Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanajipoteza?Rais kadai watu hawapotei
Sasa runawakabidhi wachawi wawakamate watekaji. Watakoma.Nadhani Mheshimiwa Rais ameongea maneno mazuri pale na sasa watu wananukuu maneno yake out of context,na kusababidha Rais alaumiwe.
Kuhusu hayo mambo yanayoitwa mambo ya uchawi,Rais anawaalika machifu kutoa msaada ili huu uovu uweze kuthibitiwa,ili haya mambo ambayo hayana mantiki yakomeshwe.
Eti kuua wenye upala🤣🤣 hayo matukio yametokea Mara ya mwsho lin mkuuKuna mkoa Una matukio ya upotezaji watu kuzidi Mbeya? Kuchuna ngozi Mbeya, kuua Wenye upara Mbeya, kunyofoa korodani Mbeya.
Kadai ni uzushiWanajipoteza?
Lakini ni nani pia katika Africa ambaye sio mshirikina ??!Nitajie Chief asiye mshirikina nikupe Mbuzi dume asiyezini.
Of course machifu karibia wote ni wachawi, akiwemo chifu hangaya!Unawezaje kusema machifu ni washirikina mkuu?
Waafrika tunadharau sana tamaduni zetu.
Labda wewe! Sisi wengine hatuamini katika uchawi!Lakini ni nani pia katika Africa ambaye sio mshirikina ??!
Almost kila mtu anaenda kwa waganga wa kienyeji kwa ajili ya kupata eti kinga au mafanikio katika maisha 😳🙄 !
Nimesema sio wote ila almost wengi wako vile 🙄Labda wewe! Sisi wengine hatuamini katika uchawi!
Nini maana ya ushirikina ?Nitajie Chief asiye mshirikina nikupe Mbuzi dume asiyezini.
Huo uchawi huenda ni sababu si wakristo au waislamu.Of course machifu karibia wote ni wachawi, akiwemo chifu hangaya!
Ushirikina kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuabudu kisichokua Mungu 🙌Nini maana ya ushirikina ?
Ushirikina kwa tafsiri isiyo rasmi ni kuabudu kisichokua Mungu 🙌
Mizimu etc etc !
Muwamba ngozi huvutia upande wake !Kile kinachoabudiwa ndio Mungu kwa mujibu wa imani husika.
Ndo maana kuna Allah, Jehovah, Yaweh, n.k
Mind you, waislam huwaita wakristo washirikina kwani hamuamini Mungu?
CCM imetengeneza machifu wake kinyume cha katiba.Katika Mkutano wake na Mchifu leo Rais Samia atoa wito kwa machifu wawaelimishe Wanasiaa kuwa vyeo havipitani kwa kuua watu wala kutumia viongo vyao.
Akiongeza kuwa uonozi unatoka kwa Mungu.
====
Hakuna kabila wala Mkoa hata mmoja ndani ya Tanzania hii unaokubaliana na vitendo vya kuua albino, kukuta viungo hakuna, nk, na kama kuna wageni wanatuletea utamaduni huo tuukataeni si utamaduni wetu.
Pia tuwaelimishe watu, ukihoji sana utasikia uchaguzi umefika lakini uchaguzi haujasema tufanye vituko hivyo, waambieni wanasiasa kama hayo ni kweli, nyie machifu mnajua ukweli, vyeo havipatikani kwa kuua watu wala kushika viungo vya watu, mtoaji madaraka ni Mungu.
Mungu akikuweka na kukupa utapata, unaweza ukaua watu kumi na bado unalolitaka usipate sababu Mungu hajataka kukupa. Yanayotokea si mazuri kuyasikia.