Mnaswara maana yake nini?
Eti muhammad alikuwa ni mnaswara kabla ya kupewa utume? FaizaFoxy Bwana Utam
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Eti muhammad alikuwa ni mnaswara kabla ya kupewa utume? FaizaFoxy Bwana Utam
Issa ni huyo anayeitwa yesu
Yesu ni wa kweli huoni hata jina lake laweza kuponya na kuokoa je jina la issah linaweza kufanya hivyo ?Yeah
Unataka kuleta mbango ?!!Hata mimi nimewahi kuingia ila Shujaa aliukagua hiyo Ndio tofauti 🐼
MnasaraMnaswara maana yake nini?
Kwa nini uiite mashairi wakati Allah mwenyewe anapinga hiloUkipita mashairi tutakuwa tunasema hayajatoka kwa Allah kupitia Jibril alayhi salaam?
Nitakuwepo na nitashiriki hiyo rede....vijana wa kiume nasi tunaweza kucheza rede mbele ya MFARIJI MKUU WA NCHI.....Kuna watu wana andaa shindano la REDE (READY)
Linaitwa CHEZA REDE NA SAMIA, nao wanataka wamwalike awe mgeni rasmi.
Wameandaa na t shirt kabisa
Allah ametumia lugha ya kutueleza kuwa tusiyafananishe na haya mashairi ya akina Shaaban Robert na Andanenga....Kwa nini uiite mashairi wakati Allah mwenyewe anapinga hilo
Jina la yesu haliwezi kuponya, ambao wanaolitumia wanapretend tu bali kuna njia ambazo wanatumia ambazo hata ukitaja jina lako mapepo yatatoka.Yesu ni wa kweli huoni hata jina lake laweza kuponya na kuokoa je jina la issah linaweza kufanya hivyo ?
Sasa wewe unafananisha Quran na mashairi ganiAllah ametumia lugha ya kutueleza kuwa tusiyafananishe na haya mashairi ya akina Shaaban Robert na Andanenga....
Kwani Daktari anatibu ama anaponya ?!!Jina la yesu haliwezi kuponya, ambao wanaolitumia wanapretend tu bali kuna njia ambazo wanatumia ambazo hata ukitaja jina lako mapepo yatatoka.
Halafu,Isa sio Mungu mpaka jina lake liwe linatumika kuponya.
....ni mashairi ya Allah....yalipotufikia hatuwezi kusema ni mashairi ya kutungwa na wanadamu.....Sasa wewe unafananisha Quran na mashairi gani
Hatari yake ni nini ewe mtanzania?Hatari sana
Baada ya kifo chake kuna sheikh mmoja akasema ule msikitini ulijengwa na JK pesa zilitoka Morocco ni kama kuwajibu wote walioamini kwamba hayati ndio alitafuta pesa na akaujenga.Shujaa Magufuli aliingia ndani ya msikiti mkuu wa BAKWATA Kinondoni na kuukagua
Shekhe mmoja alisema so and so....haiwezi ikawa hoja kuntu....Baada ya kifo chake kuna sheikh mmoja akasema ule msikitini ulijengwa na JK pesa zilitoka Morocco ni kama kuwajibu wote walioamini kwamba hayati ndio alitafuta pesa na akaujenga.
Hivi huyu bado huko ufipa maana pald ufipa ndy ilikuwaga kilinge chake!Dr 😂
Jirani Yako hapo Ufipa au Togo 😀😀
Wamshukuru sana magu kwa kuusimamia huo msikiti mpk kufika hatua hiiBaada ya kifo chake kuna sheikh mmoja akasema ule msikitini ulijengwa na JK pesa zilitoka Morocco ni kama kuwajibu wote walioamini kwamba hayati ndio alitafuta pesa na akaujenga.
Umeamua kukumbatia hisia zako na zodo ?!!Wamshukuru sana magu kwa kuusimamia huo msikiti mpk kufika hatua hii
Ova
Mtu mzima anapoongea hatiliwi shaka, haswa akiwa kiongozi wa dini.Shekhe mmoja alisema so and so....haiwezi ikawa hoja kuntu....
Huyo shekhe mmoja ni msemaji wa BAKWATA ?!!
Walimshukuru ,hata mufti alimshukuru magu kwa kufanikisha msikiti hapo bakwata angalau umesimamaUmeamua kukumbatia hisia zako na zodo ?!!
Kwanini wasimshukuru Rais aliyewafanyia makubwa ?!!
Hivi wakatoliki waliopewa milioni 100 na rais Samia kule kanisani Arusha hawakumshukuru na hawamshukuru ?!!