Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Sasa si wanasemaga watamlazimisha?? Mambo ya kudhani yanatokea wapi sasa???Tamko la mkuu wa nchi ni amri, sidhani kama kuna mamlaka ina uthubutu wa kutoa kibali baada ya tamko hilo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa si wanasemaga watamlazimisha?? Mambo ya kudhani yanatokea wapi sasa???Tamko la mkuu wa nchi ni amri, sidhani kama kuna mamlaka ina uthubutu wa kutoa kibali baada ya tamko hilo
Sasa hivi wala hatuhangaiki na kuwafahamisha tena. Nyinyi si mnajifanya hamna akili mandezi?? Mtapelekwa hivyo hivyo kindezindezi.1. Viongozi wa taasisi nyeti wote, rais anateuwa. Matokeo yake hawatendi kwa haki au Sheria bali atakavo rais!!!!
2. Ukistaafu, ccm wamehodhi mpaka mafao uzeeni, mtu hupati haki yako mpaka ufe, eti, Akiba uzeeni utachukuwa ufikapo 60....65, kazi umekatizwa at 40yrs!!!!
3. Wabunge wanalipana mamilion, majimboni hawapo, na hawaendi
A) kupitisha makodi yasiyoeleweka bungeni
B) kututungia sheria kandamizi..... mfano zakimtandao nk
4. Katiba mbovu ilimruhusu pombe, kuzuwia mishahara na madaraja kazini ya watu wasipandishiwe kibabe miaka-5, bila kujali inflation wala katiba inasemaje
5. Watu walipotezwa, kila kona, ilikuwa sawa tu..... sababu katiba inamfanya rais wa Tz kama Mungu
6. Wakulima wanadhibitiwa na kunyimwa uhuru wa mazao yao kuyauza watakavyo. Mfano korosho huko mtwara na mahindi ruvuma
Mlolongo ni mrefu sana wa kiunyanyasaji, wachangiaje tuacha mahaba hebu tupingane kwa hoja.
Katiba mpya inaweza kupunguza baadhi ya hizi kero, bila kusahau kubambikiana kesi, watu kuwekwa vizuizini muda mrefu bila kufikishwa mahakamani, utesaji, nk
Niki unawashwa sana wewe, nakushauri tulia hapo Kisarawe, wewe tokea Carbood akugongee umekuwa Pimbi sanaBavicha ndio wanaotaka kuleta vita, lala nao mbele hao hawana maana
Taharuki ni taharuki tu.Nawe unajiona una akili kwa comment uliyotoa hapo juu? Kwamba taharuki hata kama ni za kisheria ni taharuki?
Wewe na nani?? Sisi Watanzania tunataka amani na maendeleo.Ndo maana tunataka katiba mpya ili tumalize amri za namna hii
Mama sasa anaupiga wa pasi ndefundefu.
Wewe na nani?? Sisi Watanzania tunataka amani na maendeleo.
Kama wao hawataki kutekeleza si mtekeleze wenyewe.Tunahitaji katiba mpya, siyo ombi bali ni hitaji la Taifa. Tume ya Warioba, kwa ushahidi, ilithibitodha kuwa Watanzania wanataka katba mpya.
Waleta chokochoko na wasiolitakia mema Taifa letu ni wale wasiotaka kutekeleza hitaji la wananchi
Hahahahaahahahaah.Mwambieni Samia mwanzo wa ngoma ni lele! Asubiri ngoma ikolee; Chamwino atapaona pachungu!
Akijifanya mbishi muache aingie barabarani hahahaahahWewe utamfanya nini huyo keshakuwa rais ndugu yangu,hivyo vyama sijui CCM sijui Chadema ni upuuzi mtupu africa kuna demokrasia?nakushauri weka nguvu kwenye kazi zako tu achana na mambo hayo au kwa vile upo nyuma ya keybord?bora uwe unaandika humu humu usije kuingia kwenye magenge ya vyama hivyo ndugu ukahatarisha uhai wako au viungo vyako hao wote wapo kimaslahi yao.Saka pesa.
Hivi , Nyie mwajiona mna nguvu Sana mbele ya wananchi kisa , vyombo vya dola, mabunduki, na magereza, KWA sababu ya kujitia upofu kisa utam wa keki ya taifa umewakoleaSasa hivi wala hatuhangaiki na kuwafahamisha tena. Nyinyi si mnajifanya hamna akili mandezi?? Mtapelekwa hivyo hivyo kindezindezi.
Yaani kwa upole, upendo na busara tele Mheshimiwa rais anawaambia suala la katiba nipeni muda kidogo, maana yake anajua kwamba linahitajika halafu nyinyi mnaanza kumtukana na kumtolea maneno yenu ya kifedhuli yasiyo na Staha eti tutamlazimisha!!!! Haya mlazimisheni sasa.
Rais Samia amewataka wananchi wa Morogoro wasikubali chokochoko zinazoanzishwa na baadhi ya watu.
Amesema hao wanaotaka kuanzisha vurugu wameshaandaa na wanajua watakavyojitibia ikitokea wamepata madhara.
Amewataka wananchi kutokubali na kutunza amani iliyopo. Amesema hayo akiwa Morogoro kwa ziara ya siku mbili.
NB: Possibly Rais anawaasa wanaotaka katiba mpya.
===
Rais Samia: Niwaombe sana tulinde amani, vijichokochoko vimeanza naomba msivipokee, wanaokuja na vijichokochoko walishajua matumbo yao yanajaaje, chakula chao wanatoa wapi, pesa za matibabu watatoa wapi, nawaomba wasije wakawaingiza kwenye huo mkenge”
Rais Samia: “Pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani na Watoto wako na Mama Watoto na msijue chakula mnatoa wapi, msijue Mtoto akiumwa mtakwenda kumtibu na pesa gani, niwaombe sana tulinde amani yetu, Nchi yetu itulie tuendelee na maendeleo yetu
Hawa wanajifanya wehu hawa.Kwahiyo Uhuru mnaoutaka ni wakina Mdude kuporomosha matusi??
Hakuna njia nzuri za kudai haki zao pasi na kuporomosha matusi?
Muacheni mama achape kazi,msitake kumpelekesha,,ana ratiba zake na vipaumbele..
Mbona mnataka kumpelekesha wakati alishasema mumpe muda!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unaongea nini?? Sisi ndio hao wananchi sasa. Sisi wananchi hatutaki kuhadaliwa na Genge la wahuni wachache. Watoto wetu wanasoma bure kabisa na maisha yanakwenda. Leo mnataka tuwaruhusu kina mbowe waturubuni tuanze kudai vitu vya ajabu kwa maslahi yao ili wao tu waingie madarakani???Hivi , Nyie mwajiona mna nguvu Sana mbele ya wananchi kisa , vyombo vya dola, mabunduki, na magereza, KWA sababu ya kujitia upofu kisa utam wa keki ya taifa umewakolea
Ipo nguvu ndani ya wananchi inayoonekana na isiyo onekana, kwamba hata mtumie vifaru, dola, n.k hamwezi shinda nguvu hiyo, ni HAKI kwenye taifa Ndo itashinda sio Ubabe, vinginevyo endelea tuone mwisho wake ,
Watu wanataka katiba mpya, mnasema chokochoko, mikutano ya adhara ya vyama vya Siasa, nayo mwasema nini vile,?
Twende tu
Tena yaliyomo kwenye ilani ndiyo yaliyotufanya sisi tukaichagua CCM. Tumeshamkumbusha Mama kwamba hatukukichagua chama chake ili kianze mambo yasiyo ya msingi. Tumekichagua ili kitekeleze waliyotuahidi kupitia ilani.Yaliyomo kwenye ilani ndiyo yanayowahusu wananchi..
Kama mnadhani matusi yatawapa katiba mpya basi endeleeni kutukana.
Halafu kama nyie mashujaa jitoeni kimasomaso ingieni mtaani,,siyo mnaongea tu huku kwenye keyboard na I'd feki mmejificha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaodai??? Wewe hudai mkuu?Kudai katiba mpya ni kutaka kuharibu amani ya nchi? Ni hivi, hiyo mama urais wake ni wa urithi, hivyo sitegemei aamue lolote tofauti na genge la yule kiongozi muovu kwani ndio linalomzunguka. Hivyo wanaodai katiba mpya wasiaachie, washikilie hapo hapo maana ni madai halali.
Wewe utakuwa sukumagangDawa ni kufuata sheria ili kuepuka hizo chokochoko, ila mkiwaumiza wanaoleta chokochoko wanaofuata sheria ili kudai haki zao mnawaonea, tumieni madaraka yenu vizuri kwa kuheshimu haki za wengine.