HAwa ndio wazalendo wa kweli wa nji hii...lakini....Mungu ndiye anayejua........Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.
Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.
Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396
Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
acha kukariri! mpambe inategemea na madaraka yake..Maofisa wa jeshi kuanzia ngazi ya Brigedia Jenerali wanatakiwa kuwa na wasaidizi wa kijeshi / wapambe.
..sasa yule Mpambe wa Raisi ambaye amepandishwa cheo kuwa Brigedia Jenerali naye anatakiwa awe na mpambe.
..hiyo ndio mantiki ya BigBro kushauri afisa mwingine wa jeshi ambaye hajafika ngazi ya Jenerali ateuliwe kuwa mpambe.
.
"I prefer not to speak, If I speak I will be in Trouble" is this reference from "1984 by George Owel"? just curious.Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.
Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.
Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396
Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
Kama anastahiki atapanda.Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.
Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.
Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396
Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
Rais akiamua nani atabisha?Mkuu yani saa meja apande mpaka kanali hii haipo Duniani kote.
Si hadi mwislamu kama Mashauri. Mama kajaa udini hadi basi.Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.
Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.
Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396
Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
Punguza ujinga, nani asiyejua mtesi wa Lissu ni nani !Namjua na issue yake naijua ila sina ushahidi wowote wa aliyemfanyia hivyo
Kamfufue uzikwe wewe sasaInshort wale waliokua karibu sana na JPM nilijikuta nawapenda sana kwasababu walikua wanamuhudumia rais wangu kipenzi. Walinzi wote, mpambe, dereva na hata walinzi wa mama Janeth, hii post imenisononesha mpaka nimemkumbuka JPM wangu ingawa kilasiku ni lazima niwaangalie YouTube
Sasa wewe hata ukimuona dereva wa marehemu unasisimkwa tukusaidiaje? Nyerere kafa, mkapa, mwinyi wote wamekufa na walipendwa kila mtu kwa namna yake ulishawahi kuona hapa watu wana sisimkwa kama wewe?Na ndugu zako wote ambao wamekufa
Nani aliamulua TL apigwe risasi pale dodoma?Mkuu sikujibu tena, maana unataka kunipangia watu wa kuwapenda
Kunywa sumu umfuate kaburiniInshort wale waliokua karibu sana na JPM nilijikuta nawapenda sana kwasababu walikua wanamuhudumia rais wangu kipenzi. Walinzi wote, mpambe, dereva na hata walinzi wa mama Janeth, hii post imenisononesha mpaka nimemkumbuka JPM wangu ingawa kilasiku ni lazima niwaangalie YouTube
Ukiona raisi ana amua amua bila kufuata sheria jua huyo raisi ni ama anaelekea au anatamani au ameshakuwa dictator tayarRais akiamua nani atabisha?
Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.
Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.
Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396
Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
Kwa nini apandishwe na asishushwe?.Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.
Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.
Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396
Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
Sikujua kama ni askari wa myamvuli!Aliyekuwa mpambe wa wa Rais Magufuli, Kanali Benard Paul Mlunga akimsikiliza Brigedia Jenerali Ibuge (hayupo pichani) ambaye ni Mkuu wa Chuo cha Ulinzi wa Taifa.
Kanali Mlunga alijipatia umaarufu enzi ya hayati Magufuli kea uchapaji wake kazi uliotukuka.
Nilijua alishapanda cheo kumbe amebakia kuwa Kanali. Rais Samia mpandishe cheo kama ulivyofanya kwa ADC wako wa sasa Brigedia Jenerali MashauriView attachment 3150396
Soma pia: Rais Samia ampandisha cheo mpambe wake (ADC) sasa ni Brigedia Jenerali
Kwani mashauri alishaacha usabato?Si hadi mwislamu kama Mashauri. Mama kajaa udini hadi basi.