THE BEEKEEPER
JF-Expert Member
- Feb 23, 2024
- 1,462
- 7,157
Nimeona "vinywaji" hapo mezani kwa machifu au macho yangu?RAIS SAMIA 'AWA MBOGO' IKULU SAKATA LA WATU KUTEKWA "NAELEKEZA WIZARA ZOTE"
View: https://www.youtube.com/watch?v=XpoaAOzKg0Q
Serikali ingefanya utaratibu wa kuwanunulia magari hao machifu na kuwapatia madereva pia. Angalau hata cruiser hardbody siyo mbaya.RAIS SAMIA 'AWA MBOGO' IKULU SAKATA LA WATU KUTEKWA "NAELEKEZA WIZARA ZOTE"
View: https://www.youtube.com/watch?v=XpoaAOzKg0Q
Namuunga Mkono Rais Samia kwenye hiliRAIS SAMIA 'AWA MBOGO' IKULU SAKATA LA WATU KUTEKWA "NAELEKEZA WIZARA ZOTE"
View: https://www.youtube.com/watch?v=XpoaAOzKg0Q
Waanze na wale walio mteka mtu na kumpeleka katavi national Park tuone umbogo wao.Kawa mbogo kivipi?Kutaleta tofauti huko kuwa mbogo?Kuna waliobainika kutenda hayo?Wamefanywaje?Kwa mfano,waliomteka mtu kwa siku 29?
Hapo sasa.Siyo tu kusema kimbogombog😵ngea na tukuone kwa vitendo kwamba hupendi jambo hilo.Waanze na wale walio mteka mtu na kumpeleka katavi national Park tuone umbogo wao.
Sawa tunamuunga mkono, lakini mbona hajakemea polisi waliomteka raia kwa siku 29 bila kutoa taarifa kwa ndugu zake? Hauoni kuwa hili nalo liinachangia ktk sehemu ya kukua kwa wimbi hili la utekaji? Wewe kama mtaalam wa Sheria hili unalionje?Namuunga Mkono Rais Samia kwenye hili
P
Huyu atakuwa mbogo wa kizimkazi na si yule mbogo wa Serengeti .RAIS SAMIA 'AWA MBOGO' IKULU SAKATA LA WATU KUTEKWA "NAELEKEZA WIZARA ZOTE"
View: https://www.youtube.com/watch?v=XpoaAOzKg0Q