Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 301,221
- 1,172,274
تمام
Tutaandaa tamasha la watoto wa Sunday school tumwite aje kuwa mgeni rasmi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutaandaa tamasha la watoto wa Sunday school tumwite aje kuwa mgeni rasmi
Sasa mashairi na hadithi kipi kituko ...vp neno la mungu mwenyezi liitwe HADITHI...hivi wewe ukimuagiza mtoto wako jambo kisha mtoto wako akasema hayo maagizo yako ni HADITHI TU wewe utamwelewajeSurah Ya-Sin (36:69):
"Na hatukumfundisha (Mtume) mashairi, wala hayawezi kuwa kwake. Hii ni isipokuwa mawaidha na Qur'an yenye kubainish
Basi MUHAMMAD alikuwa KAFIRI... ndiyo maana unawaona wenzako wanakwepa swali ....wewe umekuja kichwa kichwa kama ngiri.....Kabla ya Muhammad kupewa utume... mtume wa mwisho kwa mujibu wa uislamu wenyewe ni Issa na kabla ya kuja kwa msahafu, kitabu cha mwisho ni injili....hivyo injili ni mwongozo wa mungu kabla ya msahafu je Muhammad kabla ya kufikia daraja ya utume ilimpasa afuate maagizo ya mungu ya mwisho na kwa hayo ndiyo afike daraja ya utume kisha ndiyo apewe huo msahafu ....sasa swali kama Muhammad akufuata mwongozo wa mungu wa injili je utume kaupata kutoka njia gani . Bwana Utam FaizaFoxy adriz Mufti kuku The Infinity Malaria 2Alibatizwa kanisa gani ?!!
Neno la mungu sio hadithi.Sasa mashairi na hadithi kipi kituko ...vp neno la mungu mwenyezi liitwe HADITHI...hivi wewe ukimuagiza mtoto wako jambo kisha mtoto wako akasema hayo maagizo yako ni HADITHI TU wewe utamwelewaje
Allah anasema sio mashairi....ni mashairi ya Allah....yalipotufikia hatuwezi kusema ni mashairi ya kutungwa na wanadamu.....
Piga kichwani bado ana pumuaNa wewe kariri biblia yako kama inawezekana
Nadhani ujui neno la mungu ni nini ....hata dhambi inaweza kuwa neno la mungu tumia akili ....ndani ya uislamu kuna kitu mnakiita hadithiNeno la mungu sio hadithi.
Hadithi ni maneno na matendo ya mtumeNadhani ujui neno la mungu ni nini ....hata dhambi inaweza kuwa neno la mungu tumia akili ....ndani ya uislamu kuna kitu mnakiita hadithi
Maneno na matendo ya mitume yaliyo andikwa kwenye kitabu chake Mungu ndiyo neno la Mungu hilo....la sivyo yasinge andikwa ...mitume na manabii, maisha yao ni sehemu ya neno la munguHadithi ni maneno na matendo ya mtume
Hata hiyo hoja yako niya kijinga ndiyo maana nikakuuliza wewe mtoto wako akiyaita maagizo yako kuwa ni hadithi tu utamchukuliaje ? Sembuse mtume wa Mwenyezi Mungu... je wewe na mtume mohammad nani ni mkuu sasa kama neno lako la msingi unalo mwambia mtoto wako, inge kuchukiza kuitwa ni hadithi na huyo mtoto wako....je neno la mtume wa mungu kuliita hadithi siyo laana hiyo ...waislamu mmelaaniwa yani mnaliita neno la mungu litokalo kwenye vinywa vya mitume wake kuwa ni hadithi .... 😁😁😁😁Hadithi ni maneno na matendo ya mtume
Ok.Allah anasema sio mashairi
Muhammad SAW ametufundisha kuwa tuamini katika vitabu vyote vya Mungu vilivyoshushwa kabla yake....Basi MUHAMMAD alikuwa KAFIRI ndiyo maana unawaona wenzako wanakwepa swali ....wewe umekuja kichwa kichwa kama ngiri.....Kabla ya Muhammad kupewa utume... mtume wa mwisho kwa mujibu ya uislamu ni Isa na kabla ya kuja kwa msahafu kitabu cha mwisho ni injili....hivyo injili ni mwongozo wa mungu kabla ya msahafu je Muhammad kabla ya kufikia daraja ya utume ilimpasa afuate maagizo ya mungu ya mwisho na kwa hayo ndiyo afike daraja ya utume kisha ndiyo apewe huo msahafu ....sasa swali kama Muhammad akufuata mwongozo wa mungu wa injili je utume kaupata kutoka njia gani . Bwana Utam FaizaFoxy adriz Mufti kuku The Infinity Malaria 2
Kushukuru ni UUNGWANA....Walimshukuru ,hata mufti alimshukuru magu kwa kufanikisha msikiti hapo bakwata angalau umesimama
Ova
Kwa nini amrehemuMwenyezi Mungu amrehemu aaamin !
Uislamu unakataa kuwaamini watu tu bali kuyapima maneno yao na vitendo vyao vinavyoihusu jamii.....Mtu mzima anapoongea hatiliwi shaka, haswa akiwa kiongozi wa dini.
Kama ni hivyo yeye alikifuata kitabu cha injili je alikuwa mnasara...maana wanasara ni wale nanaofuata mafundisho ya injili na kuwaamini mitume wote wa nyuma ya injili ....Muhammad SAW ametufundisha kuwa tuamini katika vitabu vyote vya Mungu vilivyoshushwa kabla yake....
Sasa Injili na Taurati si vitabu vilivyoshushwa na Mungu ?!!
Pesa za ujenzi aliwatafutia RC MakondaBaada ya kifo chake kuna sheikh mmoja akasema ule msikitini ulijengwa na JK pesa zilitoka Morocco ni kama kuwajibu wote walioamini kwamba hayati ndio alitafuta pesa na akaujenga.
Kwa umri wake anayajua vyema hayo unayoyasema. Jina limenitoka nikilikumbuka nitakutajia.Uislamu unakataa kuwaamini watu tu bali kuyapima maneno yao na vitendo vyao vinavyoihusu jamii.....
Huyo Shekhe "fulani" aliyepotosha juu ya ukweli ni nani katika uongozi wa taasisi ya BAKWATA ?!!
Inamsaidia nini mtu maishani kukariri kiarabu?Lugha utayotumia ni sawa. Mwisho wa siku anasoma bila kuangalia
Alifuata Injil lakini hakufuata biblia.Manaswara hawafuati Injil wanafuata bibliaKama ni hivyo yeye alikifuata kitabu cha injili je alikuwa mnasara...maana wanasara ni wale nanaofuata mafundisho ya injili na kuwaamini mitume wote wa nyuma ya injili ....