Anenda kuwapa moyo tu uyo ni Mwananchi ...View attachment 2707806
Karibu kwenye kilele cha Wiki ya Simba.
Karibu kwenye Simba Day, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hii ni siku muhimu kwa Klabu ya Simba na wapenda michezo wote nchini Tanzania.
Tunakushukuru na tanakukaribisha kwa furaha kubwa isiyo na kifani. Kwa kipekee kabisa, tunakushukuru sana kwa mchango wako mkubwa kwenye sekta ya Michezo na Maendeleo ya Taifa kwa ujumla.
Karibu sana Mheshimiwa Rais.
Nilijua tu Alikiba Kaenda Simba na Alikiba kwa wasanii ndio Kipenzi cha Mama basi Na Mama atapenda awepo.
Mama anampenda Alikiba sana na amekubali na anakuja kwa Ajili ya Alikiba sio Simba.
Mama anampenda Alikiba sana na amekubali na anakuja kwa Ajili ya Alikiba sio Simba.
Vitu vingine visikuzidishie mapigo ya moyo.Mh. Rais akija kwenye mechi za Yanga, Yanga huitwa ni timu ya CCM. Sasa Rais anakuja kwenye mechi ya Simba, tuambieni ni lini Simba nao walichukua kadi ya uanachama wa CCM.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Safi sana ,nimependa hii angle ya kumpa Mama nafasi ya mgeni rasmi, akili imetumika bien hapa , itamsaidia mama sanaView attachment 2707806
Karibu kwenye kilele cha Wiki ya Simba.
Karibu kwenye Simba Day, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hii ni siku muhimu kwa Klabu ya Simba na wapenda michezo wote nchini Tanzania.
Tunakushukuru na tanakukaribisha kwa furaha kubwa isiyo na kifani. Kwa kipekee kabisa, tunakushukuru sana kwa mchango wako mkubwa kwenye sekta ya Michezo na Maendeleo ya Taifa kwa ujumla.
Karibu sana Mheshimiwa Rais.
Mlimsema sana mara yuko dubai,mara oman, mara bandari ,sasa anakuja kivingine,baaada ya hapo wote kimyaaaAnenda kuwapa moyo tu uyo ni Mwananchi ...
Hujaelewa, Samia akienda Yanga amekwenda kama mwenyekiti wa CCM na ndio maana hata bendera za CCM uliziona.Mh. Rais akija kwenye mechi za Yanga, Yanga huitwa ni timu ya CCM. Sasa Rais anakuja kwenye mechi ya Simba, tuambieni ni lini Simba nao walichukua kadi ya uanachama wa CCM.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Mkataba wa bandari vipi???View attachment 2707806
Karibu kwenye kilele cha Wiki ya Simba.
Karibu kwenye Simba Day, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hii ni siku muhimu kwa Klabu ya Simba na wapenda michezo wote nchini Tanzania.
Tunakushukuru na tanakukaribisha kwa furaha kubwa isiyo na kifani. Kwa kipekee kabisa, tunakushukuru sana kwa mchango wako mkubwa kwenye sekta ya Michezo na Maendeleo ya Taifa kwa ujumla.
Karibu sana Mheshimiwa Rais.
Mama ni genius, hana deni na Yanga, na sasa anamalizana na Simba, baada ya hapo DP wanaanza kazi bandarini wote kimya.Naona Mama ameamua kwa dhati kabisa kuwaziba midomo mbumbumbu. Baada ya hilo tukio, hatutegemei tena malalamiko/manung'uniko yasiyo na kichwa wala miguu kutoka kwenu.