Sasa sisi tufanyeje? Tujikunyatie ndani? Kama ni kuvaa mask vaa hakuna aliyekukataza. Hata chanjo nimesikia mtaletewa, ikifika chanja.Nipo Dar es salaam, kimsingi ukisoma nilichoandika ni kwamba kilichosaidia ni immunity Ila maambukizi na early stage ilikuwepo but hali haikufika ya kuweka mitungi ya gesi lakini believe me ugonjwa upo sijui una Imani gani lakini unaongea na mtu aliyekutwa na maambukizi na akatibiwa na kupona mapema.
Kumbuka Mwanza wanahitaji mitungi 500 endeleeni kupiga domo za ramli . It's not about politics hapa naongea jambo ninalojua na nimeexperience.
Mkuu hivi anaweza ongea bila kuwa na data?Anazo takwimu?
Mwanza wangapi ?
Kagera wangapi?
Dodoma wangapi?
Nje na takwimu tusiongee kitu, ni umbeya tu, ukiamua mama nenda mazima, fanya Mass testing na kutoa takwimu.
Hii ni sawa na Mwanaume kujiaminisha hana Ukimwi kwa kuwa mke wake amepima kliniki
Nyie ndio kila kitu unachokisoma kwenye elimu ya kikoloni kuhusu Afrika unakibeba hook, line and sinker? Eti Ulaya na Marekani wamekufa wazee wengi na Afrika hatujafa kivile kwa sababu tuna idadi kubwa ya vijana? Muwe mnajiongeza walau hata kidogo na kujithamini wewe na uafrika wako. Ukweli ni kwamba hata Afrika wazee tunao tena wa kutosha tu na kimsingi predictions za awali ziliiweka Afrika kwenye danger zone kwenye inshu za corona. Hata leo hii pamoja na Afrika kuwa less vulnerable kwenye corona bado mainstream narrative kutoka vyombo vya habari vya magharibi vinalazimishia Afrika ionekane tatizo la corona ni kubwa.Kaka jaribu kutumia mantiki angalau kidogo!!!!
1. Hapana, hatujui sote kwamba Corona ni ugonjwa wa kutengenezwa. Kuna hoja hili ambalo halikuthibitishwa, Kama ilikuwa hivyo, basi ilikuwa ajali huko China (ambako waliona vifo vya kwanza na hasara kubwa ya kiuchumi)
2. Hapana, "hao" (nani?????) hawakuamua kutarget Africa. Idadi ya vifo Afrika itaendelea kuwa duni ukilinganisha na mabara mengine. Kwa sababu virusi inaua wazee na wadhaifu (na idadi ya vijana wajinga wanaokataa kuchukua tahadhari). Hata kama inandelea, virusi hivi havitaua watu wengi sana sana kwa sababu hakuna wazee wengi kufuatana na muundo wa umri wa Waafrika wakati huu. (Vifo vya Ulaya na Marekani ni asilima 80 watu juu ya umri wa miaka 65, hasa juu ya 80 ambao wako wengi huko kwa sababu wana mfumo bora wa tiba ambako watu wengi wanfiki umri mkubwa=
3. Ndiyo, unaweza kuchukua tahadhari. Ukiathiriwa uwezekano mkubwa si shauri ya dhambi bali shauri ya ujinga na uzembe ama wako au wa wengine..
Kaka nilikuomba utumie mantiki ya wastani.Nyie ndio kila kitu unachokisoma kwenye elimu ya kikoloni kuhusu Afrika unakibeba hook, line and sinker? Eti Ulaya na Marekani wamekufa wazee wengi na Afrika hatujafa kivile kwa sababu tuna idadi kubwa ya vijana? ...
Unaonekana nyie ndio wake mnakunya pembeni na utu uzima huo na hata hauchambi inaondokq na mavi kwenye suruali maana hata boxer hujui kuvaa.Sasa sisi tufanyeje? Tujikunyatie ndani? Kama ni kuvaa mask vaa hakuna aliyekukataza. Hata chanjo nimesikia mtaletewa, ikifika chanja.
Huyo ni mjinga kabisa unaweza kukuta ni limtu limetoka maporini huko juzijuzi mjomba kamleta mjini amejua kununua techno ya laki na nusu halafu unabishana nae amezoea kushinda na ng'ombe tu.Kaka nilikuomba utumie mantiki ya wastani.
*Nilieleza kwa sababu gani watu wa Afrika hawaathiriki vibaya kama watu wa Ulaya, unajibu ni "elimu ya kikoloni"
* unaeleza "mainstream media" wanasema Afrika ni tatizo kubwa la Corona...
Afu kuna wapumbavu wanaliaminiHalafu lijamaa eti linaitisha maandamano nchi nzima kudai katiba huku linasema korona ipo na imemuuwa kaka yake, duh.
Usipende kuamini kila unachosoma kwenye vyombo vya habari vya kimagharibi. Tumia common sense. Huo ndio msisitizo wangu na nitaurudia tena hapa.Kuhusu lifestyle nakubali kiasi. Kama Wamarekani weusi, pia Malatino wanakufa wengi kuliko Wamarekani weupe ina uhusiano na lifestyle yaani makazi, kazi na chakula (ingawa hapa hujalenga)....
Ukurupukaji unawaponzaInashangaza sana kusema kweli. Anatoa tahadhari watu wajikinge kwa kuepuka misongamano na kuvaa masks 😷 pia kunawa mikono halafu yeye ndiyo anasababisha misongamano!
Ukurupukaji unawaoonza
Angalia swala la moto Kariakoo
Kila mtu msemaji
Huwa nawazaaaaaa
Siku hawa watawala waandikiwe barua kibarua kimeota nyasi yaani wooote wapewe barua
Tuanze upya
Wajinga wengi sana
Nchi haieleweki inaenda kulia au kushoto
Wateule hawajui kusoma wala kuandika barua ofisi kuu utafikiri mtoto wa darasa lapili kaandika....
Humu ndani kuna matahira Sana hivi na wewe ni great thinker kweli??[emoji15][emoji15]
Nani kasema Mimi Ni great thinker?Humu ndani kuna matahira Sana hivi na wewe ni great thinker kweli??[emoji15][emoji15]
I trusted you to be a great thinker! What is happening?Mtaani kote hakuna aliyeumwa hayo mawimbi yenu mind you sio uswahili . Btw endeleeni kutimiza wajibu wa kupandikiza hofu kwa watu maana mshachukua mgao
Ahahah povu.ila kuna watu wanaudhi sana ahahahaHumu ndani kuna matahira Sana hivi na wewe ni great thinker kweli??[emoji15][emoji15]