Rais Samia: Mapito Ya Uongozi Yameniongezea Maarifa

Taifa lilipata msiba pasipo kutarajia nakama Magu angeongoza mpaka mwisho asingekuwa Rais ajaye kwa mapito hayo 2025 rudisha nchi kwa wahusika nenda kapumzike kupunguza mapito magumu zaid ya 2025 to 2030. Usije sema hukuhusiwa
 
Taifa lilipata msiba pasipo kutarajia nakama Magu angeongoza mpaka mwisho asingekuwa Rais ajaye kwa mapito hayo 2025 rudisha nchi kwa wahusika nenda kapumzike kupunguza mapito magumu zaid ya 2025 to 2030. Usije sema hukuhusiwa
Chaguo la mamilioni ya watanzania ni Rais Samia mpaka 2030. Kwa hiyo Taifa letu litaendelea kuwa katika mikono Salama ,imara , madhubuti,shupavu na hodari ya Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan.

Ndani ya CCM Fomu ya Urais ni moja tu kwa ajili yake Mama yetu na Rais wetu Mpendwa Mama Samia.
 
Kama Kuna mwanaume anataka kuoa mwanamke mvumilivu hakika achukue mfano kwa huyu mama🙏
 
Zilaume Shahawa zilizokuzaa CHOKO wewe
 
Fomu Ni Moja tu kwa ajili ya Rais wetu Mpendwa kipenzi cha watanzania Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan
Hiyo ni ndoto labda kama CCM ni mali ya familia. Kama CCM ni ya wana CCM fomu itatolewa kwa wana CCM wote wenye sifa ili wachujwe na kupatikana mmoja mwenye sifa zaidi. Huyo unaempigia debe kama ana sifa anaogopa nini kushindana na wengine?
 
Hiyo ni ndoto labda kama CCM ni mali ya familia. Kama CCM ni ya wana CCM fomu itatolewa kwa wana CCM wote wenye sifa ili wachujwe na kupatikana mmoja mwenye sifa zaidi. Huyo unaempigia debe kama ana sifa anaogopa nini kushindana na wengine?
Sisi ndio CCM na ndio tunasema kuwa ndani ya CCM Fomu ya Urais ni Moja tu kwa ajili ya Rais Samia. Fomu ni moja tu na hakutakuwa na mwingine zaidi ya Rais Samia
 
Sisi ndio CCM na ndio tunasema kuwa ndani ya CCM Fomu ya Urais ni Moja tu kwa ajili ya Rais Samia. Fomu ni moja tu na hakutakuwa na mwingine zaidi ya Rais Samia
Wewe na nani? CHAWA sio wana CCM ni wafuasi wa mtu. CCM ni ya wana CCM si ya CHAWA.
 
Na mimi ni mwana CCM ambapo kwa umoja wetu tumeamua kuwa Fomu ya Urais itakuwa ni moja tu.
Wewe CHAWA una uamuzi gani ndani ya CCM? Hata CCM inavyofanya uamuzi wake hujui ukalia tu kutetea kila kitu bila kuchuja kizuri na kibaya. Muda utatupa jibu, CCM ni Chama kubwa si mali ya familia.
 
Hiyo ni ndoto labda kama CCM ni mali ya familia. Kama CCM ni ya wana CCM fomu itatolewa kwa wana CCM wote wenye sifa ili wachujwe na kupatikana mmoja mwenye sifa zaidi. Huyo unaempigia debe kama ana sifa anaogopa nini kushindana na wengine?
Anajua hawezi kushinda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…