Rais Samia: Mbowe alijificha Nairobi aliporudi akaanza harakati za madai ya Katiba, nadhani ni Calculation akijua kwamba ana kesi

Nchi hii kamwe hatuwezi kuvumilia chokochoko ya uvunjifu wa amani ,amani ni tunu tuliorithishwa tutailinda kwa gharama yoyote .Uzalendo kwanza
 
Nchi hii kamwe hatuwezi kuvumilia chokochoko ya uvunjifu wa amani ,amani ni tunu tuliorithishwa tutailinda kwa gharama yoyote .Uzalendo kwanza
Mbona zinavunjwa wazi wazi na hakuna wa kuilinda?
 
tulieni tuliii,nyumbu nyie,tatizo lenu poor thinking carpercity! yaani kila mda mko nyuma ya muda[emoji23][emoji23][emoji23].tatizo mlimuona ni mama Basi mtamgeuza mnavyotaka.kwa ninavyoona mbowe amecheza kalata chafu,hachomoki mtaniambia!
 
Mwendazake kichaa Kwisha habari yake
Mama naye atapotea tu muda ukifika
 
Sipingi mtazamo wako mkuu, ndiomaana kwenye comment yangu nimesema kuna uwezekano(inawezekana) Mbowe asiwe gaidi kama jinsi anavyotuhumiwa.

Nilikuwa napinga hoja ya niliemquote,aliosema kuwa Mbowe hakuwa Kenya anasingiziwa.
 
Yule mama hatari sana
 
Kwanza sijaku-quote wewe, ila nashangaa umeijibu hoja yangu kwa Matusi.

Haya basi umenitukana kuwa mimi ni mjinga, wewe mwenye akili zitumie kumtoa Freeman Mbowe huko aliko.
 
Kwa mahojiano ya leo na BBC natafakari inawezekana vipi Ndugu DPP kusema "hana nia ya kuendelea na kesi"..??

Natafakari pia ni Jaji yupi anayeweza kusema Ndugu.Mbowe hana hatia hivyo Mahakama inamuachia huru..
 
Mbona ninyi mmeshamtoa mdisi na kusema kesi ni ya kubambikiwa? Kwani huko siyo kuhukumu?
 
Hiyo kesi ilikuwepo tokea siku ya matokeo kutangazwa eti walipanga kulipua vituo ghafla akaachiwa yeye na Boniface Jacob!! Eti leo ndio ushahidi unapatikana baada ya kudai katiba?...
Mkuu zitto junior hoja zako zinafikirisha isipokuwa hitimisho lako hili Huyu mama ni shetani na anguko lake linakaribia limeharibu uzito wake.

Aliyeyasema hayo, tena hadharani, ni Rais wa JMT anayepata habari nyingi kuliko mimi na wewe humu JF. Tusubiri yatakayojiri kesi itakapoanza kusikilizwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…