THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Du! Raisi kawa mbogo kama wale wa mikumi au
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
RAIS SAMIA 'AWA MBOGO' IKULU SAKATA LA WATU KUTEKWA "NAELEKEZA WIZARA ZOTE"
View: https://www.youtube.com/watch?v=XpoaAOzKg0Q
RAIS SAMIA 'AWA MBOGO' IKULU SAKATA LA WATU KUTEKWA "NAELEKEZA WIZARA ZOTE"
View: https://www.youtube.com/watch?v=XpoaAOzKg0Q
RAIS SAMIA 'AWA MBOGO' IKULU SAKATA LA WATU KUTEKWA "NAELEKEZA WIZARA ZOTE"
View: https://www.youtube.com/watch?v=XpoaAOzKg0Q
Waanze na wale walio mteka mtu na kumpeleka katavi national Park tuone umbogo wao.Kawa mbogo kivipi?Kutaleta tofauti huko kuwa mbogo?Kuna waliobainika kutenda hayo?Wamefanywaje?Kwa mfano,waliomteka mtu kwa siku 29?
Hapo sasa.Siyo tu kusema kimbogombog😵ngea na tukuone kwa vitendo kwamba hupendi jambo hilo.Waanze na wale walio mteka mtu na kumpeleka katavi national Park tuone umbogo wao.
Sawa tunamuunga mkono, lakini mbona hajakemea polisi waliomteka raia kwa siku 29 bila kutoa taarifa kwa ndugu zake? Hauoni kuwa hili nalo liinachangia ktk sehemu ya kukua kwa wimbi hili la utekaji? Wewe kama mtaalam wa Sheria hili unalionje?Namuunga Mkono Rais Samia kwenye hili
P
RAIS SAMIA 'AWA MBOGO' IKULU SAKATA LA WATU KUTEKWA "NAELEKEZA WIZARA ZOTE"
View: https://www.youtube.com/watch?v=XpoaAOzKg0Q