Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kukariri lugha ya Waarabu mnaona kama kwenda peponi!! Nyie Bado ni watumwa wa waarabuKwa sababu namuelimisha jahil
Ila usiite mashairi
Sasa zile unazozisikia alfajiri sio Quran.Ni mashairi bana. Wee nenda alfajili karibu na msikiti utasikia. Tena wanaimba kwa kupokezana
Kukariri lugha ya Waarabu mnaona kama kwenda peponi!! Nyie Bado ni watumwa wa waarabu
Sasa zile unazozisikia alfajiri sio Quran.
Kwa nini uiite mashairi wakati Allah mwenyewe anapinga hilo
Nae ni mwenzenu tu. Hajui anacho abuduMlokole anaelia usiku kucha
Umeshawahi kusoma QuranAmepinga wapi?
Basi MUHAMMAD alikuwa KAFIRI... ndiyo maana unawaona wenzako wanakwepa swali ....wewe umekuja kichwa kichwa kama ngiri.....Kabla ya Muhammad kupewa utume... mtume wa mwisho kwa mujibu ya uislamu ni Isa na kabla ya kuja kwa msahafu kitabu cha mwisho ni injili....hivyo injili ni mwongozo wa mungu kabla ya msahafu je Muhammad kabla ya kufikia daraja ya utume ilimpasa afuate maagizo ya mungu ya mwisho na kwa hayo ndiyo afike daraja ya utume kisha ndiyo apewe huo msahafu ....sasa swali kama Muhammad akufuata mwongozo wa mungu wa injili je utume kaupata kutoka njia gani . Bwana Utam FaizaFoxy adriz Mufti kuku The Infinity Malaria 2
Neno la mungu sio hadithi.
Sio tu Quran Allah ameteremsha vitabu kabla ya QuranWakikujibu uni tag mkuu.
Pia ukiwauliza kwamba uislam kama ulianza kabla ya Muhammad msingi wa imani yao ulikuwa ni nini? Maana kuruwan ambao ndiyo muongozo na msinga wa imani ya uislam ilianza kuwapo kipindi cha mtume Muhammad
Hakunaga muislamu wa kunijibu maswali yangu hata moja ndiyo maana nawa tag kabisa ...kuhusu uislamu kuwa dini ya mitume wote nilisha wauliza maswali wakakimbia wasinijibu majuzi na niliwa tagWakikujibu uni tag mkuu.
Pia ukiwauliza kwamba uislam kama ulianza kabla ya Muhammad msingi wa imani yao ulikuwa ni nini? Maana kuruwan ambao ndiyo muongozo na msinga wa imani ya uislam ilianza kuwapo kipindi cha mtume Muhammad
Umeshawahi kusoma Quran
Tuanzie hapo
Wewe ndio akili huna...Mungu anaangalia ulichonacho moyoni mwako sio mavazi unayovaa.Tumia akili ...ni mtume au nabii gani aliye badili taratibu za nyumba ya ibada ya mungu hadi wakristo mnaingia na viatu na kuketi vitini ..... tatizo ni kubadili kanisa kutoka mfumo wa nyumba za kukutania na kuzifanya nyumba za ibada bila ya kufuata kanuni za nyumba ya ibada ya mungu
Jiwe gizani.Mashindano haya ya Kuhifadhi Quran yaende sambamba na Mashindano ya Kuhifadhi Hisabati, Kemia, Fizikia, Baiolojia, Jiografia, n.k.
Badala ya kushindanishwa kwenye mambo muhimu yenye tija wanashindana kwenye mambo ya dini, kuhifadhi quran, ili iweje, kwamba watakuwa masheikh?