CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Mbwembwe tu alizoanzisha yule mwehu wa chatoHivi Vice President, waziri mkuu na Spika nao ni lazima kila kwenye kuapisha watu wawepo? hawana shughuri nyingine?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwembwe tu alizoanzisha yule mwehu wa chatoHivi Vice President, waziri mkuu na Spika nao ni lazima kila kwenye kuapisha watu wawepo? hawana shughuri nyingine?
Akileta ubabe wake wa kishamba tutamalizana naye kimila tu.Anajua kuwa akienda kuwafanyia uhalifu Wapinzani hakuna Mtu ndani ya CCM atakaemchukulia hatua.
Ndio maana ya kupelekwa kwenye Ngome ya CHADEMA.
Mswahili utamuweza!Mama Dodoma hapataki kabisa.
Unaambiw ktk life fanya unachokiwezaShughuli pendwa
Clip haisemi alichoandika mleta mada. Clip inasema akasaidie utalii.Mama kashindwa kuficha uchama kwenye mambo ya Utendaji
Hapo SawaClip haisemi alichoandika mleta mada. Clip inasema akasaidie utalii.
Huyu Makonda anaelewa maana ya hichi kiapo cha maadili?
Huwajui wana Arusha ww!.Maskini Lema!
DC Siku 3 Lea Anaapishwa Kuwa.....TanzaniaMama kashindwa kuficha uchama kwenye mambo ya Utendaji
Rais Samia kwenye hafla ya kuapisha viongozi mbalimbali amesema Paul Makonda amekuta chama cha ccm kimelala usingizi wa pono na akakichemsha na sasa kila mtu amemka anataka kufanya kazi kuwatumikia wananchi, hasa wale wanyonge.
Rais Samia amemtaka Makonda kwenda kuuchemsha pia mkoa wa Arusha ili uachane na harakati za kichadema na ujikite kuvutia watalii wengi zaidi.
View: https://youtu.be/nhk6vELtTjA?si=F1l6njBYDB6YLkn2
Jf mnafuatilia au ww ndio unafuatilia bro?Thanks, good job JF, tunafuatilia
P
Mtu anayetegemea vyeo vya mbeleko naye ana wa kuwanyoosha?!Makonda atawanyoosha tu jeuri jeuri
Per Diem Mkuu Zinatafutwa Sasa WafanyejeHivi Vice President, waziri mkuu na Spika nao ni lazima kila kwenye kuapisha watu wawepo? hawana shughuri nyingine?
Kuhalalisha upigaji. Hakuna lolote linalofanyika kwa bahati mbaya na bila ya maslahi.Hivi Vice President, waziri mkuu na Spika nao ni lazima kila kwenye kuapisha watu wawepo? hawana shughuri nyingine?