Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Sijui tumeamua kuwa nchi ya Wasirikina au tumeamua kurudi Zama za mababu. Kazi ambayo imewashinda Polisi baada ya kuwa watuhumiwa No.1 Leo wamekabidhiwa Machifu. Labda Amiri Jeshi amegundua kweli Polisi ni wahusika au hawana uwezo.
Kwenye hii kazi wangeongezwa Waganga wa kienyeji tungemaliza tatizo mapema.
Kwenye hii kazi wangeongezwa Waganga wa kienyeji tungemaliza tatizo mapema.