Pre GE2025 Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu

Pre GE2025 Rais Samia: Machifu waambieni wanasiasa ukweli vyeo havipatikani kwa kuua watu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Katika Mkutano wake na Mchifu leo Rais Samia atoa wito kwa machifu wawaelimishe Wanasiaa kuwa vyeo havipitani kwa kuua watu wala kutumia viongo vyao.

Akiongeza kuwa uonozi unatoka kwa Mungu.

====

Hakuna kabila wala Mkoa hata mmoja ndani ya Tanzania hii unaokubaliana na vitendo vya kuua albino, kukuta viungo hakuna, nk, na kama kuna wageni wanatuletea utamaduni huo tuukataeni si utamaduni wetu.

Pia tuwaelimishe watu, ukihoji sana utasikia uchaguzi umefika lakini uchaguzi haujasema tufanye vituko hivyo, waambieni wanasiasa kama hayo ni kweli, nyie machifu mnajua ukweli, vyeo havipatikani kwa kuua watu wala kushika viungo vya watu, mtoaji madaraka ni Mungu.

Mungu akikuweka na kukupa utapata, unaweza ukaua watu kumi na bado unalolitaka usipate sababu Mungu hajataka kukupa. Yanayotokea si mazuri kuyasikia.



 
Katika Mkutano wake na Mchifu leo Rais Samia atoa wito kwa machifu wawaelimishe Wanasiaa kuwa vyeo havipitani kwa kuua watu wala kutumia viongo vyao.

Akiongeza kuwa uonozi unatoka kwa Mungu.

====

Hakuna kabila wala Mkoa hata mmoja ndani ya Tanzania hii unaokubaliana na vitendo vya kuua albino, kukuta viungo hakuna, nk, na kama kuna wageni wanatuletea utamaduni huo tuukataeni si utamaduni wetu.

Pia tuwaelimishe watu, ukihoji sana utasikia uchaguzi umefika lakini uchaguzi haujasema tufanye vituko hivyo, waambieni wanasiasa kama hayo ni kweli, nyie machifu mnajua ukweli, vyeo havipatikani kwa kuua watu wala kushika viungo vya watu, mtoaji madaraka ni Mungu.

Mungu akikuweka na kukupa utapata, unaweza ukaua watu kumi na bado unalolitaka usipate sababu Mungu hajataka kukupa. Yanayotokea si mazuri kuyasikia.
Jamii ya kitanzania bado ni jamii inayo amini ushirikina, until jamii itakapo badilika matukio hayo ndio yatapungua
 
Katika Mkutano wake na Mchifu leo Rais Samia atoa wito kwa machifu wawaelimishe Wanasiaa kuwa vyeo havipitani kwa kuua watu wala kutumia viongo vyao.

Akiongeza kuwa uonozi unatoka kwa Mungu.

====

Hakuna kabila wala Mkoa hata mmoja ndani ya Tanzania hii unaokubaliana na vitendo vya kuua albino, kukuta viungo hakuna, nk, na kama kuna wageni wanatuletea utamaduni huo tuukataeni si utamaduni wetu.

Pia tuwaelimishe watu, ukihoji sana utasikia uchaguzi umefika lakini uchaguzi haujasema tufanye vituko hivyo, waambieni wanasiasa kama hayo ni kweli, nyie machifu mnajua ukweli, vyeo havipatikani kwa kuua watu wala kushika viungo vya watu, mtoaji madaraka ni Mungu.

Mungu akikuweka na kukupa utapata, unaweza ukaua watu kumi na bado unalolitaka usipate sababu Mungu hajataka kukupa. Yanayotokea si mazuri kuyasikia.


Kwani yeye amepataje cheo? Huyu mama anajua jinsi Magufuli alivyowafanyia watu, na si Magufuli ndiye aliyemteua na kumwachia cheo?
 
Sio ajabu kusikia kuwa Umoja wa Machifu nao umemnunulia Helicopter.
 
Pamoja na malalamiko yake...
Leo SSH kasema ukweli wake kuhusu mauaji yanayoendelea.
Kwa mujibu wa SSH...wanasiasa wasaka vyeo wanahusika!
 
Tatuna tofauti na Haiti
Wao uchawi ni utamaduni kabisa
Sokoni kumejaa matunguli na midoli tu
Uchawi ni umasikini
Imekuwa kawaida ukimuambia mtu kuwa mimi biashara zangu hazina chembe ya ndumba atacheka mpaka anye

Ujinga wenu ndio faida ya wengine
Bongo hata mfanyeje hamtauacha umasikini kwa shirk zenu
 
Back
Top Bottom