tu.
Nawasihi tusijiaminishe upuuzi huu kwa mwamvuli wa demokrasia.
Kiongozi hata awe wa mtaa sio mtu wa kawaida tu.Kiongozi ni mtu mwenye maspirti ya kipekee...ana vyombo vingi sana ambavyo ni vya kawaida na sivivyo vya kawaida...amepitia mengi na ameona mengi sana ...ana akili zinazomwagika n.k
kamwe tusimchukulie poa.
Rais analindwa kwa njia zozote zile nyingine hata hawezi kuzijua zinatokea wapiUnataka kusema je??