Rais Samia Mgeni rasmi Mashindano ya Kuhifadhi Quran tukufu

Swali halijibiwi kwa swali. Uliza swali baada ya kujibu swali
Ok
Surat Ya-Sin (36:69)
"Na hatukumfundisha (Mtume) mashairi, wala hayawezi kumfaa. Haya (Qur'an) si chochote ila ni mawaidha na Qur'an yenye kufafanua."
Surat Al-Haqqa (69:40-41), Qur'an inasema:
"Hakika hii ni kauli ya Mtume mtukufu. Wala si kauli ya mshairi. Ni machache mnayoyaamini."
 

Kurudia rudia jambo kunafanya watu wasitumie akili. Wanafanya kimazoea zaodi. Hivyo kupoteza maana
 
UNA HUAKIKA IYO TAR 23 FEB/2025 RAIS ATAKUWA DAR,SI ANA ZIARA TANGA
 
Haitakuwa ni kwa mara ya kwanza...

Hivi huko nyuma yalipofanyika yalizuiwa yasifanyike na ubwatukaji wako kama huu ?!!
nani ahangaike kuzuia mambo ya kipuuzi kama hayo? Endeleeni kubumbazika wakati wengine wanafanya mambo ya maana kuhifadhi sayansi na teknolojia
 
Si wote waliohifadhi Quran ni masheikh....

Huo ni utaratibu wa dini yetu....je tukusikilize na kukufuata wewe Loth ,kwa kuwa wewe ni nani ?!!

Jambo lisilokuhusu unawezaje kuwa "kiranja" wake ?!!
naweza kuwa binadamu wa pekee kuwahi kuja duniani, sio lazima nifanane mawazo na binadamu wengine wafuata mkumbo kama nyumbu
 
Wewe ndio akili huna...Mungu anaangalia ulichonacho moyoni mwako sio mavazi unayovaa.

Kibaya ni kile kikutokacho sio kile kiingiacho.
Kwa hiyo huo utaratibu wa namna mungu anavyo angalia ni mpya ulimwengu maana hao mitume na manabii aliopita walitii kwa kufuata taratibu alizo elekeza mungu au unataka kusema musa ni mpumbavu kwa kukubali kuvua viatu pale alipo ambiwa na mungu vua viatu hapa ni mahali patakatifu ...hivyo ilipasa asivue viatu kwa sababu ulizo zitoa wewe za kuangalia moyo ? Hapa tunakuja kugundua kuwa wewe unasikia ila hauelewi ...maana tunavyo vielelezo vya mitume wote na manabii wote walivyo enenda mbele za mungu je hiyo logic ya mungu kuangalia moyo haikuwako dhama zao au ilikuwako? Kama ilikuwako mbona wao awakufanya kana usemavyo...unajua maana ya haya maneno 👉
IMANI BILA MATENDO IMEKUFA ...imani ni (moyoni) kama unavyo sema wewe ila bila matendo ( unavyo panda wewe ) 👉IMEKUFA
 
naweza kuwa binadamu wa pekee kuwahi kuja duniani, sio lazima nifanane mawazo na binadamu wengine wafuata mkumbo kama nyumbu
Wewe ni wa kipekee...sisi si wa kipekee....baki na upekee wako hatutaki huo ushauri na maoni yako ya kipekee katika mambo yetu yasiyotaka wako upekee....
 
kwani huko umeambiwa kuna mashindano ya kuhifadhi biblia?
Mbona akili yako kisoda mzee ?!!
Shida ni nini ?!!

Huo uwanja umeshawahi kushuhudia hayo mashindano na mgeni rasmi alikuwa hayati JPM ?!!

Vitamin B complexes zitakufaa sana "myelin sheath" zako ziwe stable....
 
nani ahangaike kuzuia mambo ya kipuuzi kama hayo? Endeleeni kubumbazika wakati wengine wanafanya mambo ya maana kuhifadhi sayansi na teknolojia
Wewe ni nani utushauri sisi mambo ya imani yetu ?!!

Psychosis is really....your psychotic mzee......

Kwa hiyo waislamu bilioni 3 duniani hakuna scientists wala wenye mandeleo ?!!

Huna akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…