Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

Rais Samia mbona hakubali tatizo nini?

kijana ni vizuri uwe na lugha nzuri hata kama hukubali mawazo ya mtu unaweza kucomment "crap" au "nosense' maana usisahau na wao hawakubali mawazo yako pia nao wanakuona wewe ni ng'ombe maksai kabisa anaelima huku akipigwa mijeledi!!
 
Nakuambia SSH amefanya vzr kumzidi jiwe mie sio mshabiki mandaz, Samia kamzid JPM parefu sana, ninachoshangaa Kitaani kwangu hakubaliki
Nabii hakubaliki kwao...Hata Magufuli kipindi cha urais wako kitaani alikuwa hakubaliki....Baada ya kufa watu wa kitaa wakaanza kumkubali.
 
Kwanini watu hawasemi ukweli kuwa Samia hakubaliki Bali wanapiga propaganda tu?

Kuanzia masokoni, vijiwe vya kahawa,mitaani ,maofisini mama hakubaliki ,shida ni nini jamani?

Juzi tukiwa ofisini karibu staff members Kama 15 ,ikawashwa redio ,mama alikuwa anahutubia ,sijui ni Tabora hiyo, aisee staff walikuja juu ,redio izimwe ,Hakuna anachoongea cha maana ,Walidai hivo,

Huku wakisema Wamemmiss sana Hotuba za JPM ,

Hii hali niliichukulia kawaida,lkn nenda hata masokoni, mfano Mabibo sokoni, Manzese, nenda machinjion Vingunguti, Mama anazungumzwa vibaya, anaonekana anafeli sana

Wananchi wengi wanaamini maendeleo yanaenda kwa mwendo wa Kobe,

Wanaamini wezi wamerudi serikalini,

Wanaamini Jpm alikuwa mtetezi wao,

Wanaamini Kuna kundi limemuondoa mwendazake

Kiukweli hata wewe ulipo hapo Kama mpo 10, jaribu ufanye utafiti,uone Ni namna gan mama anakubalika ,

Utaleta majibu hapa ,

Ninachojiuliza huyu mama kwann hakubaliki ,je sio presidential material?

Au Hana maono na nchi hii Kama alivyokuwa Jpm?

Ukiangalia jins Jpm alivyotuvusha kwenye Corona , unaona KABISA angekuwa huyu mama tungekuwa wapi?

Kuna mtu huwa ananiambia msimamo wa chanjo kwa watanzania ndio Iman ya Watu kwa Jpm ,

Hadi Sasa propaganda za chanjo zimefeli , huku majority wakiendelea kuamini falsafa za Jpm ,ambazo hata Korea wameanza kuzitumia




Swali kwann huyu mama hata Hotuba zake zinapuuzwa ,?

Kipind Cha JPM watu had kwenye bodaboda wanatega masikio ,waone mwamba ataongelea mradi gan mpya, mwizi gan atatumbuliwa,

Huyu mama Hotuba zake zinapuuzwa ,kwasasa watu wapo tayari kumsikiliza haji manara na sio raisi,tatizo nn?
Pamoja sina Chama chochote ila mimi simlaumu Mama hata kidogo ,Mama amendoshewa Jumba bovu ,ingawa CCM hajiawahi kujenga uchumi mzuri lakini kila awamu uchumi ulikuwa unakuwa kwa kiasi fulani mpaka Kikwete anaondoka uchumi ulikuwa umekuza 6.7 awamu ya tano iliuppromosha mpaka 3.5. zikawa zinapikwa Takwimu za uongo at list mama ameanza kuinyanyua mpaka 5na point hivi. Kwa hiyo Mama bado anaanakibarua cha ziada sana ila yote kwa yote CCM haifai kuendelea kukaa madarakani hata kidogo
Sababu kubwa Fedha nyingi zinawekezwa kwenye Maswala ya kisiasa kuliko maendeleo
 
Back
Top Bottom