Rais Samia mpandishe cheo Kanali Benard Paul Mlunga

Rais Samia mpandishe cheo Kanali Benard Paul Mlunga

Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.

Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.

Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396

Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
HAwa ndio wazalendo wa kweli wa nji hii...lakini....Mungu ndiye anayejua........
 
..Maofisa wa jeshi kuanzia ngazi ya Brigedia Jenerali wanatakiwa kuwa na wasaidizi wa kijeshi / wapambe.

..sasa yule Mpambe wa Raisi ambaye amepandishwa cheo kuwa Brigedia Jenerali naye anatakiwa awe na mpambe.

..hiyo ndio mantiki ya BigBro kushauri afisa mwingine wa jeshi ambaye hajafika ngazi ya Jenerali ateuliwe kuwa mpambe.

.
acha kukariri! mpambe inategemea na madaraka yake
 
Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.

Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.

Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396

Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
"I prefer not to speak, If I speak I will be in Trouble" is this reference from "1984 by George Owel"? just curious.
 
Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.

Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.

Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396

Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
Kama anastahiki atapanda.
Vinginevyo asuburi kama watumishi wengine!
 
Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.

Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.

Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396

Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
Si hadi mwislamu kama Mashauri. Mama kajaa udini hadi basi.
 
Inshort wale waliokua karibu sana na JPM nilijikuta nawapenda sana kwasababu walikua wanamuhudumia rais wangu kipenzi. Walinzi wote, mpambe, dereva na hata walinzi wa mama Janeth, hii post imenisononesha mpaka nimemkumbuka JPM wangu ingawa kilasiku ni lazima niwaangalie YouTube
Kamfufue uzikwe wewe sasa
 
Na ndugu zako wote ambao wamekufa
Sasa wewe hata ukimuona dereva wa marehemu unasisimkwa tukusaidiaje? Nyerere kafa, mkapa, mwinyi wote wamekufa na walipendwa kila mtu kwa namna yake ulishawahi kuona hapa watu wana sisimkwa kama wewe?
 
Mkuu sikujibu tena, maana unataka kunipangia watu wa kuwapenda
Nani aliamulua TL apigwe risasi pale dodoma?
Nani alipeleka JWTZ wapeleke jeshi kule KIBITI na MKURANGA na kuuwa watu wote wale wasio na hatia? Yaani kuvaa kibaraghashia tu na kufuga ndevu ndo mtu awawe?
Usinijibu wala hupunguzi chochote lakini huyo unayempenda alikuwa Muovu na wapenda haki walifurahi alipotwaliwa
 
Yani ampandishe kwa kuwa umependa wewe? Vyeo vya kijeshi vinapanda kwa elimu ya kijeshi, uzoefu, nafasi katika muundo na sifa binafsi. Na CDF ndio anatoa mapendekezo ya maafisa gani wapande na sababu
 
Inshort wale waliokua karibu sana na JPM nilijikuta nawapenda sana kwasababu walikua wanamuhudumia rais wangu kipenzi. Walinzi wote, mpambe, dereva na hata walinzi wa mama Janeth, hii post imenisononesha mpaka nimemkumbuka JPM wangu ingawa kilasiku ni lazima niwaangalie YouTube
Kunywa sumu umfuate kaburini
 
In voice of Samia "ili nalo mkalitazame"
Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.

Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.

Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396

Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
 
Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.

Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.

Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396

Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
Kwa nini apandishwe na asishushwe?.
 
Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.

Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.

Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396

Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
Sikujua kama ni askari wa myamvuli!
Hata hivyo, vyeo vya kijeshi hupandishwa kwa vigezo na sifa stahiki.
Kama katimiza atapandishwa tu.
 
Back
Top Bottom