Rais Samia: Msikubali wanaotaka kuanzisha chokochoko, pakichafuka ni wewe utakayekaa ndani

Sasa hivi wala hatuhangaiki na kuwafahamisha tena. Nyinyi si mnajifanya hamna akili mandezi?? Mtapelekwa hivyo hivyo kindezindezi.

Yaani kwa upole, upendo na busara tele Mheshimiwa rais anawaambia suala la katiba nipeni muda kidogo, maana yake anajua kwamba linahitajika halafu nyinyi mnaanza kumtukana na kumtolea maneno yenu ya kifedhuli yasiyo na Staha eti tutamlazimisha!!!! Haya mlazimisheni sasa.
 
Bavicha ndio wanaotaka kuleta vita, lala nao mbele hao hawana maana
Niki unawashwa sana wewe, nakushauri tulia hapo Kisarawe, wewe tokea Carbood akugongee umekuwa Pimbi sana
 
Nawe unajiona una akili kwa comment uliyotoa hapo juu? Kwamba taharuki hata kama ni za kisheria ni taharuki?
Taharuki ni taharuki tu.

Iwe ya kijamii, kisiasa, kizalendo, kidini, sijui ki nini zote ni taharuki tu na ndani ya nchi hii hatuzitaki.
 
Tunahitaji katiba mpya, siyo ombi bali ni hitaji la Taifa. Tume ya Warioba, kwa ushahidi, ilithibitodha kuwa Watanzania wanataka katba mpya.

Waleta chokochoko na wasiolitakia mema Taifa letu ni wale wasiotaka kutekeleza hitaji la wananchi
Kama wao hawataki kutekeleza si mtekeleze wenyewe.

Kama mnahitaji katiba mpya kwa namna mnavyotaka nyinyi njia nyeupe si mkae ndani muitunge halafu muanze kuitumia?? Shida iko wapi??
 
Akijifanya mbishi muache aingie barabarani hahahaahah
 
Hivi , Nyie mwajiona mna nguvu Sana mbele ya wananchi kisa , vyombo vya dola, mabunduki, na magereza, KWA sababu ya kujitia upofu kisa utam wa keki ya taifa umewakolea

Ipo nguvu ndani ya wananchi inayoonekana na isiyo onekana, kwamba hata mtumie vifaru, dola, n.k hamwezi shinda nguvu hiyo, ni HAKI kwenye taifa Ndo itashinda sio Ubabe, vinginevyo endelea tuone mwisho wake ,

Watu wanataka katiba mpya, mnasema chokochoko, mikutano ya adhara ya vyama vya Siasa, nayo mwasema nini vile,?

Twende tu
 
Sisi raia werevu tunalijua hili Mama usihofu
 
Hawa wanajifanya wehu hawa.

Dawa yao ni kwenda nao hivyo hivyo kiwehu wehu.

Yaani mama aache kushughulikia Watanzania wote wapate umeme aanze kushughulikia matakwa yao wao. Ikifika 2025 waanze kumuuliza mbona umeme hakuna????

Tutakwenda nao wanavyotaka wao
 
Wewe unaongea nini?? Sisi ndio hao wananchi sasa. Sisi wananchi hatutaki kuhadaliwa na Genge la wahuni wachache. Watoto wetu wanasoma bure kabisa na maisha yanakwenda. Leo mnataka tuwaruhusu kina mbowe waturubuni tuanze kudai vitu vya ajabu kwa maslahi yao ili wao tu waingie madarakani???

We are better than that ndugu yangu na wala hatutoingia huo mkenge
 
Tena yaliyomo kwenye ilani ndiyo yaliyotufanya sisi tukaichagua CCM. Tumeshamkumbusha Mama kwamba hatukukichagua chama chake ili kianze mambo yasiyo ya msingi. Tumekichagua ili kitekeleze waliyotuahidi kupitia ilani.

Ni imani yetu kuwa imani itatekelezwa na hizi kelele za hawa wahuni zitapuuzwa
 
Wanaodai??? Wewe hudai mkuu?
 
Dawa ni kufuata sheria ili kuepuka hizo chokochoko, ila mkiwaumiza wanaoleta chokochoko wanaofuata sheria ili kudai haki zao mnawaonea, tumieni madaraka yenu vizuri kwa kuheshimu haki za wengine.
Wewe utakuwa sukumagang
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…