GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Labda nikuambie tu Rais Samia kuna Uteuzi Mmoja wa Kimkakati umeufanya Jana ila sasa Umeshamsababishia matatizo Mhusika kwani kama hajarogwa awe Mweusi kuliko alivyo sasa ili Usiwe unamuona au Kumkumbuka kama yuko basi wanaweza Kumaliza Shughuli kabisa na hiyo 2025 asiione au akiiona atakuwa si huyu tena.
Kama kuna Chama hapa Tanzania kina tabia ya mwonekano wa Mto Wami ambao ukiuangalia kwa Juu unaona Maji yake yametulia tuli ila kwa chini yanaenda Kasi ya Hatari basi ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho Wewe ndiyo Mwenyekiti wake/ wao Taifa.
Ukitaka Unafiki utaukuta CCM, ukitaka Majungu utayakuta CCM, ukitaka Kusagiana Kunguni utakukuta CCM, ukitaka Utapeli / Uwongo utaukuta CCM, ukitaka Wivu usio na sababu baina ya Wanachama utaukuta CCM, ukitaka tabia ya Kuchongeana ili Kuharibiana Uongozini / Madarakani utakukuta CCM, ukitaka Uchawi na Ushirikina uliokomaa / uliotukuka utaukuta CCM na ukitaka UMAFIA kwa Kuwahishana mazima Udongoni Kinondoni / Kisutu pia utaukuta CCM.
Namuonea mno Huruma uliyemteua.
Kama kuna Chama hapa Tanzania kina tabia ya mwonekano wa Mto Wami ambao ukiuangalia kwa Juu unaona Maji yake yametulia tuli ila kwa chini yanaenda Kasi ya Hatari basi ni Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambacho Wewe ndiyo Mwenyekiti wake/ wao Taifa.
Ukitaka Unafiki utaukuta CCM, ukitaka Majungu utayakuta CCM, ukitaka Kusagiana Kunguni utakukuta CCM, ukitaka Utapeli / Uwongo utaukuta CCM, ukitaka Wivu usio na sababu baina ya Wanachama utaukuta CCM, ukitaka tabia ya Kuchongeana ili Kuharibiana Uongozini / Madarakani utakukuta CCM, ukitaka Uchawi na Ushirikina uliokomaa / uliotukuka utaukuta CCM na ukitaka UMAFIA kwa Kuwahishana mazima Udongoni Kinondoni / Kisutu pia utaukuta CCM.
Namuonea mno Huruma uliyemteua.