Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ni majangili tupu ya mali za ummaKwamba majizi ya kura yametimiza miaka 48?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni majangili tupu ya mali za ummaKwamba majizi ya kura yametimiza miaka 48?
Wewe ndiye kaa kwa kutulia na ujinga wako.Tulia ww muumini wa majizi.
Uwe na adabu dogo.Ni majangili tupu ya mali za umma
Kila siku shereheSimshangai Trump
Nipambanie basi na mimi rafiki ako nipate u-VEO kama weweUwe na adabu dogo.
Tangia lini chizi akawa VEO kuwaongoza wenye akili TimamuNipambanie basi na mimi rafiki ako nipate u-VEO kama wewe
Haya bhana ukumbuke nalipa kodi ndiyo maana umepata mshahara wa January na fedha za kujikimu. Hongera lakiniTangia lini chizi akawa VEO kuwaongoza wenye akili Timamu
Ndo Nini. Hii ni jinga kama wewe ndo inakuhusu. Dalali la matapeli. Maisha magumu kazi kusifia matapeli tu. Jinga wewe na Leo mungu anakuchukua. Mzazi wako aliuza ng'ombe kusomesha ng'ombe nyingine. Shetani. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 48 ya kuzaliwa kwa CCM. Chama ambacho kimeendelea kubeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania, chama ambacho kimeendelea kuwa kimbilio la watanzania wanyonge na kinachoendelea kugusa Maisha ya watu pamoja na kuleta tabasamu na nuru kwa watu.
Ni Miaka 48 tangia kuanzishwa kwake lakini kinabakia kama chama imara na kiongozi Barani Afrika. kinabakia kuwa chama cha mfano Duniani kwote kwa mfumo wake na hata historia yake.
CCM kimebakia kuwa chama kinachoheshimika na chenye hadhi ya kipekee kabisa barani Afrika na ulimwenguni kwote. si tu kwa historia yake bali kwa kazi kubwa kiliyoifanya ya kulinda heshima ya mwanadamu na utu wa watu wote bila ubaguzi wa aina yoyote ile.
CCM imeendelea kuwa darasa tosha kwa vyama mbalimbali vichanga . Ni CCM pekee ndio chama kilichoendelea kuliweka Taifa letu katika hali ya utulivu,amani ,usalama , mshikamano na umoja wa kitaifa.
Ni CCM pekee ndio imewafanya watanzania tuendelee kuishi kama ndugu na wamoja licha ya kuwa tuna makabila zaidi ya 120 . lakini hatubaguani kwa misingi ya makabila yetu. ndio maana tunaendelea kushirikiana na kusaidiana katika shida na raha. Tunaendelea kuchagua viongozi wetu bila kujali kabila wala rangi wala dini ya mtu . Hii yote ni kazi ya CCM iliyofanywa kwa miaka hiyo yote. kuhakikisha Taifa linaendelea kuwa moja.
Kwa hakika CCM ina kila sababu ya kujivunia miaka 48 ya uwepo wake madarakani. Ambao Umeleta nuru hatta nje ya mipaka yetu. Umeleta heshima mahali palipokuwa na kudharauliwa ,umeleta haki mahali palipokuwa na uonezi na ukandamizaji. CCM Imewapa Sauti na nguvu watu wote ya kupaza sauti zao bila hofu wala wasiwasi ya kuzungumza.
Lakini ni CCM iliyoleta maendeleo makubwa na ya kupigiwa mfano barani Afrika. kuanzia katika Elimu,Afya, miundombinu na mengine mengi sana. Ndio maana CCM inaendelea kuaminika na kuaminiwa na watanzania kuendelea kuliongoza Taifa letu.
Rais Samia anakwenda kuweka rekodi yake ya kukiongoza chama hiki kama mgeni Rasmi akiwa tayari amepitishwa na Mkutano mkuu kuwa mgombea wake wa Urais .Lakini pia ni Rais Samia atakayeweka rekodi ya kuwa Mwenyekiti wa CCM pale ambapo chama hiki kitakuwa kinatimiza Nusu karne hapo Mwaka kesho kutwa tangia kuzaliwa kwake.View attachment 3221151View attachment 3221155View attachment 3221156
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wangekuwa wanaweka takwimu za gharama zinazotumika kwa mambo yasiyokuwa na tija badala ya zielekezwe kwenye mambo ya maufaa kwa taifaKila siku sherehe
Taifa limekuwa la wakata mauno
Ndomana wale m23 wanavyowashulikia wakongo hata sishangai maana muda mwingi wali base kwenye uchawa na kukata maunooo
Ova
Subiri akiwa off duty umjaribu halafu utuletee mrejesho!Hivi hao wadada ma bodyguard wanajua kuzichapa kweli..?
mi nikipewa huyu nipiganenae si atakimbia kwenye madawati yakijinsia!
Nchi imekuwa ya wakata unoWangekuwa wanaweka takwimu za gharama zinazotumika kwa mambo yasiyokuwa na tija badala ya zielekezwe kwenye mambo ya maufaa kwa taifa
Ila kwa waafrika kuna shida kwenye vichwa
Tuondolee upuuzi wako hapaNaona umeshafika na moshi wako kichwani.
Angalia hii simbilisiNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 48 ya kuzaliwa kwa CCM. Chama ambacho kimeendelea kubeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania, chama ambacho kimeendelea kuwa kimbilio la watanzania wanyonge na kinachoendelea kugusa Maisha ya watu pamoja na kuleta tabasamu na nuru kwa watu.
Ni Miaka 48 tangia kuanzishwa kwake lakini kinabakia kama chama imara na kiongozi Barani Afrika. kinabakia kuwa chama cha mfano Duniani kwote kwa mfumo wake na hata historia yake.
CCM kimebakia kuwa chama kinachoheshimika na chenye hadhi ya kipekee kabisa barani Afrika na ulimwenguni kwote. si tu kwa historia yake bali kwa kazi kubwa kiliyoifanya ya kulinda heshima ya mwanadamu na utu wa watu wote bila ubaguzi wa aina yoyote ile.
CCM imeendelea kuwa darasa tosha kwa vyama mbalimbali vichanga . Ni CCM pekee ndio chama kilichoendelea kuliweka Taifa letu katika hali ya utulivu,amani ,usalama , mshikamano na umoja wa kitaifa.
Ni CCM pekee ndio imewafanya watanzania tuendelee kuishi kama ndugu na wamoja licha ya kuwa tuna makabila zaidi ya 120 . lakini hatubaguani kwa misingi ya makabila yetu. ndio maana tunaendelea kushirikiana na kusaidiana katika shida na raha. Tunaendelea kuchagua viongozi wetu bila kujali kabila wala rangi wala dini ya mtu . Hii yote ni kazi ya CCM iliyofanywa kwa miaka hiyo yote. kuhakikisha Taifa linaendelea kuwa moja.
Kwa hakika CCM ina kila sababu ya kujivunia miaka 48 ya uwepo wake madarakani. Ambao Umeleta nuru hatta nje ya mipaka yetu. Umeleta heshima mahali palipokuwa na kudharauliwa ,umeleta haki mahali palipokuwa na uonezi na ukandamizaji. CCM Imewapa Sauti na nguvu watu wote ya kupaza sauti zao bila hofu wala wasiwasi ya kuzungumza.
Lakini ni CCM iliyoleta maendeleo makubwa na ya kupigiwa mfano barani Afrika. kuanzia katika Elimu,Afya, miundombinu na mengine mengi sana. Ndio maana CCM inaendelea kuaminika na kuaminiwa na watanzania kuendelea kuliongoza Taifa letu.
Rais Samia anakwenda kuweka rekodi yake ya kukiongoza chama hiki kama mgeni Rasmi akiwa tayari amepitishwa na Mkutano mkuu kuwa mgombea wake wa Urais .Lakini pia ni Rais Samia atakayeweka rekodi ya kuwa Mwenyekiti wa CCM pale ambapo chama hiki kitakuwa kinatimiza Nusu karne hapo Mwaka kesho kutwa tangia kuzaliwa kwake.View attachment 3221151View attachment 3221155View attachment 3221156
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ccm daimaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 48 ya kuzaliwa kwa CCM. Chama ambacho kimeendelea kubeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania, chama ambacho kimeendelea kuwa kimbilio la watanzania wanyonge na kinachoendelea kugusa Maisha ya watu pamoja na kuleta tabasamu na nuru kwa watu.
Ni Miaka 48 tangia kuanzishwa kwake lakini kinabakia kama chama imara na kiongozi Barani Afrika. kinabakia kuwa chama cha mfano Duniani kwote kwa mfumo wake na hata historia yake.
CCM kimebakia kuwa chama kinachoheshimika na chenye hadhi ya kipekee kabisa barani Afrika na ulimwenguni kwote. si tu kwa historia yake bali kwa kazi kubwa kiliyoifanya ya kulinda heshima ya mwanadamu na utu wa watu wote bila ubaguzi wa aina yoyote ile.
CCM imeendelea kuwa darasa tosha kwa vyama mbalimbali vichanga . Ni CCM pekee ndio chama kilichoendelea kuliweka Taifa letu katika hali ya utulivu,amani ,usalama , mshikamano na umoja wa kitaifa.
Ni CCM pekee ndio imewafanya watanzania tuendelee kuishi kama ndugu na wamoja licha ya kuwa tuna makabila zaidi ya 120 . lakini hatubaguani kwa misingi ya makabila yetu. ndio maana tunaendelea kushirikiana na kusaidiana katika shida na raha. Tunaendelea kuchagua viongozi wetu bila kujali kabila wala rangi wala dini ya mtu . Hii yote ni kazi ya CCM iliyofanywa kwa miaka hiyo yote. kuhakikisha Taifa linaendelea kuwa moja.
Kwa hakika CCM ina kila sababu ya kujivunia miaka 48 ya uwepo wake madarakani. Ambao Umeleta nuru hatta nje ya mipaka yetu. Umeleta heshima mahali palipokuwa na kudharauliwa ,umeleta haki mahali palipokuwa na uonezi na ukandamizaji. CCM Imewapa Sauti na nguvu watu wote ya kupaza sauti zao bila hofu wala wasiwasi ya kuzungumza.
Lakini ni CCM iliyoleta maendeleo makubwa na ya kupigiwa mfano barani Afrika. kuanzia katika Elimu,Afya, miundombinu na mengine mengi sana. Ndio maana CCM inaendelea kuaminika na kuaminiwa na watanzania kuendelea kuliongoza Taifa letu.
Rais Samia anakwenda kuweka rekodi yake ya kukiongoza chama hiki kama mgeni Rasmi akiwa tayari amepitishwa na Mkutano mkuu kuwa mgombea wake wa Urais .Lakini pia ni Rais Samia atakayeweka rekodi ya kuwa Mwenyekiti wa CCM pale ambapo chama hiki kitakuwa kinatimiza Nusu karne hapo Mwaka kesho kutwa tangia kuzaliwa kwake.View attachment 3221151View attachment 3221155View attachment 3221156
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Naunga Mkono hoja.Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 48 ya kuzaliwa kwa CCM.
CCM wanaadhimisha ujinga huku watumishi wa bandari na TRA wanahujumu bandariNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi katika sherehe za maadhimisho ya Miaka 48 ya kuzaliwa kwa CCM. Chama ambacho kimeendelea kubeba matumaini ya mamilioni kwa mamilioni ya watanzania, chama ambacho kimeendelea kuwa kimbilio la watanzania wanyonge na kinachoendelea kugusa Maisha ya watu pamoja na kuleta tabasamu na nuru kwa watu.
Ni Miaka 48 tangia kuanzishwa kwake lakini kinabakia kama chama imara na kiongozi Barani Afrika. kinabakia kuwa chama cha mfano Duniani kwote kwa mfumo wake na hata historia yake.
CCM kimebakia kuwa chama kinachoheshimika na chenye hadhi ya kipekee kabisa barani Afrika na ulimwenguni kwote. si tu kwa historia yake bali kwa kazi kubwa kiliyoifanya ya kulinda heshima ya mwanadamu na utu wa watu wote bila ubaguzi wa aina yoyote ile.
CCM imeendelea kuwa darasa tosha kwa vyama mbalimbali vichanga . Ni CCM pekee ndio chama kilichoendelea kuliweka Taifa letu katika hali ya utulivu,amani ,usalama , mshikamano na umoja wa kitaifa.
Ni CCM pekee ndio imewafanya watanzania tuendelee kuishi kama ndugu na wamoja licha ya kuwa tuna makabila zaidi ya 120 . lakini hatubaguani kwa misingi ya makabila yetu. ndio maana tunaendelea kushirikiana na kusaidiana katika shida na raha. Tunaendelea kuchagua viongozi wetu bila kujali kabila wala rangi wala dini ya mtu . Hii yote ni kazi ya CCM iliyofanywa kwa miaka hiyo yote. kuhakikisha Taifa linaendelea kuwa moja.
Kwa hakika CCM ina kila sababu ya kujivunia miaka 48 ya uwepo wake madarakani. Ambao Umeleta nuru hatta nje ya mipaka yetu. Umeleta heshima mahali palipokuwa na kudharauliwa ,umeleta haki mahali palipokuwa na uonezi na ukandamizaji. CCM Imewapa Sauti na nguvu watu wote ya kupaza sauti zao bila hofu wala wasiwasi ya kuzungumza.
Lakini ni CCM iliyoleta maendeleo makubwa na ya kupigiwa mfano barani Afrika. kuanzia katika Elimu,Afya, miundombinu na mengine mengi sana. Ndio maana CCM inaendelea kuaminika na kuaminiwa na watanzania kuendelea kuliongoza Taifa letu.
Rais Samia anakwenda kuweka rekodi yake ya kukiongoza chama hiki kama mgeni Rasmi akiwa tayari amepitishwa na Mkutano mkuu kuwa mgombea wake wa Urais .Lakini pia ni Rais Samia atakayeweka rekodi ya kuwa Mwenyekiti wa CCM pale ambapo chama hiki kitakuwa kinatimiza Nusu karne hapo Mwaka kesho kutwa tangia kuzaliwa kwake.View attachment 3221151View attachment 3221155View attachment 3221156
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha moshi dogoAngalia hii simbilisi
Acha ujinga wako hapa weweCCM wanaadhimisha ujinga huku watumishi wa bandari na TRA wanahujumu bandari