Rais Samia Mgeni Rasmi Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM Uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma

Rais Samia Mgeni Rasmi Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM Uwanja wa Jamhuri Mkoani Dodoma

Masta,

Kuna maendeleo mapya unaweza kuleta sasa?
kila uchwao lazima yajitokeze mambo mampya ya maendeleo kwaajili ya waTanzania.

unafahamu serikali sikivu, madhubuti na imara sana ya ccm imetangaza nafasi za ufadhili wa 100% kwa masomo ya ujuzi wa fani mbalimbali kwa wahitimu wa darasa la saba, kidato cha nne na kuendelea wenye umri wa miaka 18-35 nchi nzima?

hilo sio jambo jipya, kama miradi ya sgr, bwawa la umeme la mwl. Nyerere, biashara na usafirishaji usikuku kucha ni mambo ya zamani? :pulpTRAVOLTA:
 
Back
Top Bottom