JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Amesema “Lazima tuwafundishe Watoto wetu kuhusu uzazi wa mpangilio, kama nilivyosema Afrika idadi ya watu ni kubwa, inaweza kutuletea tija au ikaeta mambo yasiyofaa kama hatutaitumia vizuri.”