Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vitu vidogo naona ni chuki tu, huyu ni mrithi wa JPM miradi yote inaendelea na hakuna uliosimama hata mmoja.Well, vitu vikubwa ni relative, labda kwako wewe unaona kuna vikubwa!
Waarabu wamejaa kule hana namna ni wajomba zake, mjomba ni mama na mama ni MUNGU wako wa hapa dunianiMimi kama kuna jambo linalonishangaza kuhusu uongozi wa sasa ni ukimya wa Rais wa nchi, mambo mengi yanaendelea watu wana maswali mengi, tunapata habari tofauti, kwa nini Rais wa nchi hasimami na kuweka mambo sawa?
Kama hili la Wamasai kuondolewa kwa nini Mkuu wa nchi hatoki na kusema kuna hiki na kile, kwa nini watu wanaiongelea Serikali?
Kuna watu wanaamini kabisa Wamasai wanaondolewa kwa nguvu wakati Serikali inasema ni hiari, sasa kwa nini Rais hasimami na kuongea kumaliza mjadala?
Waarabu wamejaa kule hana namna ni wajomba zake, mjomba ni mama na mama ni MUNGU wako wa hapa dunianiMimi kama kuna jambo linalonishangaza kuhusu uongozi wa sasa ni ukimya wa Rais wa nchi, mambo mengi yanaendelea watu wana maswali mengi, tunapata habari tofauti, kwa nini Rais wa nchi hasimami na kuweka mambo sawa?
Kama hili la Wamasai kuondolewa kwa nini Mkuu wa nchi hatoki na kusema kuna hiki na kile, kwa nini watu wanaiongelea Serikali?
Kuna watu wanaamini kabisa Wamasai wanaondolewa kwa nguvu wakati Serikali inasema ni hiari, sasa kwa nini Rais hasimami na kuongea kumaliza mjadala?
Royal tourInasikitisha sana, yupo busy na mambo mengine...
Sahivi anajiandaa kwenda UlayaAkiongea tu anaharibu.
Utasikia - Kula kwa urefu kamba. n.k.
Nendeni mkalitizame hili..
Bora anyamaze tu afanye mengine.
Hayamhusu yeye ni raia wa nchi ya Zanzibar.Mimi kama kuna jambo linalonishangaza kuhusu uongozi wa sasa ni ukimya wa Rais wa nchi, mambo mengi yanaendelea watu wana maswali mengi, tunapata habari tofauti, kwa nini Rais wa nchi hasimami na kuweka mambo sawa?
Kama hili la Wamasai kuondolewa kwa nini Mkuu wa nchi hatoki na kusema kuna hiki na kile, kwa nini watu wanaiongelea Serikali?
Kuna watu wanaamini kabisa Wamasai wanaondolewa kwa nguvu wakati Serikali inasema ni hiari, sasa kwa nini Rais hasimami na kuongea kumaliza mjadala?
Ubaguzi ni ugonjwa unaotusumbua siku zote. Salim alipendwa sana na Mwalimu Nyerere lakini waliomkosesha urais ni wazenji wenzake wakidai ni mwarabu hivyo hawezi kuongoza TZ.Nadhani watu walizoeshwa vibaya na bado wana mning'inio wa zama....Waziri wa Maliasili amelizungumzia hilo jambo...Waziri Mkuu kalizungumzia bungeni na pia akaenda mpaka eneo la tukio na kuzungumza tena...Hao ni watendaji wakuu wa serikali....Wakati ukifika na ikihitajika Rais ataongelea...Lakini kwa sasa lilikuwa kwa WM ambaye anatosha.
Punguza ubaguzi mkuu, miaka sita wameongoza wasukuma na wakatawala watakavyo na hakuna aliyenung'unika.Waarabu wamejaa kule hana namna ni wajomba zake, mjomba ni mama na mama ni MUNGU wako wa hapa duniani
Wasukuma ni watanzania, wapi wamefukuzwa wamasai ajili ya wasukuma? wamasai wanafukuzwa ajili ya waarabuPunguza ubaguzi mkuu, miaka sita wameongoza wasukuma na wakatawala watakavyo na hakuna aliyenung'unika.
Hakuna ukweli wowote ni hisia tu zinakusumbua. Mwarabu yupo eneo lile tangu 1992 kwanini wamasai wafukuzwe leo kwa ajili yake?.Wasukuma ni watanzania, wapi wamefukuzwa wamasai ajili ya wasukuma? wamasai wanafukuzwa ajili ya waarabu
Sahivi si ndugu yao kaingiaHakuna ukweli wowote ni hisia tu zinakusumbua. Mwarabu yupo eneo lile tangu 1992 kwanini wamasai wafukuzwe leo kwa ajili yake?.
Ndio ubaguzi wenyewe huo ninaomaanisha. Anatembea dunia nzima kutafuta pesa kwa ajili ya Tanzania nzima, kwa ajili ya mahospitali yetu shule zetu miundo mbinu yetu.Sahivi si ndugu yao kaingia
Umejibu vyemaUrais ni taasisi, Wakiongea Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya mpaka Wenyeviti wa Vitongoji ujue Rais kaongea.
Kwani hakuna mabalozi mpk aende yeye?Ndio ubaguzi wenyewe huo ninaomaanisha. Anatembea dunia nzima kutafuta pesa kwa ajili ya Tanzania nzima, kwa ajili ya mahospitali yetu shule zetu miundo mbinu yetu.
Marekani nchi nyingi zina mabalozi wawili, mbona marais wanakwenda kuhudhuria mikutano wakati wana wawakilishi pale UN?.Kwani hakuna mabalozi mpk aende yeye?
Mbona Rais wa Marekani au PM wa Uingereza wao hawasafiri mara kwa mara kwenda kwneye nchi za wengine? tuchapeni kazi tuache kuomba omba kijinga, hakuna mtu alifanikiwa kwa kuomba omba hata mmoja, ardhi tunayo, madini, mito, mbunga kubwa, wanyama wa kila aina, tulichokosa ni akili na mfumo mbovu lakini MUNGU alitupa rasilimali zote hapa dunianiMarekani nchi nyingi zina mabalozi wawili, mbona marais wanakwenda kuhudhuria mikutano wakati wana wawakilishi pale UN?.
Uwepo wa rais unaleta nguvu zaidi na nchi inaonekana ipo makini katika kuhitaji hao wawekezaji. JPM alihakikisha vyombo vya habari havina sauti na kwa kufanya hivyo akaonekana ni shujaa anayefuatwa na marais wakati yeye hawafuati.
Ukweli ni kuwa tuliyumba sana katika masuala ya diplomasia na SSH amefufua eneo hilo na wawekezaji wanaofurika ni matunda ya mitazamo hiyo.