Rais Samia: Makonda umekichemsha sana, wapo waliokuwa wamelala

Rais Samia: Makonda umekichemsha sana, wapo waliokuwa wamelala

Anajua kuwa akienda kuwafanyia uhalifu Wapinzani hakuna Mtu ndani ya CCM atakaemchukulia hatua.

Ndio maana ya kupelekwa kwenye Ngome ya CHADEMA.
Akileta ubabe wake wa kishamba tutamalizana naye kimila tu.
 
Rais Samia kwenye hafla ya kuapisha viongozi mbalimbali amesema Paul Makonda amekuta chama cha ccm kimelala usingizi wa pono na akakichemsha na sasa kila mtu amemka anataka kufanya kazi kuwatumikia wananchi, hasa wale wanyonge.

Rais Samia amemtaka Makonda kwenda kuuchemsha pia mkoa wa Arusha ili uachane na harakati za kichadema na ujikite kuvutia watalii wengi zaidi.


View: https://youtu.be/nhk6vELtTjA?si=F1l6njBYDB6YLkn2
 
Rais Samia kwenye hafla ya kuapisha viongozi mbalimbali amesema Paul Makonda amekuta chama cha ccm kimelala usingizi wa pono na akakichemsha na sasa kila mtu amemka anataka kufanya kazi kuwatumikia wananchi, hasa wale wanyonge.

Rais Samia amemtaka Makonda kwenda kuuchemsha pia mkoa wa Arusha ili uachane na harakati za kichadema na ujikite kuvutia watalii wengi zaidi.


View: https://youtu.be/nhk6vELtTjA?si=F1l6njBYDB6YLkn2

Sometimes huyu mama ana lugha Fulani hivi za kidemkrasia lakini ni za kimedani!!

Sijui ni kwanini aliingizwa mkenge na yeye akaingia!!kampeni za urais za mapema zinachakaza na kumzeesha kisiasa !so sad!
 
Back
Top Bottom