Designer_3434
JF-Expert Member
- Dec 4, 2015
- 4,901
- 3,941
safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Punguza sonona dadaMh. Rais akija kwenye mechi za Yanga, Yanga huitwa ni timu ya CCM. Sasa Rais anakuja kwenye mechi ya Simba, tuambieni ni lini Simba nao walichukua kadi ya uanachama wa CCM.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Tarehe 6 na tar 8 wapi n wapi? ondoa mavi yako kichwani humoKwa hiyo ameogopa nguvu ya wana Mbeya? Si ilitakiwa aende kwenye nanenane?
Naona unatafuta mtu wa kukufukunyua asubuhi yote hii.
Hebu acheni kuongea upuuzi kwenye hii Mada.Naona unatafuta mtu wa kukufukunyua asubuhi yote hii.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Rais anahitaji muda wa kupumzikaTarehe 6 na tar 8 wapi n wapi? ondoa mavi yako kichwani humo
Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Hongereni Wana SimbaView attachment 2707806
Karibu kwenye kilele cha Wiki ya Simba.
Karibu kwenye Simba Day, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hii ni siku muhimu kwa Klabu ya Simba na wapenda michezo wote nchini Tanzania.
Tunakushukuru na tanakukaribisha kwa furaha kubwa isiyo na kifani. Kwa kipekee kabisa, tunakushukuru sana kwa mchango wako mkubwa kwenye sekta ya Michezo na Maendeleo ya Taifa kwa ujumla.
Karibu sana Mheshimiwa Rais.
Watasema ni CHADEMAMh. Rais akija kwenye mechi za Yanga, Yanga huitwa ni timu ya CCM. Sasa Rais anakuja kwenye mechi ya Simba, tuambieni ni lini Simba nao walichukua kadi ya uanachama wa CCM.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
Nyie watu wa Mbeya tunawaleteeni PM. Mama yupo na sisi Simba.Kwa hiyo ameogopa nguvu ya wana Mbeya? Si ilitakiwa aende kwenye nanenane?
Sawa mangiSiendi uwanjani . Simba wenzangu mmeharibu
Siasa na mpira ni maji na mafuta wajinga wanamdanganya rais ili kupata uugwaji mkonoWanaiingiza siasa kwenye Michezo ili kupata support ya wananchi. Walifanya hivyo kwenye dini... Mambo yakigeuka wanaketa propaganda.
Nimewaza kama weweNaona anabalance mzani
Kamwogopa MwabukusiNyie watu wa Mbeya tunawaleteeni PM. Mama yupo na sisi Simba.
LEO PAMOJA! ... KUPITIA CHAMA KUBWA! 😅😅😅Rais makini lazima ahudhurie Tukio muhimu la Simba Day na siyo Takataka zingine za Wananchi wakati kuna wenye nchi Simba SC.
Siasa hizi....View attachment 2707806
Karibu kwenye kilele cha Wiki ya Simba.
Karibu kwenye Simba Day, Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Hii ni siku muhimu kwa Klabu ya Simba na wapenda michezo wote nchini Tanzania.
Tunakushukuru na tanakukaribisha kwa furaha kubwa isiyo na kifani. Kwa kipekee kabisa, tunakushukuru sana kwa mchango wako mkubwa kwenye sekta ya Michezo na Maendeleo ya Taifa kwa ujumla.
Karibu sana Mheshimiwa Rais.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kuwa Mgeni rasmi katika Maadhimisho ya Kilele cha Wiki ya Simba Agosti 6, 2023 yatakayofanyika katika Uwanja wa Taifa, Jijini Dar Es Salaam.
View attachment 2707853
Huyu angeweka bidii kwenye mpira angefika mbali, lakini kwenye muziki kwa Diamond amemfunika.