nzalendo
JF-Expert Member
- May 26, 2009
- 12,106
- 12,916
HAwa ndio wazalendo wa kweli wa nji hii...lakini....Mungu ndiye anayejua........Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.
Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.
Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396
Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali