Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Kazi kweli kweli
Wenye kazi hiyo ya kusikiliza Quran tutakuwepo uwanja wa Mkapa mgeni rasmi akiwa Rais wa JMT....wewe usije mkuu!

Nilikuwepo yale mashindano aliyohudhuria hayati JPM...sikukuona mkuu wangu !
 
Nimenukuu Quran sijanukuu biblia wala Gita......
Na mimi nimekuambia kanisa siyo nyumba ya ibada ya mwenyezi mungu ...niulize chimbuko la kanisa ni nini ? Wakati wa Isa (Yesu ) kanisa liliruhusiwa na yesu mwenyewe ila alikuwa nyumba ya ibada ndiyo maana watu waliingia na viatu na kukaa vitini ...Yesu aliwaambia wanafunzi wake wasiache kukutanika kufundishana injili hivyo majengo waliyo kuwa wanakutanika kufundishana injili ndiyo yalikuwa yanaitwa kanisa , hivyo azikuwa nyumba za ibada... tatizo lilikuja baadae baada ya yesu kuondoka na kuanza kwa upotovu wa MADHEHEBU, hapo ndipo walipo badili kanisa kuwa nyumba ya ibada na ile desturi ya kuingia na viatu na kukaa kwenye viti iliendelea ...hivyo upotovu ndani ya ukristo ulianza kwenye kubadili nyumba za kukutania wakristo na kuziita nyumba za ibada. Bwana Utam FaizaFoxy adriz Mufti kuku The Infinity Malaria 2
 
Sijakukatalia mkuu wangu....

Ili hoja yako iwe ni ya kifikra ni vyema ukanieleza kuwa huyo Shekhe ni fulani....ama ana wadhifa wa kuisimamia BAKWATA pale makao makuu....

Vinginevyo masheikh wako wengi sana....

Nataka niupime weledi wa sheikh huyo kwa kujua kwake thamani ya TAASISI NA UTAASISI....

Wako masheikh wanaipinga BAKWATA yetu....je hao ni wasemaji wa BAKWATA?!!
Huyo Sheikh ni mmoja wa viongozi wa BAKWATA, kiumri anaweza kuwa mkubwa kuliko Sheikh Mkuu.

Ipo video moja anampinga Profesa Janabi katika suala zima la watu kujipimia vyakula, anasema vipi kuhusiana na wanaume wanaooa wanawake wenye umri mdogo, anamhoji Profesa Janabi kwenye hiyo video.
 
Na mimi nimekuambia kanisa siyo nyumba ya ibada ya mwenyezi mungu ...niulize chimbuko la kanisa ni nini ? Wakati wa Isa (Yesu ) kanisa liliruhusiwa na yesu mwenyewe ila alikuwa nyumba ya ibada ndiyo maana watu waliingia na viatu na kukaa vitini ...Yesu aliwaambia wanafunzi wake wasiache kukutanika kufundishana injili hivyo majengo waliyo kuwa wanakutanika kufundishana injili ndiyo yalikuwa yanaitwa kanisa , hivyo azikuwa nyumba za ibada... tatizo lilikuja baadae baada ya yesu kuondoka na kuanza kwa upotovu wa MADHEHEBU, hapo ndipo walipo badili kanisa kuwa nyumba ya ibada na ile desturi ya kuingia na viatu na kukaa kwenye viti iliendelea ...hivyo upotovu ndani ya ukristo ulianza kwenye kubadili nyumba za kukutania wakristo na kuziita nyumba za ibada. Bwana Utam FaizaFoxy adriz Mufti kuku The Infinity Malaria 2
Ulipenda kuwaona wakisali popote tu hata ufukweni mahali watu wanatembea na vichupi?.

Kanisa halisi lipo moyoni mwa mkristo anayeamini katika kifo na ufufuko wa Yesu Kristo. Nyumba tunazokutania ni sehemu tu za sisi wenye imani moja kuweza kuwa tunakwenda kufanyia ibada.
 
Umeumia? Mpaka wazungu wanashiriki. Biblia ngumu sana kuhifadhika ndani ya moyo kwa sababu imechakachuliwa na wanaadam

Mnakariri maneno ya kwenye kuruwan. Wengi hawajui maana yake. Na ndiyo maana wengi hawajui kuruwan zaidi ya maneno yale ya kurudia rudia ya swala 5. Kweli mudi kawaweza
 
Lugha utayotumia ni sawa. Mwisho wa siku anasoma bila kuangalia

Unaposoma bila kuangalia ina maana unasoma bila kutafakari unachosoma. Hutumii akili. Yaani umekariri. Yaani nyie ni makasuku
😛 😂 😀
 
Ulipenda kuwaona wakisali popote tu hata ufukweni mahali watu wanatembea na vichupi?.

Kanisa halisi lipo moyoni mwa mkristo anayeamini katika kifo na ufufuko wa Yesu Kristo. Nyumba tunazokutania ni sehemu tu za sisi wenye imani moja kuweza kuwa tunakwenda kufanyia ibada.
Tumia akili ...ni mtume au nabii gani aliye badili taratibu za nyumba ya ibada ya mungu hadi wakristo mnaingia na viatu na kuketi vitini ..... tatizo ni kubadili kanisa kutoka mfumo wa nyumba za kukutania na kuzifanya nyumba za ibada bila ya kufuata kanuni za nyumba ya ibada ya mungu
 
Huyo Sheikh ni mmoja wa viongozi wa BAKWATA, kiumri anaweza kuwa mkubwa kuliko Sheikh Mkuu.

Ipo video moja anampinga Profesa Janabi katika suala zima la watu kujipimia vyakula, anasema vipi kuhusiana na wanaume wanaooa wanawake wenye umri mdogo, anamhoji Profesa Janabi kwenye hiyo video.

Mafundisho ya mudi yanaongoza kwa kuendekeza ngono
 
Mifumo Wetu sio wa kukariri ni WA kuelewa. Kukariri nifumo unaotumiwa na watu wasio na UBONGO WA kuelewa ( UBONGO mdogo) hivyo hulinywa dude kama lilivyo. Hata kama tumesoma shuleni unajua jinsi watu hao wasio na UBONGO WA kuelewa walivyokuwa wanahangaika kukariri biology na masomo mengine.

Bro lugha ya mtu ni lugha ya mtu tu. Lazima ukariri tu. Maana una vocabularies chache, linguistic environment is not supporting the language. Msikitini unaongea kiarabu, ukitoka tu unaanza kuongea kiswahili. Katika mazingira hayo huwezi kamwe kuwa mahili kwenye lugha yoyote ile.
Ndiyo maana wanarudia maneno yale yale katika ibada zao
 
Kweli mnaelewa. Ndio maana kuna wasabato, wa luteri, katoliki, walokole wote wanatumia biblia moja lkn hawafanyi ibada kanisa moja

Kwani wale mashiah, hamadiyyah, sunnih nk wote wana kuruwan zao? Hebu tuondolee ujinga hapa
 
Huyo Sheikh ni mmoja wa viongozi wa BAKWATA, kiumri anaweza kuwa mkubwa kuliko Sheikh Mkuu.

Ipo video moja anampinga Profesa Janabi katika suala zima la watu kujipimia vyakula, anasema vipi kuhusiana na wanaume wanaooa wanawake wenye umri mdogo, anamhoji Profesa Janabi kwenye hiyo video.
Tuenende hiviii....

Chunguza huyo shekhe kama ni msemaji wa BAKWATA ?!!

Kama ni mzee zaidi ya sheikh mkuu wa Tanzania basi hatokuwa katibu wetu mkuu Shaykh Nuhu Mruma....yeye na Mufti ndio wasemaji wa BAKWATA wengine wakishiba biriani la nyama ya kondoo wanaweza kuongea lolote lile ila lisihusishwe na taasisi.....
 
Kuna kipindi nakaa mfaranyaki songea. Nikawa nafuatilia maneno ya zile swala swalaaa zao. Kumbe ni marudio ya maneno yale yale
Kurudiarudia maneno au jambo hakulifanyi hilo jambo kuwa lisilo na maana.....

Hata kitandani tunarudiarudia majambo"kwa kwenda mbele ,kurudi ,kwenda kushoto...juu na chini ikiwezekana.."ila marudio hayo hutupa watoto wanaoongeza idadi ya wana ukoo....
 
Rais Samia Suluhu Hassan, anatarajia kuwa mgeni rasmi kwenye mashindano ya dunia ya kusoma Quran Tukufu, yatakayofanyika nchini katika Uwanja wa Benjamini Mkapa Februari 23, mwaka huu.

Akizungumza na vyombo vya habari, jijini Dar es Salaam, Makao Makuu ya Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Mufti Mkuu wa Tanzania, Abubakari Zuberi, amesema kuwa mashindano hayo yanatarajia kushindanisha mabara matano, Afrika, Asia, Arabu na Ulaya.

Amesema hayo ni mashindano ya kwanza kuhudhuriwa na mabara mengi, kwa kuwa inatokana na sera na juhudi za Rais Samia, kuimarisha urafiki na undugu pande zote za dunia.

Aidha alitoa wito kwa wazazi kujikita kwenye malezi bora, yakiwamo kuwaelekeza watoto kwenye elimu ya dini, ili kuwe na taifa bora na makini lenye kumuogopa Mungu, kwani dini ndio mwongozo wa maisha.

Mwakilishi wa Balozi ya Saudi Arabia, Shehe Mutab Bin Azamay Suleiman, amesema wanaushukuru uongozi wa Tanzania unaoongozwa na Rais Samia, kuwa nchi ya mfano yenye utulivu na amani hadi mashindano hayo makubwa kufanyika nchini.

mesema tayari Waziri Mkuu wa Saudi Arabia ameshasaini mikataba ya kusaidiana kati ya BAKWATA na serikali ya Saudi Arabia na matunda yameaanza kuonekana, kwa makubaliano na ushirikiano kati ya nchi hizo mbili.

Mwandaaji wa Mashindano hayo, Shekhe Othuman Kaporo, amesema mashindano yataongozwa na kuhudhuriwa na Imam Mkuu wa Msikiti wa Saudi Arabia wa Madina, Shekhe Abdallah Buaijan, na kwa mara ya kwanza Tanzania kupata ugeni huo.

Amesema washiriki wataweza kujinyakulia zawadi mbalimbali, zikiwamo magari, bajaji, pikipiki na tiketi za kwenda kuhiji Mji Mtakatifu ‘Mecca’.

Pia wahudhuriaji watakaofika katika Uwanja wa Benjamini Mkapa wataweza kuangalia na kupima afya zao bure, kwa magonjwa yasiyoambukiza.


Source: Nipashe
Mashindano haya ya Kuhifadhi Quran yaende sambamba na Mashindano ya Kuhifadhi Hisabati, Kemia, Fizikia, Baiolojia, Jiografia, n.k.
 
Back
Top Bottom