Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Unataka demokrasia ya Aina gani zaidi ya hii tuliyo nayo hapa Nchini?Mwambie Rais wako na Mkwe wake waruhusu DEMOKRASIA ili wajue watanzania wanampenda Huyo SAMIA au hawataki hata kumuona sura yake pale ikulu.Waambie wajaribu waone,hapo ndio unaambiwa sumu haijaribiwi