Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Hata mimi nimewahi kuingia ila Shujaa aliukagua hiyo Ndio tofauti 🐼
Unataka kuleta mbango ?!!

Sasa wewe wakupe kazi ya kuukagua kwa kuwa ni nani jonijo ?!!ha ha ha

Shujaa (rip) alikuwa ni AMIRI JESHI WA MAJESHI YA ULINZI NA USALAMA ,misikiti na makanisa yote ni yake......
 
Yesu ni wa kweli huoni hata jina lake laweza kuponya na kuokoa je jina la issah linaweza kufanya hivyo ?
Jina la yesu haliwezi kuponya, ambao wanaolitumia wanapretend tu bali kuna njia ambazo wanatumia ambazo hata ukitaja jina lako mapepo yatatoka.
Halafu,Isa sio Mungu mpaka jina lake liwe linatumika kuponya.
 
Jina la yesu haliwezi kuponya, ambao wanaolitumia wanapretend tu bali kuna njia ambazo wanatumia ambazo hata ukitaja jina lako mapepo yatatoka.
Halafu,Isa sio Mungu mpaka jina lake liwe linatumika kuponya.
Kwani Daktari anatibu ama anaponya ?!!

Kama Yesu ni Mungu....basi atakuwa anaponya kwani "shifaa-ponyo" hutoka kwa Mungu.....
 
Baada ya kifo chake kuna sheikh mmoja akasema ule msikitini ulijengwa na JK pesa zilitoka Morocco ni kama kuwajibu wote walioamini kwamba hayati ndio alitafuta pesa na akaujenga.
Shekhe mmoja alisema so and so....haiwezi ikawa hoja kuntu....

Huyo shekhe mmoja ni msemaji wa BAKWATA ?!!
 
Wamshukuru sana magu kwa kuusimamia huo msikiti mpk kufika hatua hii

Ova
Umeamua kukumbatia hisia zako na zodo ?!!

Kwanini wasimshukuru Rais aliyewafanyia makubwa ?!!

Hivi wakatoliki waliopewa milioni 100 na rais Samia kule kanisani Arusha hawakumshukuru na hawamshukuru ?!!
 
Back
Top Bottom