Rais Samia: Lazima tuwafundishe Watoto wetu kuhusu uzazi wa mpangilio

Rais Samia: Lazima tuwafundishe Watoto wetu kuhusu uzazi wa mpangilio

Khalafu utasikia tunalenga soko la EAC lililo na DRC watu zaidi ya million 600.
 
Uzazi wa Mpango sababu Nchi mnaiuza kwa unawatahadharisha mapema watakuja kukosa mahali pa kujenga.
 
Mungu hajengi hospitali
Mungu hajengi barabara
Mungu Hajengi Shule
Mungu Hatoi Ajira.

Mungu alishajitoa na mambo ya wanadamu, alishawaachia mamlaka yote. Ndio maana ukifanya uhalifu leo, Mungu hatakuhukumu, wapo polisi, magereza, majaji na mahakimu WA kudili na wewe.

Kumhusisha Mungu kwenye mambo yasiyo mhusu ni dalili ya kutokujitambua
😆😆😆😆
 
Mh Rais ameongea ukweli kabisa, anapaswa kuungwa mkono na wadau wote.
Hili la uzazi anajaribu TU kufuta nyayo zake kaa mtu mwenye wivu huko kijijini,Elimu hio hata watu wa duni yake watampinga tu.

Maana wao Serikali ikileta Mambo ya uzazi wa Mpango - wakikutana ``KUSWALI'' Wanaambia Yakhee ungeza MKE wa tatu weyeee watoto ulionao hawatoshi,kila MTU na kuja na riziki yakeee!!!!

Nadhani suala Bandari linalkalia vibaya kooni anatafuta vibwagizo vya kuwaondoa raia kwenye MADA ya Bandari, nao ndio wanazidi kukomaa kila IITWAPO LEO.
 
Hata kutenda dhambi unajiamulia ee,wewe ulizaliwa unataka wenzako wasizaliwe?Endelea kushabikia usiyoyajua utafikiri wewe ndo unatengeneza mtoto.Yeremiah 4:1 kabla hujazaliwa nilikujua na baada ya kuzaliwa nikakutakasa.Hadi hapo unadhani mwanadamu ana mamlaka yoyote kuhusu kudhaa au kutokuzaa?Bwana wee utafte kanisa
 
You are right, they "abuse" this name, God!!!!!!!!!
My people are destroyed for lack of knowledge.Unashabikia udhalimu?Yeremiah 4:1 kabla hujazaliwa nalikujua na baada ya kuzaliwa nikakutakasa.Jiulize mwenyewe anayefanya watu wawepo ni nani?Mimi nasema kwa sababu namjua na wewe washabikia kwa sababu humjui.Fanya juhud kuthibitisha uwepo wa mungu.
 
Tanzania hiii ambayo zaidi ya Nusu ya Nchi ni mapori?.


Watu wazae !!.
Huko maporini wapelekeni bodaboda, wapiga debe stendi, watembeza maji, ukwaju, mahindi, pipi n.k mijini na stendi,

Wamachinga na mama ntilie wanaokimbizana na migambo mijini kila siku.
 
Back
Top Bottom