Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Muhammad aliwaambia waislamu kuwa katika watu wa peponi wapo na manasara....sasa wewe unakuja na uongo wako kuwa manasara hakuna mchamungu wa kweli 😁😁😁😁 kwa hiyo tukuamini wewe au Muhammad aliye eleza iuhusu manasara wakweli
Toa ushahidi kuwa Muhammad alisema katika watu wa peponi wapo na manaswara
 
Muhammad aliwaambia waislamu kuwa katika watu wa peponi wapo na manasara....sasa wewe unakuja na uongo wako kuwa manasara hakuna mchamungu wa kweli 😁😁😁😁 kwa hiyo tukuamini wewe au Muhammad aliye eleza iuhusu manasara wakweli
Ni kweli kwani makanisa nayo ni nyumba ya Mwenyezi Mungu....
 
Hataenda, sijawahi kuona neno la mungu linashindanishwa, huo ni upuuzi mtupu na Mungu hahusiki kwenye upumbavu huo
 
Badala ya kushindanishwa kwenye mambo muhimu yenye tija wanashindana kwenye mambo ya dini, kuhifadhi quran, ili iweje, kwamba watakuwa masheikh?
 
Hataenda, sijawahi kuona neno la mungu linashindanishwa, huo ni upuuzi mtupu na Mungu hahusiki kwenye upumbavu huo
Mungu wako si Mungu wao....acha kujipa "matrkooo yasiyo na kiuno"...

Nani kukuteua usemee taratibu za wengine ?!!
 
Badala ya kushindanishwa kwenye mambo muhimu yenye tija wanashindana kwenye mambo ya dini, kuhifadhi quran, ili iweje, kwamba watakuwa masheikh?
Si wote waliohifadhi Quran ni masheikh....

Huo ni utaratibu wa dini yetu....je tukusikilize na kukufuata wewe Loth ,kwa kuwa wewe ni nani ?!!

Jambo lisilokuhusu unawezaje kuwa "kiranja" wake ?!!
 
Mungu wako si Mungu wao....acha kujipa "matrkooo yasiyo na kiuno"...

Nani kukuteua usemee taratibu za wengine ?!!
mnamualikaje Rais ahudhurie upuuzi huo kama tu Mungu mwenyenyewe hahusiki kwenye ujinga huo?
 
Hayo mambo ni ya watoto wa madrasa pelekeni huko mlikowakarisha, sio mnaleta kwenye uwanja mkubwa wa michezo mkidai ni mashindano!
 
Hayo mambo ni ya watoto wa madrasa pelekeni huko mlikowakarisha, sio mnaleta kwenye uwanja mkubwa wa michezo mkidai ni mashindano!
Haitakuwa ni kwa mara ya kwanza...

Hivi huko nyuma yalipofanyika yalizuiwa yasifanyike na ubwatukaji wako kama huu ?!!
 
Hapana Quran haitoki kwa Mungu wa kweli ila ilijaribu kukopi injili na tourati na kuhadaa umma kuwa imeshushwa na Mungu
Wakati inakopiwa wewe ulikuwepo?!!

Wakati Injili inanenwa ,wewe ulikuwepo ?!!

Kwanini tukuamini wewe usemacho kuwa ni kweli na hao wengine ni uongo ilihali si ninyi wala babu zenu walioshuhudia hayo ?!!!
 
Wakati inakopiwa wewe ulikuwepo?!!

Wakati Injili inanenwa ,wewe ulikuwepo ?!!

Kwanini tukuamini wewe usemacho kuwa ni kweli na hao wengine ni uongo ilihali si ninyi wala babu zenu walioshuhudia hayo ?!!!
Ipo wazi mkuu hesabu hazingopi Quran imeandikwa Karne ya sita wakati injili ilikuepo Toka Karne ya kwanza na tourati ilikupo miaka 500 kabla ya kristo au Karne ya kwanza.
 
Ipo wazi mkuu hesabu hazingopi Quran imeandikwa Karne ya sita wakati injili ilikuepo Toka Karne ya kwanza na tourati ilikupo miaka 500 kabla ya kristo au Karne ya kwanza.
Uwazi wa hesabu zipi?!!

Wakati huo uwazi unafunuliwa wewe ulikuwepo?!!

Ulishuhudia?!!

Kama sivyo basi hoja yako ni ya kihisia tu kwa kuamua tu kuchagua upande uliouopenda nafsi yako kutokana na ima athari za malezi ya utoto wako ,peer groups ama hofu zako tu kama mwanadamu.....

Baadhi yenu wanadini wa kiislamu na kikristo mna UJINGA MWINGI SANA ......
 
Back
Top Bottom