Mkunazi Njiwa
JF-Expert Member
- Apr 22, 2023
- 8,538
- 7,559
Wenye kazi hiyo ya kusikiliza Quran tutakuwepo uwanja wa Mkapa mgeni rasmi akiwa Rais wa JMT....wewe usije mkuu!Kazi kweli kweli
Na mimi nimekuambia kanisa siyo nyumba ya ibada ya mwenyezi mungu ...niulize chimbuko la kanisa ni nini ? Wakati wa Isa (Yesu ) kanisa liliruhusiwa na yesu mwenyewe ila alikuwa nyumba ya ibada ndiyo maana watu waliingia na viatu na kukaa vitini ...Yesu aliwaambia wanafunzi wake wasiache kukutanika kufundishana injili hivyo majengo waliyo kuwa wanakutanika kufundishana injili ndiyo yalikuwa yanaitwa kanisa , hivyo azikuwa nyumba za ibada... tatizo lilikuja baadae baada ya yesu kuondoka na kuanza kwa upotovu wa MADHEHEBU, hapo ndipo walipo badili kanisa kuwa nyumba ya ibada na ile desturi ya kuingia na viatu na kukaa kwenye viti iliendelea ...hivyo upotovu ndani ya ukristo ulianza kwenye kubadili nyumba za kukutania wakristo na kuziita nyumba za ibada. Bwana Utam FaizaFoxy adriz Mufti kuku The Infinity Malaria 2Nimenukuu Quran sijanukuu biblia wala Gita......
I approve this message. Waislam wote, Allah na mtume wetu pendwa Muhammad tuko nyuma ya mama.Napendekeza hilo tukio liitwe Quran ya Mama.
Huyo Sheikh ni mmoja wa viongozi wa BAKWATA, kiumri anaweza kuwa mkubwa kuliko Sheikh Mkuu.Sijakukatalia mkuu wangu....
Ili hoja yako iwe ni ya kifikra ni vyema ukanieleza kuwa huyo Shekhe ni fulani....ama ana wadhifa wa kuisimamia BAKWATA pale makao makuu....
Vinginevyo masheikh wako wengi sana....
Nataka niupime weledi wa sheikh huyo kwa kujua kwake thamani ya TAASISI NA UTAASISI....
Wako masheikh wanaipinga BAKWATA yetu....je hao ni wasemaji wa BAKWATA?!!
Ulipenda kuwaona wakisali popote tu hata ufukweni mahali watu wanatembea na vichupi?.Na mimi nimekuambia kanisa siyo nyumba ya ibada ya mwenyezi mungu ...niulize chimbuko la kanisa ni nini ? Wakati wa Isa (Yesu ) kanisa liliruhusiwa na yesu mwenyewe ila alikuwa nyumba ya ibada ndiyo maana watu waliingia na viatu na kukaa vitini ...Yesu aliwaambia wanafunzi wake wasiache kukutanika kufundishana injili hivyo majengo waliyo kuwa wanakutanika kufundishana injili ndiyo yalikuwa yanaitwa kanisa , hivyo azikuwa nyumba za ibada... tatizo lilikuja baadae baada ya yesu kuondoka na kuanza kwa upotovu wa MADHEHEBU, hapo ndipo walipo badili kanisa kuwa nyumba ya ibada na ile desturi ya kuingia na viatu na kukaa kwenye viti iliendelea ...hivyo upotovu ndani ya ukristo ulianza kwenye kubadili nyumba za kukutania wakristo na kuziita nyumba za ibada. Bwana Utam FaizaFoxy adriz Mufti kuku The Infinity Malaria 2
Umeumia? Mpaka wazungu wanashiriki. Biblia ngumu sana kuhifadhika ndani ya moyo kwa sababu imechakachuliwa na wanaadam
Lugha utayotumia ni sawa. Mwisho wa siku anasoma bila kuangalia
Ukisha Kariri hausomi tena. Unaimba
Tumia akili ...ni mtume au nabii gani aliye badili taratibu za nyumba ya ibada ya mungu hadi wakristo mnaingia na viatu na kuketi vitini ..... tatizo ni kubadili kanisa kutoka mfumo wa nyumba za kukutania na kuzifanya nyumba za ibada bila ya kufuata kanuni za nyumba ya ibada ya munguUlipenda kuwaona wakisali popote tu hata ufukweni mahali watu wanatembea na vichupi?.
Kanisa halisi lipo moyoni mwa mkristo anayeamini katika kifo na ufufuko wa Yesu Kristo. Nyumba tunazokutania ni sehemu tu za sisi wenye imani moja kuweza kuwa tunakwenda kufanyia ibada.
Huyo Sheikh ni mmoja wa viongozi wa BAKWATA, kiumri anaweza kuwa mkubwa kuliko Sheikh Mkuu.
Ipo video moja anampinga Profesa Janabi katika suala zima la watu kujipimia vyakula, anasema vipi kuhusiana na wanaume wanaooa wanawake wenye umri mdogo, anamhoji Profesa Janabi kwenye hiyo video.
Mifumo Wetu sio wa kukariri ni WA kuelewa. Kukariri nifumo unaotumiwa na watu wasio na UBONGO WA kuelewa ( UBONGO mdogo) hivyo hulinywa dude kama lilivyo. Hata kama tumesoma shuleni unajua jinsi watu hao wasio na UBONGO WA kuelewa walivyokuwa wanahangaika kukariri biology na masomo mengine.
Kweli mnaelewa. Ndio maana kuna wasabato, wa luteri, katoliki, walokole wote wanatumia biblia moja lkn hawafanyi ibada kanisa moja
Kama wale swalaaa......swalaaaa
Ni kama kunena kwa lugha πKuna kipindi nakaa mfaranyaki songea. Nikawa nafuatilia maneno ya zile swala swalaaa zao. Kumbe ni marudio ya maneno yale yale
Tuenende hiviii....Huyo Sheikh ni mmoja wa viongozi wa BAKWATA, kiumri anaweza kuwa mkubwa kuliko Sheikh Mkuu.
Ipo video moja anampinga Profesa Janabi katika suala zima la watu kujipimia vyakula, anasema vipi kuhusiana na wanaume wanaooa wanawake wenye umri mdogo, anamhoji Profesa Janabi kwenye hiyo video.
Kurudiarudia maneno au jambo hakulifanyi hilo jambo kuwa lisilo na maana.....Kuna kipindi nakaa mfaranyaki songea. Nikawa nafuatilia maneno ya zile swala swalaaa zao. Kumbe ni marudio ya maneno yale yale
Mashindano haya ya Kuhifadhi Quran yaende sambamba na Mashindano ya Kuhifadhi Hisabati, Kemia, Fizikia, Baiolojia, Jiografia, n.k.Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye mashindano ya dunia ya kusoma Quran Tukufu, yatakayofanyika nchini katika Uwanja wa Benjamini Mkapa Februari 23, mwaka huu.
Akizungumza na vyombo vya habari, jijini Dar es Salaam, Makao Makuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakari Zuberi, amesema kuwa mashindano hayo yanatarajia kushindanisha mabara matano, Afrika, Asia, Arabu na Ulaya.
Amesema hayo ni mashindano ya kwanza kuhudhuriwa na mabara mengi, kwa kuwa inatokana na sera na juhudi za Rais Samia, kuimarisha urafiki na undugu pande zote za dunia.
Aidha alitoa wito kwa wazazi kujikita kwenye malezi bora, yakiwamo kuwaelekeza watoto kwenye elimu ya dini, ili kuwe na taifa bora na makini lenye kumuogopa Mungu, kwani dini ndio mwongozo wa maisha.
Mwakilishi wa Balozi ya Saudi Arabia, Shehe Mutab Bin Azamay Suleiman, amesema wanaushukuru uongozi wa Tanzania unaoongozwa na Rais Samia, kuwa nchi ya mfano yenye utulivu na amani hadi mashindano hayo makubwa kufanyika nchini.
mesema tayari Waziri Mkuu wa Saudi Arabia ameshasaini mikataba ya kusaidiana kati ya BAKWATA na serikali ya Saudi Arabia na matunda yameaanza kuonekana, kwa makubaliano na ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.
Mwandaaji wa Mashindano hayo, Shekhe Othuman Kaporo, amesema mashindano yataongozwa na kuhudhuriwa na Imam Mkuu wa Msikiti wa Saudi Arabia wa Madina, Shekhe Abdallah Buaijan, na kwa mara ya kwanza Tanzania kupata ugeni huo.
Amesema washiriki wataweza kujinyakulia zawadi mbalimbali, zikiwamo magari, bajaji, pikipiki na tiketi za kwenda kuhiji Mji Mtakatifu βMeccaβ.
Pia wahudhuriaji watakaofika katika Uwanja wa Benjamini Mkapa wataweza kuangalia na kupima afya zao bure, kwa magonjwa yasiyoambukiza.
Source: Nipashe
Masomo ya Sayansi siyo ya kukariri yamejikita kwenye tafiti za kila Siku iitwayo LEO πMashindano haya ya Kuhifadhi Quran yaende sambamba na Mashindano ya Kuhifadhi Hisabati, Kemia, Fizikia, Baiolojia, Jiografia, n.k.