Rais Samia kwenye ziara yako huko Misri kuwa makini na ishu ya maji ya ziwa victoria

Rais Samia kwenye ziara yako huko Misri kuwa makini na ishu ya maji ya ziwa victoria

Missile of the Nation

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2018
Posts
15,101
Reaction score
56,054
Siku zote Misri imekuwa ikidai kuwa ina haki na maji ya mto na nile na chanzo chake kuliko nchi nyingine yoyote ya ukanda wa mto nile.

Misri imekuwa ikirejea mkataba wa kikoloni unaoipa Misri share kubwa ya Maji hayo kwa kudai kuwa nchi ambazo mto nile na vyanzo vyake vipo havipaswi kutumia maji mengi kiasi cha kuathiri share hiyo ya Misri

Msimamo huo ulipingwa vikali na nchi za ukanda huu, na zimekuwa zikisisitiza haki yao ya kutumia maji hayo kwa shughuli zote zinazohitaji maji ikiwemo kilimo na kunywa.

Tunamtaka rais Samia awe makini huko aendako, asije akaingia mkataba wowote au makubaliano yoyote na Misri yatakayotuondolea haki ya kutumia maji ya Ziwa victoria, Au mkataba wowote unaotulazimisha kupata baraka za misri katika utumiaji wa maji hayo.

Leo tunaona chokochoko zibazoebdelea huko Ethiopia za vita vya wenyewe kwa wenyewe, tinajua kuwa Misri ina mkono wake katika chokochoko hizo kwa sababu haitaki Ethiopia ijenge na kutumia lile bwawa la Rennainsance dam, kwa hoja hizohizo kuwa bwawa litatumia maji mengi na hivyo kusababisha Misri ikose maji ya kutosha

Misri huwa wanakuja na vimisaada feki kwa nchi masikini ikiwemo
1. Scholarship
2. Kuchimba visima etc

Misri huwa inajenga hoja eti nchi zetu zina mvua nyingi kwa hiyo hazihitaji sana kutumia maji ya ziwa victoria. Hii hoja ni muflisi kwa sababu kwanza Mvua zina msimu, kutunza maji ya mvua inahitaji miundombinu ghali, na mvua zenyewe siyo reliable.
Lakini kikubwa zaidi, siyo haki kutwambia sisi tusitumie rasilimali aliyotupa Mungu eti rasilimali hiyo inahitajika na wengine.

Samia asikubali divide and conquer ya Misri, aiambie Misri kuwa suala la Maji ya Ziwa victoria Tanzania itadeal na Misri kupitia umoja wa nchi za chanzo cha mto nile na kwamba Tanzania hairadeal na Misri individually.

Rais awe makini na charm offensive ya wamisri, watamtake cade vizyri, kumpokea vuzuri n. k lakini wanataka kupara lionshare ya maji yetu hao.

Wamisri wana chanzo cha maji kutoka bahari ya Mediterannian, waache uvivu na ubahili wafanye desalination.

Sisi hatuwezi kuaffird kuachia maji yetu kizembezembe kwa sababu kwanza tuna mgogoro ziwa Nyasa, sasa iweje na ziwa Victoria tuwekewe vikwazo?

Rais awe makini sana
 
Pale unapomshauri mtu aliyezungukwa na vyombo vya usalama.Ila sishangai hua nikisikiliza radio nakuta mchambuzi wa Mpira radio za huko maporini akimshauri kocha Jürgen Klopp wa Liverpool.Utamsikia tu tatizo la klopp Ni kupenda kutumia 4-3-3 pale angetumia 4-4-2 ilikua Ni mwendo wa back to back.
 
Pale unapomshauri mtu aliyezungukwa na vyombo vya usalama.Ila sishangai hua nikisikiliza radio nakuta mchambuzi wa Mpira radio za huko maporini akimshauri kocha Jürgen Klopp wa Liverpool.Utamsikia tu tatizo la klopp Ni kupenda kutumia 4-3-3 pale angetumia 4-4-2 ilikua Ni mwendo wa back to back.
Vyombo vya usalama vimeanza wakati wa Samia? Havikuwepo wakati tunasaini mikataba na symbion, Dowans, Richmond, iptl, meremeta, kagoda?

Acha zako
 
Masikini ni masikini tu haishi kulalamika, maji yanatoka kwetu miaka yote tunalalamika upungufu wa chakula! Misri miaka na miaka wamekua wakijilisha wenyewe na kutupa misaada kutokana na faida wanayoipata kwenye mto Nile, kweli kwenye miti hakuna wajenzi.
 
Haya maji yameanza kutiririka katika Misri tokea iumwe dunia.WaTanzania hatuhitajii maji Ya Ziwani kwanza tunajua ni vinyesi vitupu,Hivi unataka kutwambia Serikali ya Tanzania inawanyesha watz maji ya Ziwa victoria ?

Maji tuliyonayo ardhini ni mengi kuliko hayo yaliyojaa kinyesi cha binadamu,waacheni wamasri watumie na wengine na wengine tuone kama Ziwa victoria litakauka,WaEthiopia hawawezi kuzuia maji ya Nile yasititirikie huko,hawana uwezo huo hata wajenge bwawa kubwa kiasi gani.

Tanzania tuna maji si zaidi ya mita hamsini chini ya ardhi mbali ya mito ,Hapa Muheza tuna Maji kule Magoroto kuna mto hale kuna mto zigi inakuwaje watu wa Muheza wanakosa maji ? Na zaidi hupewa maji kwa Mgao ,
Tuna tatizo la wabunge waganga njaa wasema uongo,wapo wapo tu.

Kutaka kuvamia mambo ya Ziwa victoria eti wamasri wakitumia maji Ziwa litakauka ,hili Ziwa mlileta au kulitengeza nyinyi ?
 
Siku zote Misri imekuwa ikidai kuwa ina haki na maji ya mto na nile na chanzo chake kuliko nchi nyingine yoyote ya ukanda wa mto nile.

Misri imekuwa ikirejea mkataba wa kikoloni unaoipa Misri share kubwa ya Maji hayo kwa kudai kuwa nchi ambazo mto nile na vyanzo vyake vipo havipaswi kutumia maji mengi kiasi cha kuathiri share hiyo ya Misri

Msimamo huo ulipingwa vikali na nchi za ukanda huu, na zimekuwa zikisisitiza haki yao ya kutumia maji hayo kwa shughuli zote zinazohitaji maji ikiwemo kilimo na kunywa.

Tunamtaka rais Samia awe makini huko aendako, asine akaingia mkataba wowote au makubaliano yoyotena Misri yatakayotuondolea haki ya kutumia maji ya Ziwa victoria, Au mkataba wowote unaotulazimisha kupata baraka za misri katika utumiaji wa maji hayo.

Leo tunaona chokochoko zibazoebdelea huko Ethiopia za vita vya wenyewe kwa wenyewe, tinajua kuwa Misri ina mkono wake katika chokochoko hizo kwa sababu haitaki Ethiopia ijenge na kutumia lile bwawa la Rennainsance dam, kwa hoja hizohizo kuwa bwawa litatumia maji mengi na hivyo kusababisha Misri ikose maji ya kutosha

Misri huwa wanakuja na vimisaada feki kwa nchi masikini ikiwemo
1. Scholarship
2. Kuchimba visima etc

Misri huwa inajenga hoja eti nchi zetu zina mvua nyingi kwa hiyo hazihitaji sana kutumia maji ya ziwa victoria. Hii hoja ni muflisi kwa sababu kwanza Mvua zina msimu, kutunza maji ya mvua inahitaji miundombinu ghali, na mvua zenyewe siyo reliable.
Lakini kikubwa zaidi, siyo haki kutwambia sisi tusitumie rasilimali aliyotupa Mungu eti rasilimali hiyo inahitajika na wengine.

Samia asikubali divide and conquer ya Misri, aiambie Misri kuwa suala la Maji ya Ziwa victoria Tanzania itadeal na Misri kupitia umoja wa nchi za chanzo cha mto nile na kwamba Tanzania hairadeal na Misri individually.

Rais awe makini na charm offensive ya wamisri, watamtake cade vizyri, kumpokea vuzuri n. k lakini wanataka kupara lionshare ya maji yetu hao.

Wamisri wana chanzo cha maji kutoka bahari ya Mediterannian, waache uvivu na ubahili wafanye desalination.

Sisi hatuwezi kuaffird kuachia maji yetu kizembezembe kwa sababu kwanza tuna mgogoro ziwa Nyasa, sasa iweje na ziwa Victoria tuwekewe vikwazo?

Rais awe makini sana
Ameshakwenda Misri tena, kweli mama anasafiri.
 
Pale unapomshauri mtu aliyezungukwa na vyombo vya usalama.Ila sishangai hua nikisikiliza radio nakuta mchambuzi wa Mpira radio za huko maporini akimshauri kocha Jürgen Klopp wa Liverpool.Utamsikia tu tatizo la klopp Ni kupenda kutumia 4-3-3 pale angetumia 4-4-2 ilikua Ni mwendo wa back to back.
Maoni hayana mdogo.....
kila mtu Mungu alimpa akili
 
Kuna kitu kinaitwa the Nile Basin, ambao ni mjumuisho wa nchi 12 zinazohusika na mto Nile. Tanzania haiwezi kuchukuwa uamuzi kipeke yake.
 
Baada ya kupata chanjo ya uviko shughuli ya kupepea angani imeanza.....namba ngapi hiyo tuweke takwimu sawa.
Yule mwingine English ilikua tatizo kwake ikabd ajifungie ndani akizuga eti huo ndio uzalendo,air hostess anakwambia wanaitwa air hostage 😁😁
 
Siku zote Misri imekuwa ikidai kuwa ina haki na maji ya mto na nile na chanzo chake kuliko nchi nyingine yoyote ya ukanda wa mto nile.

Misri imekuwa ikirejea mkataba wa kikoloni unaoipa Misri share kubwa ya Maji hayo kwa kudai kuwa nchi ambazo mto nile na vyanzo vyake vipo havipaswi kutumia maji mengi kiasi cha kuathiri share hiyo ya Misri

Msimamo huo ulipingwa vikali na nchi za ukanda huu, na zimekuwa zikisisitiza haki yao ya kutumia maji hayo kwa shughuli zote zinazohitaji maji ikiwemo kilimo na kunywa.

Tunamtaka rais Samia awe makini huko aendako, asije akaingia mkataba wowote au makubaliano yoyote na Misri yatakayotuondolea haki ya kutumia maji ya Ziwa victoria, Au mkataba wowote unaotulazimisha kupata baraka za misri katika utumiaji wa maji hayo.

Leo tunaona chokochoko zibazoebdelea huko Ethiopia za vita vya wenyewe kwa wenyewe, tinajua kuwa Misri ina mkono wake katika chokochoko hizo kwa sababu haitaki Ethiopia ijenge na kutumia lile bwawa la Rennainsance dam, kwa hoja hizohizo kuwa bwawa litatumia maji mengi na hivyo kusababisha Misri ikose maji ya kutosha

Misri huwa wanakuja na vimisaada feki kwa nchi masikini ikiwemo
1. Scholarship
2. Kuchimba visima etc

Misri huwa inajenga hoja eti nchi zetu zina mvua nyingi kwa hiyo hazihitaji sana kutumia maji ya ziwa victoria. Hii hoja ni muflisi kwa sababu kwanza Mvua zina msimu, kutunza maji ya mvua inahitaji miundombinu ghali, na mvua zenyewe siyo reliable.
Lakini kikubwa zaidi, siyo haki kutwambia sisi tusitumie rasilimali aliyotupa Mungu eti rasilimali hiyo inahitajika na wengine.

Samia asikubali divide and conquer ya Misri, aiambie Misri kuwa suala la Maji ya Ziwa victoria Tanzania itadeal na Misri kupitia umoja wa nchi za chanzo cha mto nile na kwamba Tanzania hairadeal na Misri individually.

Rais awe makini na charm offensive ya wamisri, watamtake cade vizyri, kumpokea vuzuri n. k lakini wanataka kupara lionshare ya maji yetu hao.

Wamisri wana chanzo cha maji kutoka bahari ya Mediterannian, waache uvivu na ubahili wafanye desalination.

Sisi hatuwezi kuaffird kuachia maji yetu kizembezembe kwa sababu kwanza tuna mgogoro ziwa Nyasa, sasa iweje na ziwa Victoria tuwekewe vikwazo?

Rais awe makini sana
Missile of the Nation , huwezi kufunga kichwa masaa yote kikaweza kufikiri vizuri. Kichwa kinahitaji flow of blood freely, ile restriction ya ushungi lazima ita impair thinking capacity! Mnisamehe walio kama yeye.. this is science and logic, common sense.
 
Back
Top Bottom