Miguel Alvarez JF-Expert Member Joined May 28, 2019 Posts 2,856 Reaction score 5,430 Apr 4, 2024 #41 vvm said: Mama kashindwa kuficha uchama kwenye mambo ya Utendaji Click to expand... Usikute hapo kuna watu wamenunua tayari ๐
vvm said: Mama kashindwa kuficha uchama kwenye mambo ya Utendaji Click to expand... Usikute hapo kuna watu wamenunua tayari ๐
Mpemba Mimi JF-Expert Member Joined Jul 6, 2013 Posts 1,656 Reaction score 2,483 Apr 4, 2024 #42 Dr Matola PhD said: Mama Dodoma hapataki kabisa. Click to expand... Sasa hapo Magogoni si karibu na kwetu? Au haujui hiyo?
Dr Matola PhD said: Mama Dodoma hapataki kabisa. Click to expand... Sasa hapo Magogoni si karibu na kwetu? Au haujui hiyo?
Mpemba Mimi JF-Expert Member Joined Jul 6, 2013 Posts 1,656 Reaction score 2,483 Apr 4, 2024 #43 digba sowey said: Safi sana,CCM mbele kwa mbele Click to expand... Nyuma Mwiko - Kama Yanga vileโฆ
Mpemba Mimi JF-Expert Member Joined Jul 6, 2013 Posts 1,656 Reaction score 2,483 Apr 4, 2024 #44 Dr Matola PhD said: Hivi Vice President, waziri mkuu na Spika nao ni lazima kila kwenye kuapisha watu wawepo? hawana shughuri nyingine? Click to expand... Sasa Mkuu na wao wasipate hako ka-per-diem? Utakuwa haujawatendea haki..
Dr Matola PhD said: Hivi Vice President, waziri mkuu na Spika nao ni lazima kila kwenye kuapisha watu wawepo? hawana shughuri nyingine? Click to expand... Sasa Mkuu na wao wasipate hako ka-per-diem? Utakuwa haujawatendea haki..
hah JF-Expert Member Joined Jan 28, 2024 Posts 507 Reaction score 1,004 Apr 4, 2024 #45 Dr Matola PhD said: Hivi Vice President, waziri mkuu na Spika nao ni lazima kila kwenye kuapisha watu wawepo? hawana shughuri nyingine? Click to expand... Hiyo ndio moja ya shughuli zao, unataka kuwaona wakiendesha boda boda??
Dr Matola PhD said: Hivi Vice President, waziri mkuu na Spika nao ni lazima kila kwenye kuapisha watu wawepo? hawana shughuri nyingine? Click to expand... Hiyo ndio moja ya shughuli zao, unataka kuwaona wakiendesha boda boda??
C citizensindevelopment18 JF-Expert Member Joined Apr 1, 2020 Posts 1,636 Reaction score 830 Apr 4, 2024 #46 vvm said: Wakapige Kazi sasa Click to expand... Ameshaapa mara nyingi huyo
Yoda JF-Expert Member Joined Jul 22, 2018 Posts 48,475 Reaction score 70,102 Apr 13, 2024 #47 Sasa anaichemsha na serikali
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 135,167 Reaction score 160,806 Apr 13, 2024 #48 Kila la kheri zao... Cc: Mahondaw