Sio kweli, Quran haijakopi chochote kutoka kwenye biblia.
Ila biblia ndo imekopi kutoka kwenye Injil
Surah Ya-Sin (36:69):Quran ni mashairi ,ni kweli inaweza kuimbwa pasipo na vyombo vya muziki....
"Na hatukumfundisha (Mtume) mashairi, wala hayawezi kuwa kwake. Hii ni isipokuwa mawaidha na Qur'an yenye kubainish