Sunni na Shia 😄😄
Mlokole anaelia usiku kuchawewe unashabikia dhehebu gani mkuu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sunni na Shia 😄😄
Mlokole anaelia usiku kuchawewe unashabikia dhehebu gani mkuu ?
Kama wale swalaaa......swalaaaaMlokole anaelia usiku kucha
Watu wanakariri nyimbo za diamond, **** maajabu gani hapo!?Umeumia? Mpaka wazungu wanashiriki. Biblia ngumu sana kuhifadhika ndani ya moyo kwa sababu imechakachuliwa na wanaadam
Tunaielewahivi kwanini quran inafanana na biblia kwenye vitabu vingi na habari nyingi zinafanana na za biblia je hili sio tatizo ? inakuwaje tukufu hivi mnao isoma mnaielewa kweli au mnaikalili tu ?
Lakini haifanani na bibleQuran inafanana na injili kwa sababu vyote vinatoka kwa Allah
WhyQuran ni Agano la Kale
HapanaKwahiyo unamaanisha hii biblia ya wayahudi ndio injiri ya Allah?
Hehehe!!!Napendekeza hilo tukio liitwe Quran ya Mama.
Namuona mufti anatakata tu 😄Sasa Mbona wewe unakula mdudu? 😂
Hii SafiRais Samia Suluhu Hassan, anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye mashindano ya dunia ya kusoma Quran Tukufu, yatakayofanyika nchini katika Uwanja wa Benjamini Mkapa Februari 23, mwaka huu.
Akizungumza na vyombo vya habari, jijini Dar es Salaam, Makao Makuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakari Zuberi, amesema kuwa mashindano hayo yanatarajia kushindanisha mabara matano, Afrika, Asia, Arabu na Ulaya.
Amesema hayo ni mashindano ya kwanza kuhudhuriwa na mabara mengi, kwa kuwa inatokana na sera na juhudi za Rais Samia, kuimarisha urafiki na undugu pande zote za dunia.
Aidha alitoa wito kwa wazazi kujikita kwenye malezi bora, yakiwamo kuwaelekeza watoto kwenye elimu ya dini, ili kuwe na taifa bora na makini lenye kumuogopa Mungu, kwani dini ndio mwongozo wa maisha.
Mwakilishi wa Balozi ya Saudi Arabia, Shehe Mutab Bin Azamay Suleiman, amesema wanaushukuru uongozi wa Tanzania unaoongozwa na Rais Samia, kuwa nchi ya mfano yenye utulivu na amani hadi mashindano hayo makubwa kufanyika nchini.
mesema tayari Waziri Mkuu wa Saudi Arabia ameshasaini mikataba ya kusaidiana kati ya BAKWATA na serikali ya Saudi Arabia na matunda yameaanza kuonekana, kwa makubaliano na ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.
Mwandaaji wa Mashindano hayo, Shekhe Othuman Kaporo, amesema mashindano yataongozwa na kuhudhuriwa na Imam Mkuu wa Msikiti wa Saudi Arabia wa Madina, Shekhe Abdallah Buaijan, na kwa mara ya kwanza Tanzania kupata ugeni huo.
Amesema washiriki wataweza kujinyakulia zawadi mbalimbali, zikiwamo magari, bajaji, pikipiki na tiketi za kwenda kuhiji Mji Mtakatifu ‘Mecca’.
Pia wahudhuriaji watakaofika katika Uwanja wa Benjamini Mkapa wataweza kuangalia na kupima afya zao bure, kwa magonjwa yasiyoambukiza.
Source: Nipashe
Pesa za mama hazijawahi kusema uongoNamuona mufti anatakata tu 😄
Ova
kwanini Quran na biblia zinafanana habari zake ?Hapana
Sio zote na hata zile zinazofanana kuna mahali zinatofautianakwanini Quran na biblia zinafanana habari zake ?
Quran ni copy and paste ya Biblia.kwanini Quran na biblia zinafanana habari zake ?
Sio kweli, Quran haijakopi chochote kutoka kwenye biblia.Quran ni copy and paste ya Biblia.
Biblia ndio kitabu pekee ambacho Mwenyezi-Mungu anakiheshimisha mbinguni na duniani.
OvaKabisa.....
Ova
kwanini wahusika wanafanana ?Sio zote na hata zile zinazofanana kuna mahali zinatofautiana
Kufanana kwake si kwa sababu zote zinazungumzia habari sawa