kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 15,188
- 18,583
Tujiandae kusikia mateja wanakamatwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kifo ni kifo tu.Huu ndiyo ulio ukweli:
"Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki,"
Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki," amesema Rais Samia" Nadhani angeishia tu hapo, angeeleweka zaidi kwa Watanzania. Kule alikojielekeza zaidi katika kuhutubia kwake, hakukuwa na ulazima. Her further comments on the matter has backfired with comments of all sorts and condemnations to part of her speech that in fact was irritating to the victims relatives and the general public. May be should consider an Apology ..Anajifanya hajui wakati yeye ndiyo aliwaambie wafanye huo unyama.kama ameumizwa Kwa Nini Hadi Sasa hatujapewa majibu ya uchunguzi?.uchunguzi Hadi lini wakati wauwaji wanajulikana.
Kifo ni kifo tu.
Ni kweli.Hizi ni dhana potofu za kimaskini zenye milengo ya kidini zaidi.
Ipo tofauti kubwa baina ya kuuwawa na kufa kifo cha kwaida.
Kwenye kuuwawa shuruti wahusika kuwajibishwa.
Taarifa hii bado watanganyika hatujapewa majibu!Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na Watanzania katika kulaani mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ali Kibao yaliyosababisha mshtuko na hisia kali nchini.
Akizungumza Septemba 17, 2024, kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia amesisitiza kwamba mauaji hayo hayakubaliki kwa sababu yoyote ile. Rais Samia alisema:
"Siku kadhaa zilizopita ndugu zangu nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za sisi wananchi na kuibua hisia kali hasa kwa wafuasi wa chama hicho.
Kifo hicho kimeleta majonzi sio tu kwa Watanzania bali pia kwa wawakilishi wa baadhi ya mataifa ya nje wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania"
Rais Samia aliendelea kusema kwamba mauaji hayo hayakubaliki na serikali imechukua hatua za haraka kuhakikisha uchunguzi unafanyika.
Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki," amesema Rais Samia.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na Watanzania katika kulaani mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ali Kibao yaliyosababisha mshtuko na hisia kali nchini.
Akizungumza Septemba 17, 2024, kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia amesisitiza kwamba mauaji hayo hayakubaliki kwa sababu yoyote ile. Rais Samia alisema:
"Siku kadhaa zilizopita ndugu zangu nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za sisi wananchi na kuibua hisia kali hasa kwa wafuasi wa chama hicho.
Kifo hicho kimeleta majonzi sio tu kwa Watanzania bali pia kwa wawakilishi wa baadhi ya mataifa ya nje wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania"
Rais Samia aliendelea kusema kwamba mauaji hayo hayakubaliki na serikali imechukua hatua za haraka kuhakikisha uchunguzi unafanyika.
Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki," amesema Rais Samia.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Kifo ni kifo .....unachunguza nini ? Kazi za ndani na kinga umewapa mwenyewe bungeniii??Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na Watanzania katika kulaani mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ali Kibao yaliyosababisha mshtuko na hisia kali nchini.
Akizungumza Septemba 17, 2024, kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia amesisitiza kwamba mauaji hayo hayakubaliki kwa sababu yoyote ile. Rais Samia alisema:
"Siku kadhaa zilizopita ndugu zangu nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za sisi wananchi na kuibua hisia kali hasa kwa wafuasi wa chama hicho.
Kifo hicho kimeleta majonzi sio tu kwa Watanzania bali pia kwa wawakilishi wa baadhi ya mataifa ya nje wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania"
Rais Samia aliendelea kusema kwamba mauaji hayo hayakubaliki na serikali imechukua hatua za haraka kuhakikisha uchunguzi unafanyika.
Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki," amesema Rais Samia.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na Watanzania katika kulaani mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ali Kibao yaliyosababisha mshtuko na hisia kali nchini.
Akizungumza Septemba 17, 2024, kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia amesisitiza kwamba mauaji hayo hayakubaliki kwa sababu yoyote ile. Rais Samia alisema:
"Siku kadhaa zilizopita ndugu zangu nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za sisi wananchi na kuibua hisia kali hasa kwa wafuasi wa chama hicho.
Kifo hicho kimeleta majonzi sio tu kwa Watanzania bali pia kwa wawakilishi wa baadhi ya mataifa ya nje wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania"
Rais Samia aliendelea kusema kwamba mauaji hayo hayakubaliki na serikali imechukua hatua za haraka kuhakikisha uchunguzi unafanyika.
Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki," amesema Rais Samia.
Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea