Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa

Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa

.Anajifanya hajui wakati yeye ndiyo aliwaambie wafanye huo unyama.kama ameumizwa Kwa Nini Hadi Sasa hatujapewa majibu ya uchunguzi?.uchunguzi Hadi lini wakati wauwaji wanajulikana.
Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki," amesema Rais Samia" Nadhani angeishia tu hapo, angeeleweka zaidi kwa Watanzania. Kule alikojielekeza zaidi katika kuhutubia kwake, hakukuwa na ulazima. Her further comments on the matter has backfired with comments of all sorts and condemnations to part of her speech that in fact was irritating to the victims relatives and the general public. May be should consider an Apology .
 
Hizi ni dhana potofu za kimaskini zenye milengo ya kidini zaidi.

Ipo tofauti kubwa baina ya kuuwawa na kufa kifo cha kwaida.

Kwenye kuuwawa shuruti wahusika kuwajibishwa.
Ni kweli.

Kipindi kile shujaa wa afrika amefariki je angeweza kutamka kuwa kifo ni kifo tuu?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na Watanzania katika kulaani mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ali Kibao yaliyosababisha mshtuko na hisia kali nchini.

Akizungumza Septemba 17, 2024, kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia amesisitiza kwamba mauaji hayo hayakubaliki kwa sababu yoyote ile. Rais Samia alisema:

"Siku kadhaa zilizopita ndugu zangu nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za sisi wananchi na kuibua hisia kali hasa kwa wafuasi wa chama hicho.
Kifo hicho kimeleta majonzi sio tu kwa Watanzania bali pia kwa wawakilishi wa baadhi ya mataifa ya nje wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania"

Rais Samia aliendelea kusema kwamba mauaji hayo hayakubaliki na serikali imechukua hatua za haraka kuhakikisha uchunguzi unafanyika.

Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki," amesema Rais Samia.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Taarifa hii bado watanganyika hatujapewa majibu!
UWT tupeni majibu!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na Watanzania katika kulaani mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ali Kibao yaliyosababisha mshtuko na hisia kali nchini.

Akizungumza Septemba 17, 2024, kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia amesisitiza kwamba mauaji hayo hayakubaliki kwa sababu yoyote ile. Rais Samia alisema:

"Siku kadhaa zilizopita ndugu zangu nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za sisi wananchi na kuibua hisia kali hasa kwa wafuasi wa chama hicho.
Kifo hicho kimeleta majonzi sio tu kwa Watanzania bali pia kwa wawakilishi wa baadhi ya mataifa ya nje wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania"

Rais Samia aliendelea kusema kwamba mauaji hayo hayakubaliki na serikali imechukua hatua za haraka kuhakikisha uchunguzi unafanyika.

Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki," amesema Rais Samia.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na Watanzania katika kulaani mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ali Kibao yaliyosababisha mshtuko na hisia kali nchini.

Akizungumza Septemba 17, 2024, kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia amesisitiza kwamba mauaji hayo hayakubaliki kwa sababu yoyote ile. Rais Samia alisema:

"Siku kadhaa zilizopita ndugu zangu nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za sisi wananchi na kuibua hisia kali hasa kwa wafuasi wa chama hicho.
Kifo hicho kimeleta majonzi sio tu kwa Watanzania bali pia kwa wawakilishi wa baadhi ya mataifa ya nje wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania"

Rais Samia aliendelea kusema kwamba mauaji hayo hayakubaliki na serikali imechukua hatua za haraka kuhakikisha uchunguzi unafanyika.

Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki," amesema Rais Samia.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
Kifo ni kifo .....unachunguza nini ? Kazi za ndani na kinga umewapa mwenyewe bungeniii??
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameungana na Watanzania katika kulaani mauaji ya aliyekuwa kiongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Ali Kibao yaliyosababisha mshtuko na hisia kali nchini.

Akizungumza Septemba 17, 2024, kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi la Polisi yaliyofanyika katika viwanja vya Chuo cha Polisi Moshi, Rais Samia amesisitiza kwamba mauaji hayo hayakubaliki kwa sababu yoyote ile. Rais Samia alisema:

"Siku kadhaa zilizopita ndugu zangu nchi yetu imepata msiba wa kuuawa kwa mmoja wa viongozi wa CHADEMA, kifo kilichosisimua miili na akili za sisi wananchi na kuibua hisia kali hasa kwa wafuasi wa chama hicho.
Kifo hicho kimeleta majonzi sio tu kwa Watanzania bali pia kwa wawakilishi wa baadhi ya mataifa ya nje wanaoziwakilisha nchi zao nchini Tanzania"

Rais Samia aliendelea kusema kwamba mauaji hayo hayakubaliki na serikali imechukua hatua za haraka kuhakikisha uchunguzi unafanyika.

Nataka niungane nao niseme kwamba kwa sababu yoyote ile mauaji haya hayakubaliki," amesema Rais Samia.

Soma Pia: Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea


Tatizo la Mama yetu huyu amekuwa muongo muongo sana. Sasa watanzania wamemshitukia
 
Back
Top Bottom