Rais Samia kwenda Malawi kuhudhuria mkutano wa 41 wa Wakuu wa nchi SADC

Rais Samia kwenda Malawi kuhudhuria mkutano wa 41 wa Wakuu wa nchi SADC

Huyu mpelelezi wa kizenjibar iliwezekana vip yeye kawa makamu mpka kawa rais?? mm siamn mpka leo kuongozwa na huyu mdhaifu kias hiki, kwanza muongo kaongopa mbele ya dunia(bbc) kuwa tumekubal unyonyaj wao wa tozo, huyu mtu hakustahil yaan basi tuu, ingekuwa nchi za walee jamaa wa misimamo, huyu angeshatafuta pakujificha na huku tungekuwa tushamsimamisha rais wa mpito.....undezi wa wabongo na uoga wa kijinga ndyo unatufikisha hapa tulpo leo, acha watutapeli tu no way out....
 
Natumia free basics sioni picha wala maandishi lakini siko mbali na watanzania wenzangu kumtakia mama safari njema ya uko Afghanistan cha msingi tunamuomba atufikishie salamu kwa utawala mpya wa wana MGAMBO na akitoka uko aende hadi Africa kusini pale hospital akamjuliye hali ZUMA.
 
Mpaka nimecheka Kama mazuri vile? Kwa hiyo akikaa nje tuongozwe na Sirro?
mzee, rais wa nchi anazururaje kiasi hiki? yaani ndani ya miezi mitano ameenda nje ya nchi zaidi ya alivyoitembelea mikoa ya nchi yake, na akiwa huku kila cku ana vikao na wazungu, wananchi anakutana nao saa ngapi ili atatue kero zao za vitu kupanda bei na tozo zisizo na kichwa wala miguu?... sasa kuna haja gani ya yeye kuishi tz? c tumtafutie tu kanchi huko akaage tu!
 
Siku hizi sisikii ajali za ndege kabisa!
 
Nenda mama nenda, kula bata wanawake wenzio waliokuwa wakikuletea dharau mkiwa kwenye vikoba adabu iwashike , na nilikuwa naiomba serikali itupe ratiba tukae nayo sisi wananchi ili tuwe tunajua akitoka nchi hii nchi inayofuatia kwa ziara ni ipi ili iwe rahisi kwetu, ila naomba ukitoka Malawi usisahau kwenda Botswana alafu na Afghanistan ili upeleke salamu za watanzania kwa wanamgambo uwambie watanzania wanafurahishwa na jitihada zinazoendelea kufanywa kwenye mji wa Taliban, mbona ndege yenyewe ya Air Tanzania itaota sugu mwaka huu, mama usisahau kuunda tume kuhusiana na hawa wananchi wanaopinga tozo ili hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi yao
 
Rais Samia Suluhu Hassan leo ataondoka nchini leo kwenda nchini Malawi kushiriki Mkutano wa 41 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Maaendeleo Kusini wa Afrika (SADC) utakofanyika Agosti 17 na 18. Pamoja na mambo mengine Malawi itathibitishwa kuwa Mwenyekiti wa SADC.

Afadhali bibi anathubutu kuhudhuria mikutano ya kimataifa yule bwana alikuwa anasepa mara moja.
 
Back
Top Bottom