nao
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 1,832
- 1,940
Hivi kwanini awamu hii hua hatajwi moja kwa moja huyu Raisi kuhusika na haya yaendeleayo?Je ni mahaba ya watu kwake?au ni kitu gani!
Wengine wanaenda mbali sana kwa kusema eti anahujumiwa kua yeye hana macho wala masikio asisikie wala kuona sasa yuko hapo kufanya nini?Eleweni huyu mheshimiwa rais anajua,na amebariki unafikiri hakuwaambia hili la tozo nendeni mkalifanyie kazi kama mlivyonisimulia hapa.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Wengine wanaenda mbali sana kwa kusema eti anahujumiwa kua yeye hana macho wala masikio asisikie wala kuona sasa yuko hapo kufanya nini?Eleweni huyu mheshimiwa rais anajua,na amebariki unafikiri hakuwaambia hili la tozo nendeni mkalifanyie kazi kama mlivyonisimulia hapa.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app