Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu


Wakikujibu uni tag mkuu.

Pia ukiwauliza kwamba uislam kama ulianza kabla ya Muhammad msingi wa imani yao ulikuwa ni nini? Maana kuruwan ambao ndiyo muongozo na msinga wa imani ya uislam ilianza kuwapo kipindi cha mtume Muhammad
 
Wakikujibu uni tag mkuu.

Pia ukiwauliza kwamba uislam kama ulianza kabla ya Muhammad msingi wa imani yao ulikuwa ni nini? Maana kuruwan ambao ndiyo muongozo na msinga wa imani ya uislam ilianza kuwapo kipindi cha mtume Muhammad
Sio tu Quran Allah ameteremsha vitabu kabla ya Quran
 
Wakikujibu uni tag mkuu.

Pia ukiwauliza kwamba uislam kama ulianza kabla ya Muhammad msingi wa imani yao ulikuwa ni nini? Maana kuruwan ambao ndiyo muongozo na msinga wa imani ya uislam ilianza kuwapo kipindi cha mtume Muhammad
Hakunaga muislamu wa kunijibu maswali yangu hata moja ndiyo maana nawa tag kabisa ...kuhusu uislamu kuwa dini ya mitume wote nilisha wauliza maswali wakakimbia wasinijibu majuzi na niliwa tag
 
Majinn yote yatakuwepo Tanzania kuhakikisha Samia anazingirwa na kuvikwa umalkia kabla ya Oktoba.
 
Wewe ndio akili huna...Mungu anaangalia ulichonacho moyoni mwako sio mavazi unayovaa.

Kibaya ni kile kikutokacho sio kile kiingiacho.
 
Badala ya kushindanishwa kwenye mambo muhimu yenye tija wanashindana kwenye mambo ya dini, kuhifadhi quran, ili iweje, kwamba watakuwa masheikh?

Bora hata wangeshindanishwa kwenye matendo. Mfano nani hajachepuka, au hajala rushwa au kuua. Halafu ndiyo apongezwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…