Unafiki uliochanganyika na mahaba ndio tatizo la hao watu unaowazungumzia, wana tabia za kuchagua watu wa kuwalaumu kulingana na "vigezo" vyao walivyojiwekea, ukiwafuatilia kwa makini utagundua hivyo vigezo.Hivi kwanini awamu hii hua hatajwi moja kwa moja huyu Raisi kuhusika na haya yaendeleayo?Je ni mahaba ya watu kwake?au ni kitu gani!
Wengine wanaenda mbali sana kwa kusema eti anahujumiwa kua yeye hana macho wala masikio asisikie wala kuona sasa yuko hapo kufanya nini?Eleweni huyu mheshimiwa rais anajua,na amebariki unafikiri hakuwaambia hili la tozo nendeni mkalifanyie kazi kama mlivyonisimulia hapa.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Mwigulu hajiamulii yeye kwanza ukiona kitu kama hiki kimepitishwa jua kilishapitishwa muda mrefu pia acha kulalamika kuusu Tozo, tozo ni kwaajili ya maendeleo yetu wenyewKwanza kabisa masuala ya uchumi WA nchi hayapaswi kuwa chini ya mtu mmoja....zamani tulikuwa na Tume ya mipango ambayo waziri alikuwa sehemu ya tume hiyo...jopo la tume hiyo ndo lilikuwa linaendesha uchumi...
Mwigulu ana weakness ya kuongea Kwa kukera watu na ana history ya kutokuwa team player..
Je haya matozo anayoibuka nayo kutwa yamepitiwa na wataalam wote wa wizara husika?....
Nafikiri wakati sasa hiyo wizara ipate mtu mwingine na turudishe tume ya mipango ya Taifa ambayo waziri atakuwa anatekeleza Tu maagizo ya Tume na sio waziri kuwa ndo "muendeshaji mkuu"WA uchumi wa Taifa hasa Kama waziri huyo ana ajenda zake binafsi za kisiasa... Mwigulu atolewe hapo haraka...
Tozo ni kwa maendeleo yetu acha kulalamika na kujenga chukiAondoke kabisa huyo mtu hafai.
Yaani kanifanya nimchukie hata Samia mwenyewe.
Inakuwaje watu tunalalamika maisha magumu, tunalipa kodi, halafu bado mnachomeka mikono yenu kwenye account zetu kuchukua visavings vyetu?
Mnyororo wa kodi kwenye visenti vyetu ni mrefu sana, humo ndani kuna double na triple taxation lakini huyu waziri wa fedha anajitapa eti kama hatutaki tozo twende Burundi.
Samia, ondoa huyo Mwigulu kabla hatujaanza kukuchukia zaidi au kukudharau!
Yako wapi sasa hayo maendeleo,mbona tuna mzigo wa kodi lukukiTozo ni kwa maendeleo yetu acha kulalamika na kujenga chuki
Ili akuweke wewe au?Kwanza kabisa masuala ya uchumi WA nchi hayapaswi kuwa chini ya mtu mmoja....zamani tulikuwa na Tume ya mipango ambayo waziri alikuwa sehemu ya tume hiyo...jopo la tume hiyo ndo lilikuwa linaendesha uchumi...
Mwigulu ana weakness ya kuongea Kwa kukera watu na ana history ya kutokuwa team player..
Je haya matozo anayoibuka nayo kutwa yamepitiwa na wataalam wote wa wizara husika?....
Nafikiri wakati sasa hiyo wizara ipate mtu mwingine na turudishe tume ya mipango ya Taifa ambayo waziri atakuwa anatekeleza Tu maagizo ya Tume na sio waziri kuwa ndo "muendeshaji mkuu"WA uchumi wa Taifa hasa Kama waziri huyo ana ajenda zake binafsi za kisiasa... Mwigulu atolewe hapo haraka...
Akikuelewa nitagKwanza kabisa masuala ya uchumi WA nchi hayapaswi kuwa chini ya mtu mmoja....zamani tulikuwa na Tume ya mipango ambayo waziri alikuwa sehemu ya tume hiyo...jopo la tume hiyo ndo lilikuwa linaendesha uchumi...
Mwigulu ana weakness ya kuongea Kwa kukera watu na ana history ya kutokuwa team player..
Je haya matozo anayoibuka nayo kutwa yamepitiwa na wataalam wote wa wizara husika?....
Nafikiri wakati sasa hiyo wizara ipate mtu mwingine na turudishe tume ya mipango ya Taifa ambayo waziri atakuwa anatekeleza Tu maagizo ya Tume na sio waziri kuwa ndo "muendeshaji mkuu"WA uchumi wa Taifa hasa Kama waziri huyo ana ajenda zake binafsi za kisiasa... Mwigulu atolewe hapo haraka...
Mpango unapelekwa na waziri husika,baraza linajadiri.Watu wanajifanya kufumbia macho na kumlaumu waziri pekee.
Hizi tozo ujue zilijadiliwa na Baraza la mawaziri ambapo mwenyekiti ni raisi wa nchi na katibu wake ni katibu kiongozi.
Kwa nini asilaumiwe mwenyekiti ila mnamlaumu mjumbe ambaye kwa hapa ni waziri wa fedha.
Unafiki tu
Hata kama Baraza la Mawaziri linakutana pendekezo linaletwa na waziri husika. Yeye ndiye mtaalamu katika mambo ya uchumi na itabidi atetee pendekezo lake kwa nguvu ya hoja.Mpango unapelekwa na waziri husika,baraza linajadiri.
Hill ni jibu tosha. Maandamano ndiyo suluhisho la serikali na raia. Siku moja kazi inaisha na tutapata muafaka wa kupata katiba mpya.Mimi nadhani hali bado ni nzuri sana ikiwezekana waongeze tozo maradufu ndio Watanzania wataamka usingizini na kubaini kazi ya kutetea haki zao siyo ya vyama vya Siasa, au Mbowe, Lisu na Zitto Bali ni jukumu la wananchi wenyewe, na maandamano huwa hayaombwi Bali mnapoumizwa na jambo ni kuingia barabarani na wanasiasa mnawaweka pembeni.
Kunahitajika maandamano makubwa ya kiraia badala ya kugombea jezi za Simba na Yanga na upuuzi wa lete mzungu
Aliyekuwa anazunguka na bahasha ya kaki na madokezo ya tozo ni nani? Si waziri wa fedha?Mwigulu ni mnamuonea tu. Maamuzi ya tozo hayaanzii kwa Mwigulu na kuishia kwake. Lazima yawe na chimbuko pamoja na baraka za mwenye nchi.