Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Na wewe kariri biblia yako kama inawezekana
Mifumo Wetu sio wa kukariri ni WA kuelewa. Kukariri nifumo unaotumiwa na watu wasio na UBONGO WA kuelewa ( UBONGO mdogo) hivyo hulinywa dude kama lilivyo. Hata kama tumesoma shuleni unajua jinsi watu hao wasio na UBONGO WA kuelewa walivyokuwa wanahangaika kukariri biology na masomo mengine.
 
Mifumo Wetu sio wa kukariri ni WA kuelewa. Kukariri nifumo unaotumiwa na watu wasio na UBONGO WA kuelewa ( UBONGO mdogo) hivyo hulinywa dude kama lilivyo. Hata kama tumesoma shuleni unajua jinsi watu hao wasio na UBONGO WA kuelewa walivyokuwa wanahangaika kukariri biology na masomo mengine.
Kweli mnaelewa. Ndio maana kuna wasabato, wa luteri, katoliki, walokole wote wanatumia biblia moja lkn hawafanyi ibada kanisa moja
 
Mifumo Wetu sio wa kukariri ni WA kuelewa. Kukariri nifumo unaotumiwa na watu wasio na UBONGO WA kuelewa ( UBONGO mdogo) hivyo hulinywa dude kama lilivyo. Hata kama tumesoma shuleni unajua jinsi watu hao wasio na UBONGO WA kuelewa walivyokuwa wanahangaika kukariri biology na masomo mengine.
Ubongo wa ndimu na pilipili 😂
 
Kweli mnaelewa. Ndio maana kuna wasabato, wa luteri, katoliki, walokole wote wanatumia biblia moja lkn hawafanyi ibada kanisa moja
naona kama hujatuliza akili yani hauko sawa kiakili kwa sasa reply zako unapayuka payuka nakushauri uachane kubishana asubui hii uipatie akili mapumziko samahani lakini naona haupo sawa
 
Kweli mnaelewa. Ndio maana kuna wasabato, wa luteri, katoliki, walokole wote wanatumia biblia moja lkn hawafanyi ibada kanisa moja
Kwani huko kwenu.mnaokariri mko wangapi?
Nikikbushe mmoja kazikwa huko misri na kumkabidhi uongozi binti yake
 
Back
Top Bottom