Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siendi uwanjani . Simba wenzangu mmeharibuView attachment 2707806
Karibu kwenye kilele cha Wiki ya Simba.
Karibu kwenye Simba Day, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hii ni siku muhimu kwa Klabu ya Simba na wapenda michezo wote nchini Tanzania.
Tunakushukuru na tanakukaribisha kwa furaha kubwa isiyo na kifani. Kwa kipekee kabisa, tunakushukuru sana kwa mchango wako mkubwa kwenye sekta ya Michezo na Maendeleo ya Taifa kwa ujumla.
Karibu sana Mheshimiwa Rais.
Wanaiingiza siasa kwenye Michezo ili kupata support ya wananchi. Walifanya hivyo kwenye dini... Mambo yakigeuka wanaleta propaganda.Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Simba Agosti 6, 2023 yatakayofanyika katika Uwanja wa Taifa, Jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2707853
Punguza chuki zisizo na msingi.Siendi uwanjani . Simba wenzangu mmeharibu
Makolo utawaweza[emoji23][emoji23][emoji23]Mh. Rais akija kwenye mechi za Yanga, Yanga huitwa ni timu ya CCM. Sasa Rais anakuja kwenye mechi ya Simba, tuambieni ni lini Simba nao walichukua kadi ya uanachama wa CCM.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Kuna mambo mengi zaidi ya mechiSimba anapigwa !!.
Heri aende angalau wapate nafuu
Maana walikuwa wanalialia mno
Ooh mara mama anapendelea Yanga,
Ooh Mama yeye anawaona Yanga tu.
Haya sasa,anakuja.
Mmeona wenzenu hata hatulii.
Simba haina utamaduni wa kulalamika. By the way, mialiko ya Mama kwa Yanga ndio iliwezesha Feitoto kutoka Yanga kiulaini, jambo ambalo tulikuwa tunalitaka sana!Heri aende angalau wapate nafuu
Maana walikuwa wanalialia mno
Ooh mara mama anapendelea Yanga,
Ooh Mama yeye anawaona Yanga tu.
Haya sasa,anakuja.
Mmeona wenzenu hata hatulii.
.Anakuja kwa Mkapa kwa ajili ya Alikiba, ina maana mama hajui nyumbani kwa Alikiba?
Unachekesha sana kwa mawazo yako ya kitoto [emoji16]
8/8 ni lini na simba day ni liniKwa hiyo ameogopa nguvu ya wana Mbeya? Si ilitakiwa aende kwenye nanenane?
Huyu angeweka bidii kwenye mpira angefika mbali, lakini kwenye muziki kwa Diamond amemfunika.
Lakini mkuu Simba na Yanga si ni timu za serikali?Nilisema kuwa CCM itatawala mpaka ichoke tena kwa mbinu hizi hizi za kitoto
Ndio ni team za CCM zoteLakini mkuu Simba na Yanga si ni timu za serikali?
Hii ni comment ya instagram.Nilijua tu Alikiba Kaenda Simba na Alikiba kwa wasanii ndio Kipenzi cha Mama basi Na Mama atapenda awepo.
Mama anampenda Alikiba sana na amekubali na anakuja kwa Ajili ya Alikiba sio Simba.