Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Afadhali kuwakosa Ben Saa8 na Anzoroy Gwanda kulikoni kuikosa amani ya nchi.Afadhali tozo kuliko kutowaona Ben Saanane na Azory Gwanda (ingawa na huyu anaelekea huko)
Majeruhi wa utawala wa Magu....wapo wengi hawaMiaka mitano iliyopita Tanzania tulikuwa tumejitenga sana kwa sababu ya ujinga wa mtu mmoja.
Uchumi ungepaa angeshindwa kuongeza mishahara? Na mbona kakopa hela chungu nzima!Kwani tulipungukiwa na nini?; mbona uchumi ulipaa, Sio kila mikutano Rais wa nchi audhulie, nyingine inabidi kutuma Wawakilishi kupunguza garama
Cheki jinga hiliAfadhali bibi anathubutu kuhudhuria mikutano ya kimataifa yule bwana alikuwa anasepa mara moja.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Mimi wa Igogwe
Simuulizi, tuone.Muulize Sang'udi