Al-mukheef
JF-Expert Member
- Feb 2, 2025
- 3,727
- 3,777
Toa ushahidi kuwa Muhammad alisema katika watu wa peponi wapo na manaswaraMuhammad aliwaambia waislamu kuwa katika watu wa peponi wapo na manasara....sasa wewe unakuja na uongo wako kuwa manasara hakuna mchamungu wa kweli ππππ kwa hiyo tukuamini wewe au Muhammad aliye eleza iuhusu manasara wakweli
Malaria 2 njoo huku kwanza utueleze neno naswara muislamu mwenzio kalitumia arafu njoo ujibu swali la muislamu mwenzio maana mimi sitaki nimjibu kwa sababu majibu yapo kwa Muhammad mwenyewe....πππ Bwana Utam FaizaFoxy adriz Mufti kuku The Infinity Malaria 2Toa ushahidi kuwa Muhammad alisema katika watu wa peponi wapo na manaswara
Sawa nasubiriMalaria 2 njoo huku kwanza utueleze neno naswara muislamu mwenzio kalitumia arafu njoo ujibu swali la muislamu mwenzio maana mimi sitaki nimjibu kwa sababu majibu yapo kwa Muhammad mwenyewe....πππ Bwana Utam FaizaFoxy adriz Mufti kuku The Infinity Malaria 2
Ni kweli kwani makanisa nayo ni nyumba ya Mwenyezi Mungu....Muhammad aliwaambia waislamu kuwa katika watu wa peponi wapo na manasara....sasa wewe unakuja na uongo wako kuwa manasara hakuna mchamungu wa kweli ππππ kwa hiyo tukuamini wewe au Muhammad aliye eleza iuhusu manasara wakweli
Mungu wako si Mungu wao....acha kujipa "matrkooo yasiyo na kiuno"...Hataenda, sijawahi kuona neno la mungu linashindanishwa, huo ni upuuzi mtupu na Mungu hahusiki kwenye upumbavu huo
Si wote waliohifadhi Quran ni masheikh....Badala ya kushindanishwa kwenye mambo muhimu yenye tija wanashindana kwenye mambo ya dini, kuhifadhi quran, ili iweje, kwamba watakuwa masheikh?
mnamualikaje Rais ahudhurie upuuzi huo kama tu Mungu mwenyenyewe hahusiki kwenye ujinga huo?Mungu wako si Mungu wao....acha kujipa "matrkooo yasiyo na kiuno"...
Nani kukuteua usemee taratibu za wengine ?!!
Bali Rais ahudhurie matamasha ya injili tu ?!!mnamualikaje Rais ahudhurie upuuzi huo kama tu Mungu mwenyenyewe hahusiki kwenye ujinga huo?
Hapana Quran haitoki kwa Mungu wa kweli ila ilijaribu kukopi injili na tourati na kuhadaa umma kuwa imeshushwa na MunguQuran inafanana na injili kwa sababu vyote vinatoka kwa Allah
Haitakuwa ni kwa mara ya kwanza...Hayo mambo ni ya watoto wa madrasa pelekeni huko mlikowakarisha, sio mnaleta kwenye uwanja mkubwa wa michezo mkidai ni mashindano!
Kwanini mambo ya kale wakati leo ni 2025.Quran ni Agano la Kale
Wakati inakopiwa wewe ulikuwepo?!!Hapana Quran haitoki kwa Mungu wa kweli ila ilijaribu kukopi injili na tourati na kuhadaa umma kuwa imeshushwa na Mungu
Kanisa siyo nyumba ya ibada ya mwenyezi munguNi kweli kwani makanisa nayo ni nyumba ya Mwenyezi Mungu....
Ipo wazi mkuu hesabu hazingopi Quran imeandikwa Karne ya sita wakati injili ilikuepo Toka Karne ya kwanza na tourati ilikupo miaka 500 kabla ya kristo au Karne ya kwanza.Wakati inakopiwa wewe ulikuwepo?!!
Wakati Injili inanenwa ,wewe ulikuwepo ?!!
Kwanini tukuamini wewe usemacho kuwa ni kweli na hao wengine ni uongo ilihali si ninyi wala babu zenu walioshuhudia hayo ?!!!
Nimenukuu Quran sijanukuu biblia wala Gita......Kanisa siyo nyumba ya mwenyezi mungu
Uwazi wa hesabu zipi?!!Ipo wazi mkuu hesabu hazingopi Quran imeandikwa Karne ya sita wakati injili ilikuepo Toka Karne ya kwanza na tourati ilikupo miaka 500 kabla ya kristo au Karne ya kwanza.